Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
DCB wana riba 17% flat rate! ukichukua 10M kwa miaka mitano umarudisha 18.5MDuh!
Pole sana, ila hapo ni bahati mbaya kwa kupata gari bovu. Ungepata safi na biashara ikachanganya usingejuta.Pole kama nimetumia lugha kali. Kifupi mimi mwenyewe niliwahi chukua mkopo nikachanganya na pesa zangu. Nikanunua gari ya biashara. Ile gari haikumaliza mwezi bara barani ikawa written off. Since then ni miaka minne sujawahi kukanyaga benki kuomba mkopo kwa vile nilipata usumbufu mwingi sana toka benki juu ya marejesho. Nimeshaapa. Mtu akiniona nakanyaga benki kuchukua mkopo, anichinje kwa msumeno.
Kwa hiyo nikakuandikia vile nikutaadharishe kuwa kama hutaki kusumbuana na benki, achana na haya mambo ya mikopo.
Na wewe ulifuata nini huko,hivi hamjue kwamba mikopo ni day time robbery and slavery,ngoja wawakomeshe.Kweli usichokijua ni usiku wa giza.Unapewa milioni 20 , unalipa riba ya 81% kwa miaka 6. Je huu sio wizi uliokubuhu?
Wachumi tuelimishe is it worthy ta
Nilipenda na kutafuta maelezo ya kitaalamu kama haya. Mimi siyo mchumi ndiyo maana nimeuliza. asante. So can I take this confortablHiyo riba ni fair kabisa kwa kipindi hicho cha miaka 6.... hapo kwa mwaka mmoja inamaanisha ni 81/6 ambayo 13.5% (Hapo nime assume haijatozwa compound interest)
Hiyo riba hapo kuna mfumuko wa bei (Fedha kupoteza thamani) ambayo ni wastani wa 5% kwa mwaka, risk premium (Hii inafidia zile case ambazo mkopo haulipwi na benki ikapata hasara) kisha na gharama ya benki kwa ajili ya kulipia gharama za ku oparate
Pole sana, ila hapo ni bahati mbaya kwa kupata gari bovu. Ungepata safi na biashara ikachanganya usingejuta.
Kiukweli kuna mkopo mzuri unaokulipa na kujilipa wenyewe na kuna mkopo mbaya unaokufilisi.
Usichoke kwenda bank kama umeona fursa
Umelogwa na lugha chafu! Nakuacha kwa leoNa wewe ulifuata nini huko,hivi hamjue kwamba mikopo ni day time robbery and slavery,ngoja wawakomeshe.Kweli usichokijua ni usiku wa giza.
Sio gari bovu. Lilikula mzinga. Sikuwa na bima kubwa.Pole sana, ila hapo ni bahati mbaya kwa kupata gari bovu. Ungepata safi na biashara ikachanganya usingejuta.
Kiukweli kuna mkopo mzuri unaokulipa na kujilipa wenyewe na kuna mkopo mbaya unaokufilisi.
Usichoke kwenda bank kama umeona fursa
Ukweli ndio lugha chafu,niambie tusi liko wapi hapo.Au mzee uliye-retire maneno yamekuchoma?Pole.Umelogwa na lugha chafu! Nakuacha kwa leo
Unapewa milioni 20 , unalipa riba ya 81% kwa miaka 6. Je huu sio wizi uliokubuhu?
Wachumi tuelimishe is it worthy ta
Rubbish!Ni worth au sio worth INATEGEMEA NA: BUSARA YAKO NA UMASKINI WAKO!
Rubbish!
Kafie Nshamba na tetemeko
DCB wana riba 17% flat rate! ukichukua 10M kwa miaka mitano umarudisha 18.5M
wakati NMB wana riba ya 18% wao ni reducing unarudisha 15.4M
DCB kama bayport wezi hatareee! me nahamia PBZ mdebwedo maisha yanaenda! huku ukichukua 10 unarudisha 14 miaka 5
Kauli ya "unalipa riba ya 81%kwa miaka 6" ni kauli tata.Unapewa milioni 20 , unalipa riba ya 81% kwa miaka 6. Je huu sio wizi uliokubuhu?
Wachumi tuelimishe is it worthy ta
Kauli ya "unalipa riba ya 81%kwa miaka 6" ni kauli tata.
Unamaanisha nini? Kiasi ulicholipa riba kwa miaka 6 ni 86% ya pesa ulizokopa? Au umetozwa riba ya 86% kuanzia mwanzo wa mkopo?
Hayo ni mambo mawili tofauti.
Zitaje.Riba iliharamishwa kwenye uislamu kwa sababu za msingi.
Mimi nishajitukana mwenyewe kablayeye hajanitukana kwa kumuuliza swali, kwahiyo usihofu mimi kutukanwa.HUYU hajielewi, ana stress zake ZA MKOPO, ambao aliweka saini mwenyewe! UKITAKA KUMWELEWA ATAKUJA KUKUTUKANA BURE
Ukijibu kunya nitakujibu hivyo hivyo! Ukijibu lugha ya staha nitakujibu lugha ya staha! Siajaleta mada hii kuonewa huruma and actually what I did is to make an inquiry and that is what I discovered! I wanted views from some people with economics background in banking to discuss if at all it makes sense to take such a loan! Wewe unaleta matusi! kejeli, dharau! I will treat you accordingly without mercy!We JAMAA UNA matatizo, KUA MTU ALIKUTUMA KUKOPA?