Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kikoba ni cha matajiriSisi mbona hakina riba jamani, yani unakopa m 1 unarudisha m 1 unakopa m10 unarudisha m10 kamiliii.
Hiyo ndo nzuriRiba ya 0% inaniacha hoi huku kwa mishangao 😂
mmmh masharti ni mengi sanaKama wewe ni mfanyabiashara, ingia Nmb uchukue mkopo wa Fanikiwa ambao hutolewa kwa wafanyabiashara wachanga. Bahati mbaya hauzidi milioni 5! Na riba yake haizidi laki 4 kwa mwaka.
NB: vigezo na masharti huzingatiwa. Hivyo fika benki ukapate maelezo sahihi.
Hamna hapaTafuta ktk eneo lako ulipo,hazikosekani
Sacos unakopa kutokana na unavyochangia mzeeRiba wanazo ila hazifanani na za mabenki ya kibiashara.Mkopo wa benki ukipewa mil10 kwa miaka 5 utaambiwa unarudisha mil 18 plus huko,wakati mkopo huo huo kwa saccos utarejesha mil13 Tafuta saccos iliyo strong ukiwa na vigezo unapewa mzigo
Kwakweli 🤣🤣🤣🤣iko kikoba chenu kimezua taharuki
Wala, raia tu wa kawaida....lengo la kuanzishwa ilikua ni kusaidiana ndio maana hawakuweka riba.Hicho kikoba ni cha matajiri
Acha tu hiki kikoba ni mtelezo kwakweli, nikionaga watu wanaleft najisemea mtaondoka wote mie sitoki.....wapi utapata hela za dezo hivoRiba ya 0% inaniacha hoi huku kwa mishangao 😂
Sasa sie wamiliki wa infinix tumekukosea nini tena jameniKwanza kabla ya yote, je una collateral? Nisije shusha madini hapa kumbe kitu pekee unamiliki ni infinix hot 90 huko
Niunge na mie nipate hela ya kubadilisha mbususuWala, raia tu wa kawaida....lengo la kuanzishwa ilikua ni kusaidiana ndio maana hawakuweka riba.
Hazina riba, lakini zina faidaIslamic bank, hazina riba
Ni wamama tu, we kanunue ile boda ya mkataba ulikua unatafuta.Niunge na mie nipate hela ya kubadilisha mbususu
Sasa mnapataje faida bila riba 😃Acha tu hiki kikoba ni mtelezo kwakweli, nikionaga watu wanaleft najisemea mtaondoka wote mie sitoki.....wapi utapata hela za dezo hivo
Lengo la kuunda kikoba sio kufaidika/kibiashara lengo ni kusaidiana.Sasa mnapataje faida bila riba 😃
Haya nawakopesheni hela mie riba 10,%Ni wamama tu, we kanunue ile boda ya mkataba ulikua unatafuta.
Hatutaki tupo full😁Haya nawakopesheni hela mie riba 10,%
Acha uchoyo bwanaHatutaki tupo full😁
Ndio maana yake,unakopeshwa mara 3 ya akiba zako.Maana yake ukiwa na akiba za mil10 unakopeshwa mil30Sacos unakopa kutokana na unavyochangia mzee
In