Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

Jengeni na nyie za kwenu
Wazo zuri ingekuwa ni kuvunjwa MOU kwanza au kugawana hizo hospitali zilizojengwa kwa kodi na zetu pia.Lakini kama hamtapenda hilo dunia ni pana sana hilo halitushindi.Muhimu tukianza tusisikie kelele kama zile za askofu eti DP World watajenga misikiti.Kama DP World wakijenga msikiti Mbeya kwa sasa hauna uhusiano na mkataba wa bandari na tayari mumeshaanza kulalamika.Kwa vile DP World wala hawajaanza shughuli Tanzania.
Kumbuka rasilimali nyingi duniani ziko kwenye maeneo yanayomilikiwa na waislamu hivyo tukiwafuata watujengee vya kwetu na hivyo vya kwetu sote tukawawachia nyinyi basi musifanye nongwa.
 
Acha mboyoyo,jengeni kwanza Kisha ulete mada yako
 
Kwahiyo ni serikali inapambana na kanisa katoliki au ni nini zaidi? Kama unapambana na kanisa wala. Usijali majibu yapo na idadi ya wakristo inajulikana ukubwa wake tutaungana ili mpambano uwe mzuri uchaguzi ujao
 
Angalia basi unapomtaja raisi Ali Hassan Mwinyi kwamba alikuwepo wakati wa kutiliana saini makataba wa MOU utaona kuwa viongozi waislamu wanapolelekwa wazo la kuendeleza huduma za kijajmii husahau ubaguzi.
Kwa upande wenu mkataba wa bandari mumesahau yote na kuingiza udini na ukabila kwa raisi muislamu japokuwa mkataba hauhusiani kabisa na Uislamu bali dira yake ni maendeleo ya taifa na kuwahi kunyang'anywa shughuli za bandari na mataifa yasiyokuwa na bandari.
 
Inabidi tuanze kujibu kwa maandishi maana huwezi kulinganisha mkataba mbovu wa bandari eti upate kibali kisa kuna Mou na kanisa uzwazwa uliopitiliza
 
TEC wameshajibu vunjeni mkataba na wao na wale watumishi walioajiriwa na serikali kwenye hospitali zenu watoeni wao watajiendesha vizuri na mambo yataenda kikubwa mkataba wa bandari ni haufai hata kwa bure
 
TEC inasema serikali iuvunje mkataba wake hata leo wao hawawezi kunyenyekea mtu milele
 
MOU za ndani ya nchi sio shida sana zinamaslahi kwa watanzania bila kujali dhehebu wala dini issue ni hizo za kimataifa nitatizo sana.
 
Ami

Hakuna jawabu la maana hapa utakalopatiwa. Zaidi umeona wanatetea. Ila ingelikuwa kinyume chake Waislamu ndiyo wamepewa hiyo fursa ungeliwaona kelele zao.
Chuo kimoja tu MUM kilichotokana na kodi zetu sote imekuwa nongwa na masimbulizi kila siku.Kumbe lile ni tone tu kati ya kodi za waislamu.
 
Chuo kimoja tu MUM kilichotokana na kodi zetu sote imekuwa nongwa na masimbulizi kila siku.Kumbe lile ni tone tu kati ya kodi za waislamu.
Na kupiga kelele kote huko kwa maaskofu si huwa wanapitisha vitu vyao bandarini wakisema misaada ya kidini.

Sasa akikabadhiwa mwengine wao watafaidika wapi? Hilo ndilo linalowasumbua na wala si kingine!

Laiti kungelikuwa na maslahi yao wasingelipiga kelele hawa na maaskofu wao.
 
Hapo kwenye tozo ni padogo sana.Watu yawezekana wanaona lakini wanavumilia kwa sababu pesa inaingia mfukoni kwa serikali na kwa namna moja au jengine mwishowe tutafaidika sote.Kwenye MOU ni kanisa peke yake na kujitanua
Nilijua tu una upeo mdogo ndio maana ukaleta hili andiko hapa. Kanisa linatanuliwa kwa sadaka na michango makanisani, ndio maana wakawa wa kwanza kujenge hospitali na mashule mpaka serikali ikavutiwa kuwapa nguvu.

Unaposema pesa ya kodi inaingia mikononi mwa serikali, hivyo kwako ni sawa kugharamia huduma nyingine za serikali kama hospitali, kwanini usigharamie huduma za hospitali za kanisa, kama hamtaki nanyi jengeni mahospitali yenu serikali iwasaidie, lakini sio mnalia kwa kukosa uwezo.

Tatizo upeo, ndio maana mnatumika kirahisi na serikali kuficha madudu ya mkataba mbovu wa bandari.
 
Hili la kusema kanisa halitaki serikali ijenge hospitali zake yenyewe tuwekee ushahidi hapa..

Huo mtaji serikali inayoutoa unatosha kugharamia hizo huduma? una hakika serikali huwa inatoa pesa zote?

Na unapoandika kama hizo hospitali zingekuwa za misikiti, makanisa yasingekubali, una uhakika au ushahidi upi?

Kwanini basi hiyo misikiti isijenge mashule na hospitali zao ili nao wapate hiyo misaada mnayoililia, kuliko kusema ifutwe halafu gharama za huduma zizidi kupanda?

Punguzeni mihemko kwenye kujadili haya mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…