Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mnapataje faida? Au hizo 3yrs ukivunja unavunja na hisa zako hizo hizo ulizoweka?Sisi mbona hakina riba jamani, yani unakopa m 1 unarudisha m 1 unakopa m10 unarudisha m10 kamiliii.
Pesa mnaipandishaje thamani?