Mikopo ya Bajaj na Pikipiki kwa Vijana: Fursa au Mtego wa Umasikini?

Unaongelea Serikali kama vile ndio ina huruma..., Bora hawa ni wafanyabiashara wala hawafichi, hawapo hapa kutoa msaada bali kujipatia faida (all the best to them)

Sasa je Serikali ambayo ipo pale kutoa huduma kwa mwananchi inamkopesha tena kwa kuringa, ili mtu eti akasome (kumbuka ni mkopo sio grant)..., Tena inawapa wachache wengine hawapati na wengi wao wakimaliza wala hakuna sehemu ya ujira hivyo kuanza maisha na madeni lukuki..., Na hawa wanajifanya eti wapo pale kuwatumikia wananchi... What a bunch of Hypocrites...

Tena bila ya hawa so called wanyonyaji (wakati wanyonyaji wa kweli huwasemi) wasingekuwepo watu tungekuwa tunakabana kitaa
 
bajaji kwa siku anaweza pata zaid ya elfu 50 mpka 70..
wewe utakubali umpe mtu 12milion ikae tu miaka mwili akupe 15mil au chini ya 20m tu?
Mbona Sasa hawana maisha ya maana hao vijana hivi unajua 50k-31k kwa siku ni 19000 Sawa na 589000 approx.. 500,000 Kwann wana maisha mabovu?
 
Mbona Sasa hawana maisha ya maana hao vijana hivi unajua 50k-31k kwa siku ni 19000 Sawa na 589000 approx.. 500,000 Kwann wana maisha mabovu?
Kuwa namaisha yamaana Hilo nijambo lingine,,
Watu wanakula mshahara mzuri nahawana maisha yamaana
 
ufukara tu , ulishawahi kuona nchi zilizoendelea kuna hayo mapikipiki na bajaji kama vitu vya usafiri wa umma? Masikini tuna safari ndefu sana ,na bado tuendelee kusifiana tu hata limtu likinya lnasifiwa.likijaba nalo linasifiwa sisi mangozi meusi zero kabisa.
 
jisemee mwenyewe mkuu kua nizero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…