Mikopo gani yenye riba nafuu zaidi Tanzania inaweza kukutoa

Mikopo gani yenye riba nafuu zaidi Tanzania inaweza kukutoa

.
 

Attachments

  • FC5558C0-F341-45BD-8301-8CC924515BB4.jpeg
    FC5558C0-F341-45BD-8301-8CC924515BB4.jpeg
    368.2 KB · Views: 23
serious SACCOS hawana riba??mi nadhanigi huko ndo balaa
Riba wanazo ila hazifanani na za mabenki ya kibiashara.Mkopo wa benki ukipewa mil10 kwa miaka 5 utaambiwa unarudisha mil 18 plus huko,wakati mkopo huo huo kwa saccos utarejesha mil13 Tafuta saccos iliyo strong ukiwa na vigezo unapewa mzigo
 
Back
Top Bottom