Mikopo gani yenye riba nafuu zaidi Tanzania inaweza kukutoa

Mikopo gani yenye riba nafuu zaidi Tanzania inaweza kukutoa

Wakuu swali hili nimeuliza mara kibao na Hamniambiii……Na ilihali mnajua

Semeni bas
NB:KUFICHA TAARIFA MUHIMU SI UTU
Kama wewe ni mfanyabiashara, ingia Nmb uchukue mkopo wa Fanikiwa ambao hutolewa kwa wafanyabiashara wachanga. Bahati mbaya hauzidi milioni 5! Na riba yake haizidi laki 4 kwa mwaka.


NB: vigezo na masharti huzingatiwa. Hivyo fika benki ukapate maelezo sahihi.
 
Usenge wa saccos ni kukopa mpaka ununue hisa na uweke akiba na kukupeshwa hela haizidi mara tatu ya akiba uliyoiweka.

Mfano Ili nikope 3M ni lazima niwe na akiba isiyopungua 1M....huu ni utopolo aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini utopolo?? Sasa huna hisa unataka ukopeshwe pesa za kutokea wapi?
Nenda bank
 
Kwanini utopolo?? Sasa huna hisa unataka ukopeshwe pesa za kutokea wapi?
Nenda bank
Kununua hisa Ili uwe mwanachama ni sawa ugomvi wangu upo kwenye kuweka akiba kubwa Ili upate mkopo mkubwa.

Kwa style hiyo saccos huwezi pata hela ya maana. Unapata vihela vya kubadilisha mboga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeamua kugoogle!
 

Attachments

  • E77DFC12-002E-4379-9B4D-9A545A433F2D.jpeg
    E77DFC12-002E-4379-9B4D-9A545A433F2D.jpeg
    326.1 KB · Views: 13
 

Attachments

  • CC678E48-2C88-4903-B4D7-815D64A038B0.jpeg
    CC678E48-2C88-4903-B4D7-815D64A038B0.jpeg
    342.2 KB · Views: 8
  • 2AD070AA-2391-4F57-9075-BBD53F70E0C6.jpeg
    2AD070AA-2391-4F57-9075-BBD53F70E0C6.jpeg
    390.3 KB · Views: 8
Boss, bado una safari ndefu sana.
Kama hujui collateral ni nini, ushauri wangu ni huu, tafuta tu wale kausha damu au nenda kwa mangi weka bondi stuli akukopesge unga watoto wasilale njaa.
Sawa mkuu,,
ila huko siwezi nitaendelea kujifunza
 
Back
Top Bottom