Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Wakuu swali hili nimeuliza mara kibao na Hamniambiii……Na ilihali mnajua
Semeni bas
NB:KUFICHA TAARIFA MUHIMU SI UTU
Semeni bas
NB:KUFICHA TAARIFA MUHIMU SI UTU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nn wwheee
Kama mnajua lakinLeo tutasema.
Amana bank usiombe nishaenda hapo hyo riba yake bola CRDBIslamic bank, hazina riba
collateral n nn mkuuKwanza kabla ya yote, je una collateral? Nisije shusha madini hapa kumbe kitu pekee unamiliki ni infinix hot 90 huko
Boss, bado una safari ndefu sana.collateral n nn mkuu
serious SACCOS hawana riba??mi nadhanigi huko ndo balaaTafuta SACCOS iliyo vizuri financially,hawana riba kama za mabenki,hautaumia
Ni hao tu ndio wenye riba rafiki,mabenki yote ni wezi tu
Riba wanazo ila hazifanani na za mabenki ya kibiashara.Mkopo wa benki ukipewa mil10 kwa miaka 5 utaambiwa unarudisha mil 18 plus huko,wakati mkopo huo huo kwa saccos utarejesha mil13 Tafuta saccos iliyo strong ukiwa na vigezo unapewa mzigoserious SACCOS hawana riba??mi nadhanigi huko ndo balaa
Only SACCOSSWakuu swali hili nimeuliza mara kibao na Hamniambiii……Na ilihali mnajua
Semeni bas
NB:KUFICHA TAARIFA MUHIMU SI UTU
Hamna hii kituserious SACCOS hawana riba??mi nadhanigi huko ndo balaa
Saccos interest yao ni % ngapHamna hii kitu
😂😂😂😂😂sio utu kumjibu ivi mdauBoss, bado una safari ndefu sana.
Kama hujui collateral ni nini, ushauri wangu ni huu, tafuta tu wale kausha damu au nenda kwa mangi weka bondi stuli akukopesge unga watoto wasilale njaa.
Wana "riba" za namna yaoIslamic bank, hazina riba