SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Bore ulizaliwa mbumbumbuBora corona ilivyomfyekelea mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bore ulizaliwa mbumbumbuBora corona ilivyomfyekelea mbali
Visibility na feasibility? ni ngumu sana kwa hayo maneno mawili kuingiza ishu za typing error... rekebisha hapo usiendelee kuaibika zaidi. Hayo ni maneno mawili yenye maana tofauti kabisa.Usipende kujikita kwenye petty issues za typing error hii sio thesis
Wenzako wanajikita kwenye mambo ya msingi na sio typing error
huwezi chukua credit kwenye typing error maisha sio marahisi hivyo
Kwani sasahivi kuna nini sasaJiwe tulishakubaliana kuwa alikuwa rais wa ovyo , tuachane na yaliyopita tugange yajayo
Alipokuwa hai alikuwa anakubali kuhojiwa?Achana na vithread vya kijinga kwani nani hakopi.Acha kuchafua mtu ambaye hawezi kujibu wala hasikii upuuzi wenu
Dunia ya leo unakomalia petty issue kama hiyo kazi tunayo hongeraVisibility na feasibility? ni ngumu sana kwa hayo maneno mawili kuingiza ishu za typing error... rekebisha hapo usiendelee kuaibika zaidi. Hayo ni maneno mawili yenye maana tofauti kabisa.
Magufuli aliondoa mkataba wa kuendesha serekali kwa uwazi alikua anatupeleka gizaniAlipokuwa hai alikuwa anakubali kuhojiwa?
Nchi yako inakopa na deni la taifa linatangazwa kila siku alafu hata hujui unafanya nini huku Tanzania
Ngonjera zipi nyie ndo wale hata deni la taifa hamlijuiAcha ngonjela. Go to specifics. We need facts and factual.
Tunajenga Kwa pesa zetu kumbe mikopo Mwanzo mwishoKwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu
Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara
Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa
Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda
Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga
Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli
Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Tunajenga Kwa pesa zetu kumbe mikopo Mwanzo mwisho
View: https://www.instagram.com/p/C22tR-ULiIf/?igsh=cmFreWt6b3oxem1x
Yaa we ni kondoo kabisa unaandika ujinga hapaHuna unachoelewa
Kakojoe ukalaleYaa we ni kondoo kabisa unaandika ujinga hapa
Hakuna dunia ya jana wala ya leo. Kama kitu ukikosea rekebisha na sio kukaza fuvuDunia ya leo unakomalia petty issue kama hiyo kazi tunayo hongera
Kwa hilo,sikubaliani na wewe.Hivi unajua maana ya legacy unajua kuna nchi zinateseka kwa sababu ya maamuzi ya mtu mmoja
Magufuli lazima atajwe sababu alikua ni moja ya marais wa hovyo
Magufuli alaikua hashauriwi mbona ilikua waziKwa hilo,sikubaliani na wewe.
Samia kafanya nini sasa!
Sina uhakika sana,ila nijuavyo, raisi kama raisi,hawezi kuchukua maamuzi bila kushauliana na badhi ya watu. Hakulupuki kama mnavyovikilia
Magu mwenyewe alikuwa mpigaji na fisadi vile vile kama walivyo wanaccm wote.Haina shida,hata we mtoto wa kiume ntakupokea. Ila,ukweli ndo huo,kubali kataa, hali zenu mjilaumu wenyewe. Hamkumpenda Magu, walikuwepo walompenda. Leo hii mnakumbatiwa na mama yenu(majizi),na yeye wapo wasipenda.
Kila rais aliepita. Alikuwa na wafuasi na wapinzani. Msitake kukwepa majukumu na kutupia mtu lawama. Aliwaelekeza njia ya maendeleo,matbo yenu yakawakatalia. Huyo mama hakujua kaachiwa madeni? Mbona hakukataa kurithi kiti! Vya bule siku zote havina thamani
Tutawatoa.Mpk akamalize muda wake madarakani huyu Kizimkazi nchi itakuwa ni mali ya waarabu.
Wapi Ndugai...!??