Mikopo kwa njia ya simu kilio kipya kwa Watanzania

acha utani mkuu udaiwe 1000, unyimwe mkopo wa 30m, kweli aliwezekani oficer mkopo wako anamatatizo na hataki kukusaidia, labda ni njia yake ya kuomba percetage, uwe macho.
Jaribu ndo utajua kama ni utani
Usikope! Naenda taratibu, wakati mwingine ukinyimwa Mkopo shukuru tu, hivi 30m riba yake ni kiasi gani? Utumwa huu Ndugu zangu, unaweza kukuza biashara taratibu tu bila presha pia!
Hakuna mfanyabiashara duniani ambaye hana mkopo, riba inategemea na muda wa kurejesha
 
Hata hivyo waliniambia nikajaze fomu, mimi tu nijafanya hivyo. Ina maana kwa watumishi huu mfumo wa ESS umeunganishwa na hizo system za kungamua wadaiwa sugu
Fomu ya mkopo ukijaza kuna ingine unajaza kuruhusu taarifa zako zipelekwe credit reference bureau kujua taarifa zako za ukopaji na ulipaji ukoje hapo ndio penye shughuli pevu

System lazima itapike nyongo kama mtu mkopaji sugu kulipa popote
 
Fomu ya mkopo ukijaza kuna ingine unajaza kuruhusu taarifa zako zipelekwe credit reference bureau kujua taarifa zako za ukopaji na ulipaji ukoje hapo ndio penye shughuli pevu

System lazima itapike nyongo kama mtu mkopaji sugu kulipa popote
Naachana nao ngoja niwekeze kwenye saccoss ya ofisini.
 
T
Tatizo WA Tanzania wanadhani alie mkopesha ni bwege hana akilia anampaje pesa wakati hamjui.
 
Jaribu ndo utajua kama ni utani

Hakuna mfanyabiashara duniani ambaye hana mkopo, riba inategemea na muda wa kurejesha

Ninafanya biashara ya sales ya about “: $400,000 Kwa mwaka, kipindi cha Kikwetw ilifika $600,000

Nishawahi kufuatwa na Bank kukopeshwa, nataka nikueleze sijawahi kopa Bank life time yangu!

Nimewahi kopa mzigo, mali kauli, stock with no interests na kwa wadau wa Karibu, But Bank, never and forever I will not!
 
$400,000 annual sales hiyo turn-over sio mbaya kama sio kazi ya uagent wa bidhaa za watu, zenye high sales faida kidogo, kama soft drinks beer supermarket nk
 
Chai
 
Technology inakua siku hadi siku, kwa dunia ya leo mtu akishakua na taarifa zako za Nida anakua amemaliza kila kitu
 
Ahahah aisee..kwahiyo wewe una relax na zile text wanazotukia watu wako wa karibu?????? Au hao hawana tabia hizo??
iko hivi mimi nilikopa pesa x wakanipa elf 25 siku ya kulipa bado siku moja wakaanza sim na ahadi kibao ukilipa mkopo tunakuongezea hela mimi fasta nikalipa huwez amini wakagoma kunipa tena chance ya kukopa nikaja kujaribu cash x ikaingia hela sasa wakaanza sim zisizoisha namb zinapishana mpya mpya mimi sipokei mwisho wakaanza kunitumia mimeseji ya kijinga wasap nikawa najibu mbona mnadai kama nimekopa mamilioni ya hela mara rudisha hela tunakutangaza kama mdaiwa sugu nikawaambiabsawa tangazeni hela yenu silipi meseji za vitisho za matusi nishaitwa sana mbwa malaya sasa mm nalipa iweje kwa mfano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…