Endeleeni kunufaisha ma bankSema wewe haujawahi kukunufaisha. Lakini watafutaji wananufaika namikopo kila siku, inafikia kipindi benki na wewe mnajadiliana riba ya mkopo husika ili kupata rate itayokufaa!
Hii Ni kwa wafanyabisshara wakubwa....sio sisi Wa mil 3Sema wewe haujawahi kukunufaisha. Lakini watafutaji wananufaika namikopo kila siku, inafikia kipindi benki na wewe mnajadiliana riba ya mkopo husika ili kupata rate itayokufaa!
Hahahhaa, endeleeni kulilia kaka zenu! Mtu/Taasisi/Kampuni/Shirika lolote linaloninufaisha sioni shida kulinufaisha pia!Endeleeni kunufaisha ma bank
Kama wewe mfanyabiashara basi ungekuwa unajua njia tofauti tofauti ambazo benki ingeweza kujipatia faida. Sio Riba.Utakuwa mgumu kidogo wa kuelewa, mimi siyo BANK! Bank biashara yao ni pesa ndiyo maana wanaweka riba, wakikupa bure ilhali na wao wanazikopa biashara italeta maana?!!! Binafsi huwa sikopeshi pesa kwa sababu sifanyi biashara hiyo, huwa naazimisha, na shida zangu za kawaida huwa naazima kwa watu pia....Tunavoongea hivi jana tu nimeazima kwa mtu milioni kadhaa, nilipiga tu simu akaniambia TUMA MTU AJE ACHUKUE, sikuulizwa hata maswali ya nitarudisha lini na mimi siwezi kukaa nayo mwezi mzima kwa sababu najua ni pesa iliyochomolewa kwenye mzunguko! NETWORK.... maishani mwako tengeneza network na watu mnaofanya nao biashara, marafiki nk. Ukishajenga network ya uaminifu wala haikuletei shida za kulazimisha "mkopo" kwa ndugu, kama upo kwenye network ya mfaano ukimwomba kitu mtu anayejua kwamba unamfaa hawezi kukukatalia kwa sababu kesho na yeye atapata kwako. Humanity ni pamoja na common sense! Kama unafanya biashara zako mjini utanielewa, lakini kama ni mwajiriwa unayetegemea mshahara basi potezea kila nilichoandika kwa sababu itakuwa ngumu kuelewa.
Kama wewe mfanyabiashara basi ungekuwa unajua njia tofauti tofauti ambazo benki ingeweza kujipatia faida. Sio Riba.
Zipo benki zinaendeshwa bila ya riba, ukiipita post yangu utaona nimeandika kwa ufupi njia benki inavoweza kufanya biashara.
Yaani wewe umeona mwajiriwa kuwa hawezi kuwa na akili ya kibiashara? una matatizo itakuwa wewe, unajuwa watu wa ngapi wametoka kimaisha na walikuwa wameajiriwa kwanza? Au wewe mwenzangu ni wale wa kurithishwa mali akisha ukajiona mjuaji kuliko alieajiriwa na kuanzisha biashara zake? Inavoonekana wewe ungekuwa umeajiriwa, usingeweze kufikiria kujiajiri.
By the way, unaweza ukawa na network ya watu wanaokuamini na still usipate hela kutoka kwao, huwezi jua na yeye unaemuomba hela ana matatizo gani ata akupe wewe tu. ishu inayozungmzwa apa ni riba kwenye mabenki, na wewe umekuja kuponda au niseme kutetea benki wanachofanya, na uku ukijifanya humanist!
Ni kweli Humanity ni pamoja na kuwa na common sense, sijui kama mwenzangu unayo lakini?
Kufanya biashara ushirika na mtu na kumnyonya mtu kupitia mkpo ulompa, ni upi ubinaadamu hapa itakuwa?
Ili nikuelewe ni mpk labda nivute bangi+kunywa balimi nimalizie na ugoro labda.Inaelekea hukusoma vile vimaneno vidogo vidogo ukakimbilia kutia sahihi tu upate hiyo pesa.. haujiamini..
Natumaini utakuwa umejifunza.. labda kwingine ingekuwa nafuu
Sio kweli kwamba benki zote za kibiashara lazima zitoze riba. Zipo benk ambazo hazitozi riba na zinakwenda vizuri.Naona unashindwa kutofautisha BANK, na MTU!!!! Bank siyo mtu, ni taasisi ambayo mtaji wake ni pesa na bidhaa yake ni pesa. Benki zote za KIBIASHARA lazima zitoze riba kwenye pesa wanayokupatia ufanyie biashara zako, usilalamikie model wanayotumia kupata faida, hiyo ndiyo biashara yao...sawa na wewe unavyonunua mpunga mpaka kuugeuza kuwa kilo ya mchele kwa 1200 shambani na kwenda kuiuza kwa walaji kwa elf 2200, mlaji hawezi kukulazimisha uuze 1500 eti kwa sababu umelipia nauli mia mbili hamsini na kukoboa shwa shilingi hamsini, faida yako utatengeneza kwenye kuuza pumba! Mikopo ni biashara kubwa kwa mabenki ya kibiashara, na ni chanzo kikubwa cha kukuza mitaji kwa wafanyabiashara. Ukiona hauna uwezo wa kuzalisha vya kutosha ili urudishe mkopo na riba na ubaki na faida acha tu ndugu utaumia kichwa.
Sorry mkuu hio P,R na T ni nini?Benki zipo sahihi, wateja hatupo sahihi sana kuelewa zile hesabu za P+RT/100.
Mkopo huohuo wa 20m ndani ya mwaka mmoja unalipa jumla ya 22,003,198.3.
Faida ya benki kwa mwaka ni 2,003,198.3.
Jitahidini kuelewa maana ya " annual interest rate".
sure, ni wizi uliokubuhuRiba iliharamishwa kwenye uislamu kwa sababu za msingi.
Ndugu, mikopo ya benki ndivyo ilivyo. Na usipokopa maendeleo utayasikia tu unless uwe na mishahara ya UN au World BankNilitamani kukopa, baada ya kuona wameleta tangazo la kuwa wanakopesha kwa riba ya 18%, kwenda ofisini kwao kupigiana hesabu nikaona inakua 50% nikawaambia nitarudi...nilivyo mchungu na mchumi wa hela zangu hapana.
Naomba nikutonye kitu mkuu, siku moja nilienda benki nikapiga hesabu kama wakinipa milioni 50 basi nitarudisha milioni 85 kwa kipindi cha miezi 84. Lakini kama una alternative ya kupata mtaji kwa ajili ya shughuli zako basi acha mikopo. Ila kama una shida ya hela na huna sehemu ya kuzipata utaenda benki tu. Trust me on thisJuzi nimeenda benk moja kutaka milion 30, kwa miaka 5, nikaambiwa nitalipa jumla na deni milion 54, nikarudi nyumbani kunywa chai.
Ni kweli benki biashara yao ni pesa. Ila kwa mazingira ya riba za namna hii ndiyo maana biashara zet nyingi zinafaidisha zaidi benki.benki biashara yao ni pesa, wanapokuuzia wanataka faida, wanapokukopesha wanataka faida. Mfanyabiashara anapokopa pesa naye anategemea akazungushe apate faida, sasa kwanini mwenye kukukopesha asitengeneze faida, pesa za kujiendesha na kukuza mtaji wa kuwakopesha wengine utamchangia wewe?!
maneno makali sana ila ndiyo uhalisia wa mamboKama hutaki kuibiwa, acha kukopa.
Njaa zako ndio zimekufanya ukakope. Hukushikiwa bunduki.
Ndugu, mikopo ya benki ndivyo ilivyo. Na usipokopa maendeleo utayasikia tu unless uwe na mishahara ya UN au World Bank[/QUOTE
Vipo Vicoba Mkuu asilimia kumi tu kwa sasa tumefikia kukopeshana hata Milioni 30 kwa miaka 3 mtu akitaka.