Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Rais Samia, kwanza nashukuru umemuondoa Nape Nnauye kwasababu TCRA na Tume ya Ulinzi wa Taaifa Binfsi(PDPC), ni taasisi zilikuwa chini yake na mpaka anaondoka, hatuijaona hizi taasisi zikiwa serious katika kuchukua hatua(sijaona wala kusika waliokamatwa kwa kudhalilisha watanzania).
Naomba ikikupendeza, muondoe na Mwigulu anaeisimamia BOT ambayo nayo inapaswa kuhusika katika kusimamia na kudhibiti biashara ya kukopesha.
Mhe. Raisi, haya makampuni hayafanyi biashara hii kwa kificho kwani wanajitangaza mitandaoni mfano facebook na zaidi na ambacho ni cha kushangaza, makampuni haya ya kukopesha mitandaoni yanatoa mikopo na kupokea marejesho yao kupitia mitandao ya simu ya humu nchini halafu eti wahusika wanashindwa kukamatwa!
Ukiacha udhaliolishaji wa kusambaza taarifa za wakopaji, riba wanazotoa ni kubwa mno na sijui kama zinaendana na riba elekezi ya BOT ya asilimi 3.5 kwa mwezi na sijui kama wana leseni. Pia muda wa kulipa denii sio rafiki kabisa na zaidi wana lugha mbaya sana. Hayo ni machache tu.
Mhe, Raisi,malalamiko yamekuwa mengi na hata Spika wa BUnge, Mhe. Tulia Ackson, alililamika Bungeni kutumiwa sms za mtu anaedaiwa wakati yeye hahusiki kwa namna yoyote ile. Mbali na Spika, hata wabunge kadhaa nao wamelakamikia hii mikopo ya kausha damu kwa muda sasa lakini sijawahi ona au siki kuna watu wamekamatwa kwa tuhuma za kufanya hii biashara kinyume na sheria badala yake hizi taasisi kila siku zinaongelea habari ya kutoa elimu kwa umma.
Mhe. Raisi, kweli inaangia akilini kwa hizi taasisi kushindwa kuthinbiti hizi App za kukopesha mitandaoni?Binafsi malalamiko hapa JamiiForums nimeanza kuyasoma hivi karibuni lakini yapo tangu mwaka jana ila mpaka leo sijui kama kweli kuna walio wahi kufikishwa katika vyombo vya sheria kwa tuhuma za kudhalilisha watu na kufanya biashara hii bila kuwa na leseni na makosa mengine.
Najiuliza, hivi viongozi wa hizi taasisi hawawezi kuweka mitego kuwakamata hawa watu? Mbona kama sheria inawaruhusu?
Viongozi wa hizi taasisi hawajawahi kupokea malalamiko rasimi kutoka kwa wananchi?
Tufanye assumption kuwa hakuna malalimiko yalioyowasilishwa kwa kwa njia rasimi. Je, ndio watakaa ofisini kusuburi malalamiko rasimi ndio wachukue hatua?
Kama hawapokei au kusikia malalamiko, press release wanazotoa mara kwa mara katika website yao za kuonya kuhusu hii biashara, udhalilishaji, n.k, msingi wake huwa ni nini kama sio malalamiko ya wananchi?
Na je, TCRA wameshindwa kuagiza makampuni ya simu kusitisha mara moja mitandao yao kutumika kibisahara na taasisi zinazokiuka sheria?
Mhe. Raisi, maswali ni mengi, lakini yote yanaonyesha udhaifu wa hizi taasisi. Hivyo, nakushauri ufanye uchunguzi na ukibaini kuna uzembe, basi viongozi wakuu wa hiizi taasisi wawajibike.
Kilichonisukuma leo kuleta hii mada ni hili bandiko la Mdau mmoja(Mwanasheria) hapa JamiForums ambalo nakuomba na wewe Mhe. Raisi ulisome. Yako mabandiko mengi tu kwani watu hawajaanza kulalamika leo wa jana.
www.jamiiforums.com
[/URL]
Hebu tusome majukumu ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kama nilivyoyasoma katika bandiko moja hapa JF.
www.jamiiforums.com
Naomba ikikupendeza, muondoe na Mwigulu anaeisimamia BOT ambayo nayo inapaswa kuhusika katika kusimamia na kudhibiti biashara ya kukopesha.
Mhe. Raisi, haya makampuni hayafanyi biashara hii kwa kificho kwani wanajitangaza mitandaoni mfano facebook na zaidi na ambacho ni cha kushangaza, makampuni haya ya kukopesha mitandaoni yanatoa mikopo na kupokea marejesho yao kupitia mitandao ya simu ya humu nchini halafu eti wahusika wanashindwa kukamatwa!
Ukiacha udhaliolishaji wa kusambaza taarifa za wakopaji, riba wanazotoa ni kubwa mno na sijui kama zinaendana na riba elekezi ya BOT ya asilimi 3.5 kwa mwezi na sijui kama wana leseni. Pia muda wa kulipa denii sio rafiki kabisa na zaidi wana lugha mbaya sana. Hayo ni machache tu.
Mhe, Raisi,malalamiko yamekuwa mengi na hata Spika wa BUnge, Mhe. Tulia Ackson, alililamika Bungeni kutumiwa sms za mtu anaedaiwa wakati yeye hahusiki kwa namna yoyote ile. Mbali na Spika, hata wabunge kadhaa nao wamelakamikia hii mikopo ya kausha damu kwa muda sasa lakini sijawahi ona au siki kuna watu wamekamatwa kwa tuhuma za kufanya hii biashara kinyume na sheria badala yake hizi taasisi kila siku zinaongelea habari ya kutoa elimu kwa umma.
Mhe. Raisi, kweli inaangia akilini kwa hizi taasisi kushindwa kuthinbiti hizi App za kukopesha mitandaoni?Binafsi malalamiko hapa JamiiForums nimeanza kuyasoma hivi karibuni lakini yapo tangu mwaka jana ila mpaka leo sijui kama kweli kuna walio wahi kufikishwa katika vyombo vya sheria kwa tuhuma za kudhalilisha watu na kufanya biashara hii bila kuwa na leseni na makosa mengine.
Najiuliza, hivi viongozi wa hizi taasisi hawawezi kuweka mitego kuwakamata hawa watu? Mbona kama sheria inawaruhusu?
Viongozi wa hizi taasisi hawajawahi kupokea malalamiko rasimi kutoka kwa wananchi?
Tufanye assumption kuwa hakuna malalimiko yalioyowasilishwa kwa kwa njia rasimi. Je, ndio watakaa ofisini kusuburi malalamiko rasimi ndio wachukue hatua?
Kama hawapokei au kusikia malalamiko, press release wanazotoa mara kwa mara katika website yao za kuonya kuhusu hii biashara, udhalilishaji, n.k, msingi wake huwa ni nini kama sio malalamiko ya wananchi?
Na je, TCRA wameshindwa kuagiza makampuni ya simu kusitisha mara moja mitandao yao kutumika kibisahara na taasisi zinazokiuka sheria?
Mhe. Raisi, maswali ni mengi, lakini yote yanaonyesha udhaifu wa hizi taasisi. Hivyo, nakushauri ufanye uchunguzi na ukibaini kuna uzembe, basi viongozi wakuu wa hiizi taasisi wawajibike.
Kilichonisukuma leo kuleta hii mada ni hili bandiko la Mdau mmoja(Mwanasheria) hapa JamiForums ambalo nakuomba na wewe Mhe. Raisi ulisome. Yako mabandiko mengi tu kwani watu hawajaanza kulalamika leo wa jana.
Hujuma kwa wateja, Makampuni ya Simu yanatoa namba za simu kwa wanaotoa mikopo haramu mtandaoni
Bashir Yakub, WAKILI. +255 714 047 241. Swali la msingi ni kuwa hawa wanaokopesha wanapata wapi namba za ndugu zako, jamaa, na marafiki ambazo wanazitumia ujumbe kuwataarifu kuwa unadaiwa, umeshindwa kulipa mkopo,na maneno mengine yasiyo na staha. Fikiria mkopeshaji ambaye si tu hajawahi hata...
Hebu tusome majukumu ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kama nilivyoyasoma katika bandiko moja hapa JF.
Zifahamu kazi za Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi inayozinduliwa na Rais Samia
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni rasmj katika hafla ya Uzinduzi wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi utakaofanyika Kesho katika ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam Kwa mujibu wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya mwaka 2022 kazi ya Tume hiyo ni pamoja na;