Mikopo na sera mbovu za ubinafsishaji ndizo zimetufikisha hapa, Mwaka 2000 exchange rate ilikuwa(1 Usd=Tshs 803.3)

Acha kujitoa ufahamu,

Nilichosema ni kuwa shule na matundu ya vyoo yajengwe kutokana na ushauri wa masokoni na kwenye majiji,

Mikopo iingie kuleta mitaji kwenye mzunguko wa wananchi, faida kidogo Toka halmashauri na majiji ndio ikusanywe ikajenge madarasa na vyoo mashuleni.

Kuna shule mijini Zina vitegauchumi, frames zimejengwa kuzunguka shule nzima,

Cha kushangaza, mkurugenzi anasubiri Pesa ya mkopo kujenga madarasa!!

Nimekumbuka najibizana na ChoiceVariable katika I'd ingine, kwaheri!!
 
Next stop wapi wazee!! Hong Kong au Brasil!??😭🚮🚮🚮
 
Next stop wapi wazee!! Hong Kong au Brasil!??😭🚮🚮🚮
Mama yule, alihakikisha anapata selfie na Mwigizaji Jackie Chain.

Ajaye ana kibarua Cha kurudishia uharibifu aliosababisha huyu wa sasa.
 
Unadhani pesa ya ndani inatosha kugharamia Elimu? Au unapayuka jambo usilolijua?

Sekta ya Elimu pekee inakupa karibu Trilioni 8,hizo pesa zote unaweza toa kwenye Bajeti ya makusanyo ya kawaida?

Pili nachokushangaa,unashindwa kuelewa kwamba uwekezaji kweli Elimu ni sehemu ya kujenga mtaji wa ujuzi na maarifa kwenye Nchi ambavyo in turn vitakuza uchumi.

Futa huo ujinga wako kichwani wa kudhani kwamba kutumia hela ya Mkopo kwenye social investment ni kupoteza,pole sana bwana nyumbu.

Mwisho ukome kunipa Majina yasiyonihusu.
 
Ni ujinga tu wa CCM na watu wake ndio umetufikisha hapa, hakuna kingine unachoweza kusema.
 
Hujawahi kumiliki akili, pole sana.
 
Uko sahihi, ila sababu ya kupanda hauko sahihi.
Yen imezidi shuka compared miaka 20_40 iliyopita
 
Sasa nihangaike na chawa Kweli, Unadhani ukibadili I'd ya ChoiceVariable hutotambulika?

Yaani nipoteze muda na energy yangu kubishana nawe au Lucas!!
Tangu lini nyumbu mumewahi kuwa na akili? Mna miaka 30 Sasa ila ni zero gain zero contribution walau hata ACT Huwa Wana hoja na Serikali inafanyia kazi.

Angalia pumba unazoongea hapa huoni aibu? 😂😂
 
Hivi Doctor wa Uchumi Mwigulu Lameck Nchemba Madelu toka awe waziri wa Fedha mbona shillingi Inazidi kuporomoka tu. Nchi zingine hazina Madoctor wa uchumi lakini kiuchumi ziko vizuri. Huyu Nchemba Madelu wanafeli wapi?
 
Hivi Doctor wa Uchumi Mwigulu Lameck Nchemba Madelu toka awe waziri wa Fedha mbona shillingi Inazidi kuporomoka tu. Nchi zingine hazina Madoctor wa uchumi lakini kiuchumi ziko vizuri. Huyu Nchemba Madelu wanafeli wapi?
Jifunzeni walau kidogo elimu ya FEDHA na uchumi
 
ni ngumu sana kubadili,maana mabadiliko yatakuwa ni ya jasho na damu sjui kama raia watakuelewa maana watapitia magumu ambayo hawajawah kuiexperience

Zaidi na zaidi ni kupambana na wafujaji wa hela za serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…