Mikono inapiga shoti nikishika chuma chochote au hela ya sarafu (Coin)

Mikono inapiga shoti nikishika chuma chochote au hela ya sarafu (Coin)

Hii kitu hata mimi ilikuwa inanipata sana..kuna wakati ilikuwa hata kufungua mlango wa gari au koki ya bomba inabidi nijishauri sana. Lakini kuna mtu ameongelea hapo swala la nguo. Kuna nguo material flani ndio ilisababisha hii, nguo aina ya polister(nguo kama nailon) nilijigundua kuna shati lilikuwa ndio linanisababishia sana hii kitu. Niliachana nalo na hali hii naona imetulia kwa muda sasa.
 
Umetengeneza static charge mwilini. Mwili unaweza kuwa charged aidha kama una carpet kwako na ukawa unatembea juu ya hilo carpet ukiwa umevaa leather shoes au kuvaa nguo ambazo ni synthetic (Kama vile Polyesters). Sasa unaposhika kitu ambacho kinapitisha umeme ambacho kina potential tofauti na wewe static charges zilizopo kwako zinakuwa zinataka kuflow ili kuleta usawa katika potential. Jambo la kufanya nenda ukashike material ambayo ipo grounded, kwa mfano bodi la gari ili udischarge.

Rai yangu kwa vijana wa Kitanzania punguzeni pumba. Ukisoma comment nyingi humu ni pumba tupu. Kama jambo hulijui basi acha anayelijua alitolee ufafanuzi. Busara ni pale unapoanza kukubali kuwa kuna mambo mengi huyajui.
 
Umetengeneza static charge mwilini. Mwili unaweza kuwa charged aidha kama una carpet kwako na ukawa unatembea juu ya hilo carpet ukiwa umevaa leather shoes au kuvaa nguo ambazo ni synthetic (Kama vile Polyesters). Sasa unaposhika kitu ambacho kinapitisha umeme ambacho kina potential tofauti na wewe static charges zilizopo kwako zinakuwa zinataka kuflow ili kuleta usawa katika potential. Jambo la kufanya nenda ukashike material ambayo ipo grounded, kwa mfano bodi la gari ili udischarge.

Rai yangu kwa vijana wa Kitanzania punguzeni pumba. Ukisoma comment nyingi humu ni pumba tupu. Kama jambo hulijui basi acha anayelijua alitolee ufafanuzi. Busara ni pale unapoanza kukubali kuwa kuna mambo mengi huyajui.
Asante sana mkuu, niliogopa mmoja kasema tayari nimeukanyaga.
 
Back
Top Bottom