Mikosi au wakati wetu haujafika?


Nimeipenda hii
 
Pole sana. Ebu ongea vizuri na wakurugezi wako then rudi hapa baada ya mwaka tupe mrejesho. Kama huwajui njoo pm
 
Na bado mkuu,, kadri siku zinaenda utazidi kushangazwa..

InShort Duniani lazima wapo waliofanikiwa zaidi yako,, na wapo uliofanikiwa zaidi yao... so hata ukiwa na Maisha waliokuzidi hawawezi kuisha watakuwepo tu..

Muhimu pambana na hali yako
 
kaka pole sana katika maisha usiwahi ogopeshwa na watu walio toka kimaisha na hasa ambao hujui wametoka toka vipi, sababu ya kuandika hivi ni kutokana na ukweli kuwa baadhi ya watu wanaotuumiza vichwa baadhi yao wanakuwa wametoka katika namna ambazo si sahihi yani wanakuwa wametumia njia chafu kupata mitaji ama hela, pili wengine wanatumia nguvu za giza kutoboa kimaisha.
umizwa kichwa na mtu ambaye umefanikiwa kujua namna alivyotoka kimaisha tuuu hao wengine wasikuumize kichwa maana unaweza kujinyima sana ili uwe kama yeye ilihali ni kitu kisichowezekena.
Furahia na rizika na maisha ulonayo tia jitihada kadri ya vile inawezekana, mkumbuke Muumba wako katika kukutia ulinzi wake na nguvu zake tuuuu
 
Mwanangu wee kama mimi asee πŸ˜‚πŸ’ͺπŸ˜‚
 
Kufanikiwa ni jambo la ajabu unaweza ukajaribu vitu vingi usifanikiwe ila unaweza jaribu kitu kimoja ukafanikiwa na ndio ikawa shughuli/ kazi yako.

Ukweli ni kwamba drop out kutoka shule wengi wanakua wamepiga hatua maana wanakua wanajua wafanye nini kwa jamii wapate pesa. Wana taarifa zote kuhusu soko na bidhaaa.

Kufanikiwa kunaitaji watu, wakupe maarifa, wakupe bidhaa, wakupe wateja. Changamoto ni watu hao unawapata vipi basi.
 
Robert kiyosaki ameliongelea sana jambo hili kwenye kitabu cha "Be rich & happy",
Na ameelezea kwa nin wasomi wana mafanikio ya kawaida ukilinganisha na drop out students

Pia, cha msingi uendelee kupambana kwa bidii na uzidi kumuomba mungu akusaidie

Lakini mwisho wa siku inabidi kumshukuru mungu, kwa sababu yeye ndo anajua kwa nin amekunyima ww na kampa yule
 

Ameen
 
Mkuu huwezi amini asee nikikosa hela nakuwa mzee wa mipango miji ila nikizipata tu gari langu linajua kabisa huyu chizi leo ataniendesha vibaya [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] siku utakuta linapata tu hata hitilafu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
POLE SANA, SHUKURU UNA AFYA NJEMA NA UNA MDA WA KUPAMBANA ZAIDI. KUJITUMA KWA BIDII NI WAJIBU WAKO ILA MAFANIKIO NI MUNGU MWENYEWE ANA AMUA NANI ATANGULIE NA NANI AFATE BADAE..
CHUKUA HII: KUFANIKIWA KATIKA MAISHA NI KAMA MBIO KUZUNGUKA UWANJA MARA 12, KWENYE ROUND YA 3 AU YA 4 HUWEZI KUSEMA UMESHINDWA, FAINALI MIAKA 40 BRO. UKIFIKISHA UMRI HUO KAMA BADO HUJAPATA NDIO IMELALA YOOO... SAIVI RUDI VITANI MTALAM
 
Mkuu huwezi amini asee nikikosa hela nakuwa mzee wa mipango miji ila nikizipata tu gari langu linajua kabisa huyu chizi leo ataniendesha vibaya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Aisee ume nichekesha sanaa, maana hapo pub zotee una hudhuria after week wese liter mbili mbili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kusoma ndio njia ya uhakika na sahihi kwa mafanikio kwa sisi tuliotoka familia masikini japokuwa kila kitu anapanga mungu, mimi nina mjomba wangu alisoma IT bachelor alikaa kitaa miaka minne ila alikuja kupata ajira ndani ya muda mfupi alinunua gari, kiwanja (kajenga mpaka kwenye linta bonge lajumba) ana mke na watoto kiufupi yupo vizuri kwa hyo ndugu yangu usikate tamaa mungu kila mtu kamuwekea njia yake katika maisha ya kufanikiwa.

just move on every thing will be ok
 

Poapoa kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…