Mikopo na sera mbovu za ubinafsishaji ndizo zimetufikisha hapa, Mwaka 2000 exchange rate ilikuwa(1 Usd=Tshs 803.3)

Mikopo na sera mbovu za ubinafsishaji ndizo zimetufikisha hapa, Mwaka 2000 exchange rate ilikuwa(1 Usd=Tshs 803.3)

Kama anataka kuondoka na dola basi afanye biashara ya kuingiza dola. Yaani export business. Unaalika mtu kuja kuendesha mwendokasi. Anaingiza Tsh halafu wakati wa kuondosha faida anabadilisha kuwa dola!! Mbona tunakuwa tunafanya biashara kichaa.
Hapo nimekupata
Ila bado kutakua na changamoto
Muwekezaji anakaa nchi ambayo haitumii shilingi
Ni lazima aibadili kua pesa inayotumika kwake
Huoni hapo haitowezekana ,
 
No kweli lakini tukubaliane na ukweli kuwa;-

Hali ya maisha ya Sasa sio sawa na zama hizo unazozisema!

Exchange rate haijatokea Tanzania pekee hata kwa wenzetu huko Hali ipo hivyo hivyo!!hakuna condition ambayo ni permanent static ulimwenguni Bali ni dynamic kote!
 
Ndio hapo ,Kwa hakika sisi watanzania tuna matatizo sana
Sijui tuna laana gani ,mtu anataka ahodhi kila kitu yeye ili abaki mwenyewe kana kwamba ataweza kutosheleza mahitaji ya soko la kimataifa
Mimi naamini hizi bidhaa za kilimo zingekua msaada mkubwa kwenye kuingiza pesa za kigeni na kuwainua wakulima ,bahati mbaya wenye maamuzi hawataki iwe hivyo
Juzi nimemsikia Barozi wa Tanzania aliepo UK alienda soko moja la kimataifa hapo UK kuangalia bidhaa zinazotoka Afrika na Tanzania kwa bidhaa za Tanzania alikuta ipo moja tu alishangaa sana kwa kuwa hajui changamoto za kupata vibali ambavyo vinalipiwa kwa usd hapa na usd yenyewe ndio hiyo inaenda kwa rate ya 2800 mpaka 3000...
 
Kumbe hatukupasa kutafuta waporaji wa raslimali Toka nje,

Tulitakiwa tubinafsishe Kwa wadau wa ndani, Serikali ikawadhamini mikopo,

Pia Serikali ingetafuta dawa ya wezi wa pesa za umma,

Marais wasiogope kusaini watu kunyongwa kama china, na wanyongwe Kweli.
Je, kama hao viongozi wa juu kabisa wanashirikiana na hao wanaowateua kuiba watasaini vipi kunyongwa?? Labda wasaini kunyongwa vidagaa. Hata kesi za uhujumu uchumi, kesi za rushwa na nyinginezo mahakamani ni za vidagaa. Hapo unafikiri kuna nia ya dhati?? Unafikiri tutatoboa!??
 
Je, kama hao viongozi wa juu kabisa wanashirikiana na hao wanaowateua kuiba watasaini vipi kunyongwa?? Labda wasaini kunyongwa vidagaa. Hata kesi za uhujumu uchumi, kesi za rushwa na nyinginezo mahakamani ni za vidagaa. Hapo unafikiri kuna nia ya dhati?? Unafikiri tutatoboa!??
Yote yanawezekana tukipata Katiba mpya itakayopunguza madaraka ya Rais.
 
Juzi nimemsikia Barozi wa Tanzania aliepo UK alienda soko moja la kimataifa hapo UK kuangalia bidhaa zinazotoka Afrika na Tanzania kwa bidhaa za Tanzania alikuta ipo moja tu alishangaa sana kwa kuwa hajui changamoto za kupata vibali ambavyo vinalipiwa kwa usd hapa na usd yenyewe ndio hiyo inaenda kwa rate ya 2800 mpaka 3000...
CCM imezeeka ndugu yangu, tukipumzishe haraka.
 
No kweli lakini tukubaliane na ukweli kuwa;-

Hali ya maisha ya Sasa sio sawa na zama hizo unazozisema!

Exchange rate haijatokea Tanzania pekee hata kwa wenzetu huko Hali ipo hivyo hivyo!!hakuna condition ambayo ni permanent static ulimwenguni Bali ni dynamic kote!
Sie tunaongelea Nchi yetu,

Hadi Nyerere anatoka madarakani 1usd ilibadilishwa Kwa Tshs 10 pekee.

Alipoingia Mwinyi na kuruhusu soko huria vitu vikaingia Kwa wingi nchini hivyo mahitaji ya Dollar yakiongezeka, viwanda vya ndani vikakosa soko kuuza bidhaa nje ya Nchi, exports zikashuka, hazina ya dollar ikashuka na kupeleka inflation kukua hivyo thamani ya pesa ikashuka,

Mwaka 1985, dollar ikapanda Toka ilivyokuwa 1usd Kwa 10 shs ikafika 1usd Kwa 230 Tshs.

Sasa ongezeko Hilo huoni Lina uhusiano na sera za kuruhusu imports kiholela bila kujali viwanda vya ndani?

Na katika kipindi hicho pia, Nchi ilikopa sana, hivyo kuongeza upungufu wa pesa za kigeni kulipia Riba na mikopo.

Awamu ya Mkapa vile vile, ikaruhusu viwanda kubinafsishwa Kwa wageni ambao wakahujumi vikafa kabisa, imports zikazidi exports hivyo kupunguza zaidi thamani ya Shilingi yetu.

Tuchambue Takwimu mwalimu.

Tafiti ipingwe Kwa tafiti!!


Karibu🙏
 
Salaam shalom!!

Tulipopata Uhuru wa Nchi yetu, hatukuwa na wawekezaji wengi wa kuwekeza kwenye migodi, Serikali ilihodhi vitega Uchumi vyote na kusimamia, Hawa wawekezaji wa sasa, nionavyo Si HAKI kuwaita wawekezaji Bali waporaji, na uporaji huo unashirikisha viongozi wetu wa ndani. Tulipopata uhuru, Dola Moja ya kimarekani, ilibadilishwa Kwa Tshs 7 tu!!

Nisikuchoshe, hii hapa ni historia ya Exchange rate tangu Uhuru Hadi hii Leo, chama Cha MAPINDUZI kikiwa madarakani.

1961.
1usd=7 Tshs

1971
1usd= 7.14 Tshs

1981
1usd=8.2 Tshs

1991
1usd=219 Tshs

2001
1 Usd=876.4 Tshs

2005
1 Usd=1,128.9 Tshs

2010
1usd =1,434.7 Tshs

2012
1usd= 1,600Tshs

2015
1usd=2,037.1 Tshs

2020
1usd=2,330.5

2024
1usd= 2,615 Tshs.

Source: Google, average Exchange Rate, University of Pennsylvania.

Awamu ya kwanza ya utawala wa mwalimu Nyerere Kwa miaka yote 24 aliyokaa madarakani, Dalar halikuwahi kubadilishwa Kwa zaidi ya Tshs 10 pekee!! Na wakati huo, Aliendesha Uchumi Kwa KILIMO PEKEE!! Uchumi wetu ulitegemea zaidi KILIMO Cha biashara na chakula, Tuliuza millions ya tons za mazao ya KILIMO na biashara.

Mambo yameanza kuharibika pale tulipoamua kuingiza sera za ubepari Uchwara, Tukaanza kuruhusu waporaji kushika uchumi wetu Kwa mlango wa Uwekezaji. Alipoingia tu Mzee Ruksa, ikapaa Kutoka Sh 10- tsh 200 kubadili Kwa 1 Usd. Kumbe tulitakiwa tuunde na kuwajenga wazawa ndio wapewe mashirika ya umma kujenga Nchi na kubakiza pesa nchini.

Tungetegemea, Uchimbaji wa Madini usaidie kuimarisha pesa yetu na Uchumi, lakini Cha kushangaza, Dhahabu inachimbwa, lakini Serikali inakosa pesa ya kufadhili budget na kulazimisha kukopa nje, sasa hiyo migodi Si ingefungwa tujue Moja? Tusubiri wazaliwe Watanzania ambao watakuwa na uwezo wa kuchimba Dhahabu yetu wenyewe, ituzwe benki kuu baada ya kununuliwa na Serikali Toka Kwa wachimbaji hao. Pesa yetu irudi kuwa yenye nguvu tena kama zamani.

Nchi yetu tunawezaje kusema tuna wawekezaji ambao hawaleti mchango wowote kwenye kuimarisha pesa yetu na Uchumi wetu?

Iweje tuwape wageni Bandari zetu kwamba wakusanye mapato Kwa weledi mkubwa Kisha tukose pesa ya kufinance budget yetu Kwa mwaka Hadi tulazimike kukopa tena?

SOLUTION.

1. Turudi na kukaa kama nchi na kutafakari tena kuhusu sera zetu za kiuchumi, maana uwekezaji haujaleta TIJA yoyote muhimu zaidi ya kutufanya kuwa maskini zaidi, tunahitaji Sera ambazo ni Mixture ya Ujamaa na Ubepari. Na ubepari huo uwe wa kudeal na Wazalendo wa ndani ya nchi ,wafadhiliwe mikopo Ili waendeshe Uchumi wa Nchi yetu.

2. MIKOPO ya nchi yetu isimamishwe. Iundwe Taasisi huru kikatiba, Taasisi hiyo impore Rais mamlaka ya kujihusisha na mikopo ya nchi, Taasisi hiyo ichakate taarifa nyeti na kuona namna Bora ya kujitegemea wenyewe tukishirikisha matajiri wazawa wa nchini, Dhahabu yetu na Raslimali zetu zimilikiwe na wazawa, hao ndio wafadhili budget ya Uchumi wetu.

3. Tukipumzishe chama Cha MAPINDUZI kuongoza nchi, nasisitiza point hii no 3!!

Vyama vya upinzani pia viangaliwe UPYA, maana Sera na maono Yao kiuchumi ni Yale Yale ya kuamini kuwa tunaweza kuleta wawekezaji Toka nje Kisha tukapata faida za kiuchumi kupitia uwekezaji Uchwara tukiweka rehani raslimali zetu Kwa wageni, tunahitaji vyama vya upinzani vyenye sura ya kizalendo na kuwa na Political na Economical INDEPENDENCE!! Vyama vya siasa nchini visizidi VITATU PEKEE!!!

4. Tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote. Nchi yetu tusiwape wageni kiutawala kupitia sera mbovu na RUSHWA Kwa viongozi wetu ilhali Uchumi na Raslimali za nchi zinazidi kuondoka mikononi mwetu.

5. Tuongeze hasira juu ya Wala RUSHWA!! Rais asione haya kusaini death sentence, watu Wala RUSHWA wa level zote na uhujumu Uchumi wanyongwe, wasiogope, ukinyonga Wala RUSHWA watu hawataisha nchini, Bali wataacha vitendo vya RUSHWA.!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏
Tafsiri ni rahisi tuu,kama hutaki kukopa lipa Kodi zaidi.
 
Kama hutaki kukopa kopesha, uza Kwa majirani huko duniani upate hazina ya dollar!!

Nchi haiwezi KUPIGA hatua Kwa kuvuna wasichopanda!!
Tukopeshe nini? Utauza ambacho hujazalisha.

Mwisho mikopo sio msaada ni pesa italiowa inatumika kujenga base ya hayo unayoeleza hapo Juu.
 
Tukopeshe nini? Utauza ambacho hujazalisha.

Mwisho mikopo sio msaada ni pesa italiowa inatumika kujenga base ya hayo unayoeleza hapo Juu.
Lini mmewahi kukopeshwa wakulima Ili mjenge viwanda vya parachichi?

Sasa ukikopa Kisha ukajengea madarasa na matundu ya vyoo, Kuna biashara Gani shuleni itakayorudisha mkopo Ili kulipa deni?
 
Lini mmewahi kukopeshwa wakulima Ili mjenge viwanda vya parachichi?

Sasa ukikopa Kisha ukajengea madarasa na matundu ya vyoo, Kuna biashara Gani shuleni itakayorudisha mkopo Ili kulipa deni?
Ni wapi au Nchi gani wajinga na wapumbavu waliwahi leta maendeleo kwenye Nchi? Nitajie Moja tuu kabla ya kujiona hamnazo.

Mwisho Kwa hiyo Trilioni 26 zilizokopwa zimeelekwzwa kwenye madarasa na vyok au? Kichwani uko sawa sawa?
 
Ni wapi au Nchi gani wajinga na wapumbavu waliwahi leta maendeleo kwenye Nchi? Nitajie Moja tuu kabla ya kujiona hamnazo.

Mwisho Kwa hiyo Trilioni 26 zilizokopwa zimeelekwzwa kwenye madarasa na vyok au? Kichwani uko sawa sawa?
Ulichokiandika hapo juu umekielewa?

Wakulima wa parachichi, kahawa, nk nk ndio hao unaowaita wapumbavu?
 
Ulichokiandika hapo juu umekielewa?
Jibu swali,ni Nchi gani imewahi endelea Kwa kuendekeza wajinga na wapumbavu? Wewe si umesema haitakiwi kuwekeza kwenye Elimu au unajitoa ufahamu? 😂😂

Pili ,Je 26 Trilioni zimewekezwa kujenga madarasa na vyok kama ulivyosema?

Leta majibu wewe nyumbu
 
Jibu swali,ni Nchi gani imewahi endelea Kwa kuendekeza wajinga na wapumbavu? Wewe si umesema haitakiwi kuwekeza kwenye Elimu au unajitoa ufahamu? 😂😂

Pili ,Je 26 Trilioni zimewekezwa kujenga madarasa na vyok kama ulivyosema?

Leta majibu wewe nyumbu
Huna HOJA,

Huwezi kopa Ili ujengee vyoo na madarasa!!

Mkopo unatakiwa uende kufufua uchumi, watu, viwanda vipate mikopo ya Riba nafuu Ili mzunguko na Kodi iongezeke,

Makusanyo na faida baada ya kulipa Riba na mkopo ndio unajengea madarasa na vyoo.

Uchumi wa Nchi, ni sawa tu na Uchumi wa familia,

Nchi inapokopa kujenga vyoo, Haina tofauti na baba wa family anayekopa Ili kuongeza mke wa pili.

Ambapo katika uhalisia, mkopo ungetumika kuendelea biashara, angepata faidi na kukuza mtaji Kisha akatumia faida kununulia makochi nk nk.
 
Huna HOJA,

Huwezi kopa Ili ujengee vyoo na madarasa!!

Mkopo unatakiwa uende kufufua uchumi, watu, viwanda vipate mikopo ya Riba nafuu Ili mzunguko na Kodi iongezeke,

Makusanyo na faida baada ya kulipa Riba na mkopo ndio unajengea madarasa na vyoo.

Uchumi wa Nchi, ni sawa tu na Uchumi wa familia,

Nchi inapokopa kujenga vyoo, Haina tofauti na baba wa family anayekopa Ili kuongeza mke wa pili.

Ambapo katika uhalisia, mkopo ungetumika kuendelea biashara, angepata faidi na kukuza mtaji Kisha akatumia faida kununulia makochi nk nk.
Hoja ni kwamba umeshindwa kujibu swali langu la kunitajia Nchi iliyopata maendeleo Kwa kutegemea wajinga mfano wako bila.kuwekeza kwenye Elimu.So acha kujikanyaga kanyaga.

Pili Ukisikia neno Capital unaelewaje? Unayajua mawanda yake?
Mwisho hata ujenge Barabara sijui vitu gani kama una watu mbumbumbu wewe ni useless na inamwaga maji kwenye net,ndio maana sio tuu madarasa na vyok vinajengwa Bali Kila Mkoa kunajengwa Chuo Kikuu au Tawi la Chuo Kikuu Kupitia Mkopo wa WB kupitia mradi wa HEET

View: https://www.instagram.com/reel/C73nSbdswGw/?igsh=MTl6eTUxZmU1MDc4Yg==
 
Back
Top Bottom