Mikopo kwa walimu, NMB vs CRDB

nilienda kuuliza bank mbili juzi. nikaanza na crdb wakaniambia kwa salari yangu maximum watanipa 11,300,000 kwa miaka 6 na watanikata 257,000. nikaenda nmb wakaniambia maximum watanipa 9,500,000 na watanikata 251,000. Kimsingi hakuna tofauti za riba
Upo taasisi gani mkuu?
 
jamNi wamesharudisha huduma, nackia kama mtu alishakopa akataka Ku top up anaweza, licha ya benk kusimamisha ukopaji, je ni kweli??? wajuvi tusaidiane aisssee
 
jamNi wamesharudisha huduma, nackia kama mtu alishakopa akataka Ku top up anaweza, licha ya benk kusimamisha ukopaji, je ni kweli??? wajuvi tusaidiane aisssee
Mkuu navyohisi bado, kwa sababu wiki I link pita, nilienda kuuliza wakasema bado(CRDB)lakini nmb wameanza kutoa.
 

Riba za EQUITY kwa mwaka ni asilimia ngapi !?
 

Maelezo mazuri !! Naweza kuchukua mkopo CRDB huku nikiwa na mkopo benki ingine as long as msharaha unapitia CRDB !!??
 

Absolutely !! Mkopo ni mzuri kama unauwezo wa kuurudisha kwa kipindi kifupi !!
 

Mkuu ulitakiwa uwe mdadisi wa kujua gharama zinginezo zinazohusiana/zinazoambatana na mkopo ili kufanya maamuzi sahihi !
 
Kigezo, inabidi utupe Kigezo maana wengineo wanasema kwamba Tanzania Postal Bank wapo vizuri sana

I doubt !! Mkopo wa TZS 9,500,000/- kwa miaka 3 kwa makato ya TZS 392,044.83 Vs TZS 343,447.76 kwa riba za 13% Vs 18% PER ANNUM respectively !! Hope umenipata !!!!!
 
Bado nina wasiwasi mkubwa na hizi bank. Inakuaje unaambiwa tuna riba 15%(Benki ya posta? lkn pesa wanayokupa ni ndogo kuliko wa anayekwambia riba ni 18%(NMB na CRDB)?
 
I doubt !! Mkopo wa TZS 9,500,000/- kwa miaka 3 kwa makato ya TZS 392,044.83 Vs TZS 343,447.76 kwa riba za 13% Vs 18% PER ANNUM respectively !! Hope umenipata !!!!!
Mkuu fafanua
 
Men Lie.....Women Lie but NUMBERS DON'T LIE!!!!Sitaki Mkopo!!
 
Mkuu fafanua

Mkuu hujanipata !!!! Inaweza kuwa ni kutokana na matumizi ya "VIKOKOTOZI" tofauti !!! Hii mikopo unahitaji kuwa mdadisi na kutokuwa na haraka !!!
 
Makato ya 250,000 kwa mwezi kwa miaka mi5 nitapatiwa being gani kama mkopo nje na riba wadau...
 
Kuna mtu leo ameenda kuuliza mkopo CRDB akaambiwa sasa hivi ni hadi mshahara wako upitie kwao
 
Kuna mtu leo ameenda kuuliza mkopo CRDB akaambiwa sasa hivi ni hadi mshahara wako upitie kwao
Nahisi ni kwasbb ya hizi issue za uhakiki...wa watumishi...sasa hawana uhakika kama bado umo kwenye payrol ya serikali au ndo tayari yale mambo yetu....eeh...yah...u kno!
 
mtu huweza ku topup baada ya muda gani tangu achukue mkopo? taratibu zipoje kama unajua lolote
natanguliza shukrani za dhati.
Madam Mwajuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…