Mikutano 100 huku "Mwamba" akiruka na chopa kama mtalii. Hakuna positivu impact kwenye chama chetu

Mikutano 100 huku "Mwamba" akiruka na chopa kama mtalii. Hakuna positivu impact kwenye chama chetu

Kipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.

Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la kukodi.

Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.

Mpango wa rais Samia kuwaridhisha wazungu kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara kwa wanasiasa imetimia ili avute mkwaja mamtoni.
Unasemaje Halima Mdee?
 
Yani nyomi lote hili pichani bado unadiriki kusema kwamba hakuna positive impact yoyote mkuu?

Shukuru Mungu Lisu hapa amepata maelfu katika mkutano wake, mwenzake Zito anazurura tu kama muuza chupa za maji mtaani bila mafanikio yoyote.
Huyo ni Haliama Mdee mwenyewe
 
Kipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.

Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la kukodi.

Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.

Mpango wa rais Samia kuwaridhisha wazungu kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara kwa wanasiasa imetimia ili avute mkwaja mamtoni.
Kwani ww kama mwanachama umekuwa na impact Gani ?
 
Kipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.

Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la kukodi.

Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.

Mpango wa rais Samia kuwaridhisha wazungu kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara kwa wanasiasa imetimia ili avute mkwaja mamtoni.
Acheni wivu wa-ki-kijins*a, mbona kuna walioruka na ndege kuhamasisha sensa na hamkusema kitu
 
Kipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.

Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la kukodi.

Hatujasikia kukubalika kwa hiyo operation +255 zaidi ya mwamba kuruka na chopa na kupiga mapicha akipigiwa salute.

Mpango wa rais Samia kuwaridhisha wazungu kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara kwa wanasiasa imetimia ili avute mkwaja mamtoni.
Wee fuatilia ziara za comred chongolo kule iringa! Mamb ya CDM waachie wana CDM! Yaan agongwe mwingine halafu ukojoe ww!
 
Back
Top Bottom