Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Kumbuka kuna watu hawana mikono physical ila wamebarikiwa sana..
Niliambiwa mikono ni kile kiungo chako chochote kinachowezesha utendaji wako wa kazi na ukafanikiwa sio lazima iwe mikono km mikono physical
Mfano:
Kuna wanaocheza mpira wa miguu wale pale wanatumia miguu kufanikisha kazi zao sio kwa mikono na wamebarikiwa wakafanikiwa kupitia miguu yao
Niliambiwa mikono ni kile kiungo chako chochote kinachowezesha utendaji wako wa kazi na ukafanikiwa sio lazima iwe mikono km mikono physical
Mfano:
Kuna wanaocheza mpira wa miguu wale pale wanatumia miguu kufanikisha kazi zao sio kwa mikono na wamebarikiwa wakafanikiwa kupitia miguu yao