Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kuzuia mikutano ya vyama siyo kukiuka Katiba?!Kwani tatizo ni kuwa na mikutano ya hadhara?
Tatizo ni namna inanvyovunja katiba ya ya JMT hasa ibara ya 30 ya katiba ya JMT inayotaka kutumia haki za kikatiba bila kuleta vurugu, kuathiri wengine n.k
Sasa hivi zitaanza vurugu ambazo zitasababisha watu wasifanye kazi, matusi na virungu kuanza kutembea. Hii ni uvunjifu wa katiba ya JMT.
Imeruhusiwa tu ili kuonyesha mama yupo vizuri. Lakini kumbe anataka awasaulishe watu juu ya maovu ya serikali yake.
ikiwa unakereka sana, hama nchiKwani tatizo ni kuwa na mikutano ya hadhara?
Tatizo ni namna inanvyovunja katiba ya ya JMT hasa ibara ya 30 ya katiba ya JMT inayotaka kutumia haki za kikatiba bila kuleta vurugu, kuathiri wengine n.k
Sasa hivi zitaanza vurugu ambazo zitasababisha watu wasifanye kazi, matusi na virungu kuanza kutembea. Hii ni uvunjifu wa katiba ya JMT.
Imeruhusiwa tu ili kuonyesha mama yupo vizuri. Lakini kumbe anataka awasaulishe watu juu ya maovu ya serikali yake.
Waanze na la mabehewaImeruhusiwa tu ili kuonyesha mama yupo vizuri. Lakini kumbe anataka awasaulishe watu juu ya maovu ya serikali yake.
ππKwani tatizo ni kuwa na mikutano ya hadhara?
Tatizo ni namna inanvyovunja katiba ya ya JMT hasa ibara ya 30 ya katiba ya JMT inayotaka kutumia haki za kikatiba bila kuleta vurugu, kuathiri wengine n.k
Sasa hivi zitaanza vurugu ambazo zitasababisha watu wasifanye kazi, matusi na virungu kuanza kutembea. Hii ni uvunjifu wa katiba ya JMT.
Imeruhusiwa tu ili kuonyesha mama yupo vizuri. Lakini kumbe anataka awasaulishe watu juu ya maovu ya serikali yake.
ππ...kikundi hiki haramu Cha Magufuli supporters., Kimefilisika akili. Hawajawahi kuwa na akili na hawatopata akili, hivyo ni watu wa kuwazoe na tunapaswa kuwachukulia Kama "wapuuzi wa taifa".
Mkuu hamna wa kuhama nchi bali tutanyongana hapahapa mpaka kielewekeikiwa unakereka sana, hama nchi
kuna watu wamekereka sana kuona uwanja wa siasa kuwa sawa. ndiyo hawa nimewaambia wahame nchi kama imewaumaMkuu hamna wa kuhama nchi bali tutanyongana hapahapa mpaka kieleweke
Hizo ndiyo propaganda mfu alizokurithisha yule dhalim aliyefyekwa na coronaKwani tatizo ni kuwa na mikutano ya hadhara?
Tatizo ni namna inanvyovunja katiba ya ya JMT hasa ibara ya 30 ya katiba ya JMT inayotaka kutumia haki za kikatiba bila kuleta vurugu, kuathiri wengine n.k
Sasa hivi zitaanza vurugu ambazo zitasababisha watu wasifanye kazi, matusi na virungu kuanza kutembea. Hii ni uvunjifu wa katiba ya JMT.
Imeruhusiwa tu ili kuonyesha mama yupo vizuri. Lakini kumbe anataka awasaulishe watu juu ya maovu ya serikali yake.
Hawa ni mavi ya yule dhalim aliyeko kuzimu, wanapenda kuona watu wanaokotwa kwenye sandarusi tu.kuna watu wamekereka sana kuona uwanja wa siasa kuwa sawa. ndiyo hawa nimewaambia wahame nchi kama imewauma