Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema mnajisumbua ,Tanzania hii bila hivi hupati kura watu watakaa kukushangaa ila ukweli utapigwa .Kipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.
Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la kukodi.
Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.
Mpango wa rais Samia kuwaridhisha wazungu kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara kwa wanasiasa imetimia ili avute mkwaja mamtoni.
Weww ni pumbavuuuKipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.
Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la kukodi.
Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.
Mpango wa rais Samia kuwaridhisha wazungu kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara kwa wanasiasa imetimia ili avute mkwaja mamtoni.
Mpuuzi wa CCM kama wewe tunakupuuza tuKipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.
Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la kukodi.
Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.
Mpango wa rais Samia kuwaridhisha wazungu kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara kwa wanasiasa imetimia ili avute mkwaja mamtoni.
Ndiyo wewe ndiyo ulivyoAhaaaa
Kiaje?Weww ni pumbavuuu
Ndugu Kamanda Mchovu,naona usingizi umekuzidia kapunzike irudi baadaye 🤔Kipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.
Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la kukodi.
Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.
Mpango wa rais Samia kuwaridhisha wazungu kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara kwa wanasiasa imetimia ili avute mkwaja mamtoni.
Huyo kama si moja ya covid 19 😂 ,sijuiHivi popo ni ndege au mnyama? Mbona hasomeki.
Mabeberu ndo waliotuwezesha kujenga shule na miundombinu unayoyaonaHivi hizo pesa zinazotumika ni ruzuku pekee yake au kuna namna huyu mwenyekiti anawezeshwa either na Mabeberu au CCM ?
Hakuna unachokijua, picha hizo ni kwa ajili ya wazungu ili walete helaYani nyomi lote hili pichani bado unadiriki kusema kwamba hakuna positive impact yoyote mkuu?
Shukuru Mungu Lisu hapa amepata maelfu katika mkutano wake, mwenzake Zito anazurura tu kama muuza chupa za maji mtaani bila mafanikio yoyote.
Tunataka kujua na tuone invoice za matumizi ya operation hii, na risiti za Efd za matumizi yote ya gharama za uendeshaji wa operation. Lengo tuone kama Kodi stahiki za serikali kama zinalipwa. Pia tuone kama matumizi halali ya ruzuku na michango ya kadi za wanachama wa Chadema na wafadhili wéngine kama yanatekelezwa.Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.
Hela zote kazipakata Mbowe. Unaambiwa hata supu ya Makongoro analipa mwenyewe na CHENJI anasubiri hata kama Chopa limeshawakaTunataka kujua na tuone invoice za matumizi ya operation hii, na risiti za Efd za matumizi yote ya gharama za uendeshaji wa operation. Lengo tuone kama Kodi stahiki za serikali kama zinalipwa. Pia tuone kama matumizi halali ya ruzuku na michango ya kadi za wanachama wa Chadema na wafadhili wéngine kama yanatekelezwa.
===
Kurusha povu ruksa!
This crap must have come from a low mind.Kipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.
Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la kukodi.
Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.
Mpango wa rais Samia kuwaridhisha wazungu kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara kwa wanasiasa imetimia ili avute mkwaja mamtoni.
Huyu green guard anayejiita Kamanda Asiyechoka, kwa kweli ni mtu ambaye siku zote hajauchoka ujinga. Siku zote hoja zake zimejaa ujinga. Hajauchoka ujinga ila amechoka sana kwenye uwezo wa akili.We "green guard" hivi huwa huchoki tu kuleta pumba zako humu jamvini kila siku kuhusu Mbowe ama CDM!? Najua gubu linakufukuta moyoni baada ya kesi ya mchongo ya ugaidi kubuma na sasa unashuhudia muitikio chanya wa wananchi katika elimu ilitolewayo kwa umma juu ya katiba mpya.
Huo nduyo ukweli kuhusiana na huyu anayejiita Kamanda Asiyechoka. Bila shaka ni kamanda wa ujinga.Unaandikaga mada za kipumbavu mnooooo! Wewe ni mpumbavu, unajua namna ya kupima IMPACT? Unafikiri ni maandazi haya? Narudia wewe una mada za kipumbavu sana
Kama unao utashi wa kuelewa, japo wa kiasi kidogo ungekuwa mtulivu.Umeshaambiwa hiyo mikutano yote haina impacts zaid ya kupiga kelele na kuwaongezea credits wanaCCM kuwa wameboresha demokrasia, or otherwise hakuna mabadiriko yoyote ya kikatiba wala kisiasa yanaweza kutokea bila wanaCCM kuamua, mtapiga kelele sana, lkn bila hao wenyenchi kuamua ni kazi buree..
Wapinzani Wangekuwa na akili wangekubaliana tu na madam presidaa awagawie majimbo hata 10 wazame bungeni wapate kifuta machozi kuliko kuforce maji kupanda mlima[emoji23].
Siasa za Bongo ni takataka.
Umeambiwa ukweli, Muda umefika olewa uwaachie nafasi mabinti.Nonsesical post
Umeshindwa kuhoji mapesa yalivyo pigwa kupitia riport ya CAG,unaanza kuhoji ziara ya Mbowe.Hivi hizo pesa zinazotumika ni ruzuku pekee yake au kuna namna huyu mwenyekiti anawezeshwa either na Mabeberu au CCM ?