Kama wewe mfanyabiashara basi ungekuwa unajua njia tofauti tofauti ambazo benki ingeweza kujipatia faida. Sio Riba.
Zipo benki zinaendeshwa bila ya riba, ukiipita post yangu utaona nimeandika kwa ufupi njia benki inavoweza kufanya biashara.
Yaani wewe umeona mwajiriwa kuwa hawezi kuwa na akili ya kibiashara? una matatizo itakuwa wewe, unajuwa watu wa ngapi wametoka kimaisha na walikuwa wameajiriwa kwanza? Au wewe mwenzangu ni wale wa kurithishwa mali akisha ukajiona mjuaji kuliko alieajiriwa na kuanzisha biashara zake? Inavoonekana wewe ungekuwa umeajiriwa, usingeweze kufikiria kujiajiri.
By the way, unaweza ukawa na network ya watu wanaokuamini na still usipate hela kutoka kwao, huwezi jua na yeye unaemuomba hela ana matatizo gani ata akupe wewe tu. ishu inayozungmzwa apa ni riba kwenye mabenki, na wewe umekuja kuponda au niseme kutetea benki wanachofanya, na uku ukijifanya humanist!
Ni kweli Humanity ni pamoja na kuwa na common sense, sijui kama mwenzangu unayo lakini?
Kufanya biashara ushirika na mtu na kumnyonya mtu kupitia mkpo ulompa, ni upi ubinaadamu hapa itakuwa?