Mikutano ya hadhara ya wapinzani inafanyika Zanzibar, wakati Tanganyika imezuiliwa. Je, Rais Samia ana double standard?

Mikutano ya hadhara ya wapinzani inafanyika Zanzibar, wakati Tanganyika imezuiliwa. Je, Rais Samia ana double standard?

..Tanganyika haiwezi kuwasilisha kero za muungano kwasababu haina serikali yake yenyewe.

..Ila nakubaliana na wewe kwamba koti la muungano linaweza kutubana hivi karibuni.

..Nimesikia fununu kwamba ule mkopo tuliopewa na benki ya dunia nusu ya fedha zitakwenda Zanzibar.
Yani katika blunder ambayo Nyerere alikosea ni hili la Muundo wa Muingano.
 
Ukifuatilia siasa za ACT wazalendo, utapata tafsiri halisi ya chama kinachojiandaa kushika dola,

Kuna siasa, harakati na uhuni.
 
..Tanganyika haiwezi kuwasilisha kero za muungano kwasababu haina serikali yake yenyewe.

..Ila nakubaliana na wewe kwamba koti la muungano linaweza kutubana hivi karibuni.

..Nimesikia fununu kwamba ule mkopo tuliopewa na benki ya dunia nusu ya fedha zitakwenda Zanzibar.
Sio vibaya. Ili mradi wakati wa kulipa iwe hivyo hivyo.
Amandla...
 
Mimi hizo nguo walizovaa hao wakina dada. Zina fanana mno na za Boko Haram. Hawakuweza kuvaa zenye staha za aina nyingine?

Amandla...
 
Kwani ni waTanganyika?
Watu wa Zanzibar watachagua waTanganyika wawaongoze?


Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi ni Mtanganyika aliyezaliwa Mkuranga, hivyo kiasili yeye ni Mtanganyika aliyeenda na kukulia zanzibar na akapata Elimu yake huko.
 
Kuna tofauti ya dua ata wewe unaweza muombea Mbowe atoke salama,that is not a problem huyo mtoto kumuombea dua Magufuli.

Psychological conditioning is a different beast, it involves corruption of mind to associate life style and promoted values in an attempt to corrupt minds at a large scale.

Hiyo video yako ya mapokezi ya makamu wa kwanza huko visiwani unaweza ifananisha na NAZI propaganda at their early days; sasa chakujiuliza hayo mambo yanafanyikia wapi.

That’s not something which will be taken lightly in western society (conditioning) especially when it is associated with political views.

Ndio maana nikasema it third world politics; wala sishangai kwa watu ambao propaganda za kuufanya mwenge uonekane significant na kuutumia kuunganisha jamii awawezi.

Sitegemei hao watu kuona agenda iliyonyuma ya hiyo mental corruption.

Nitumie nafasi kukuaga mkuu, my life in social media is coming to an end for good. This time it’s for real.
Mkuu 'kilatha', pamoja na kuaga kwako, lakini hoja uliyoweka hapa ina utata.

Unaweza kuonyesha mipaka inayoitofautisha mifano ya hao watoto wawili? Malengo yao (kwa wanaowatumia) unaweza kuyatofautisha?

Kwa bahati mbaya, hiyo unayoiita 'mental conditioning' siyo jambo linalotokea 'third world' pekee kama unavyotaka kuaminisha hapa. Hii iko kila mahala duniani. Bahati mbaya tu tuliyonayo 'third world' ni kuwa na watu wengi ambao upeo wao upo chini kwa kukosa elimu ya kutosha.

Kuhusu safari yako, tangulia, wengine tupo njiani.
 
Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi ni Mtanganyika aliyezaliwa Mkuranga, hivyo kiasili yeye ni Mtanganyika aliyeenda na kukulia zanzibar na akapata Elimu yake huko.
Najua mkuu.
Lakini si ni raia wa Zanzibar au siyo?
 
Pamoja na mabaya ya CCM, naona mwinyi ni raisi mzuri
Huku bara tuna ceremonial president
 
CCM kama taasisi kamwe akiwezi mpangia mwanachama wake namna ya kukiombea mema chama; lakini akiwezi promote agenda ya mtu mmoja mmoja ata huyo Magufuli masheikh wake na mapadri wake ilikuwa huko huko lakini sio kwenye mikutano rasmi ya CCM.
Ni vyema umeaga na kusema utabaki kuwa msomaji, kwa hiyo utasoma utakayokuwa unakumbushwa kwa dhana potofu kama hiyo uliyonayo juu ya CCM uliyoieleza hapa.

Unaieleza "CCM kuwa taasisi chini ya Magufuli"? Taasisi ambayo alikuwa amejibinafsishia na kuzitumia hizo dini kwa manufaa yake?
 
Najua mkuu.
Lakini si ni raia wa Zanzibar au siyo?


Aliomba lini uraia wa Zanzibar??--- huyo ni Mtanganyika ndani ya uzanzibar, yeye ni tofauti na Jumbe, Salmin, Abdul wakil, Karume, Shein nk,.
 
Tanganyika Hatuna katiba mpya hiyo keroyetu inadharaulika matokeo yake mtu toka nchiyake huko anatuongoza wakati hajui shidazetu vizuri anatuchaguli/anateua atakavyo.
Mtu anahangaika na kero nyiiingi zakwao yetu moja anatuambia tutasubiri...
kimsingi Tz tumekuwa kama mazu... kisa siasa za ujinga.
Hii ndio nchi prezdaa anatoka nchi ndoooogo nyingine nakuongoza lisehemu likuuubwa lisilokuwa nchi lipolipo tuu alafu anapewa nguvu kuuubwa kujiamulia afanyaje fanyaje na vyovyote atavyotaka kufanya hatokaa ashitakiwe!! Kwahivyo hata akikimbizia maendeleo nchini kwake hakuna wakumwambia kitu yoyote. Halafu tunajiuliza kwanini hatuendelei tunasema hatujui!! UJINGA HUU.
 
…That is unacceptable kuchanganya siasa na dini namna hiyo let alone kufanya mikutano ya hadhara kipindi; I have always said this Othman Masoud is an enemy of the state…

!anas alaf in aamaj uyuH

This SOB is a rebel; a lawyer who has no loyalty whatsoever to our United Republic of Tanzania. Siku zote (tangu akiwa AG wa SMZ) yuko busy kujaribu kutengeneza mgogoro wa kikatiba.

!rekcuferhtom siht fo derit ma I
 
Aliomba lini uraia wa Zanzibar??--- huyo ni Mtanganyika ndani ya uzanzibar, yeye ni tofauti na Jumbe, Salmin, Abdul wakil, Karume, Shein nk,.
Utofauti wake na hao wengine ni upi, kwa vile alijitambulisha tu kwamba alitokea Kisarawe? Kwani Mapinduzi hayakumkuta Zanzibar?
 
Tanganyika Hatuna katiba mpya hiyo keroyetu inadharaulika matokeo yake mtu toka nchiyake huko anatuongoza wakati hajui shidazetu vizuri anatuchaguli/anateua atakavyo.
Mtu anahangaika na kero nyiiingi zakwao yetu moja anatuambia tutasubiri...
kimsingi Tz tumekuwa kama mazu... kisa siasa za ujinga.
Hii ndio nchi prezdaa anatoka nchi ndoooogo nyingine nakuongoza lisehemu likuuubwa lisilokuwa nchi lipolipo tuu alafu anapewa nguvu kuuubwa kujiamulia afanyaje fanyaje na vyovyote atavyotaka kufanya hatokaa ashitakiwe!! Kwahivyo hata akikimbizia maendeleo nchini kwake hakuna wakumwambia kitu yoyote. Halafu tunajiuliza kwanini hatuendelei tunasema hatujui!! UJINGA HUU.
Ninakubaliana na wewe kiasi kikubwa, lakini hebu niulize swali.

Hivi inakatazwa mtu au kundi la watu kwenda mahakamani na kuhoji uhalali wa mtu anayewaongoza?

Hapana, siyo kumshtaki yeye bali kuhoji uhalali wake kuwa kiongozi. Mahakama haiwezi kuangalia katiba na kulifanyia uamzi jambo kama hilo?

Lakini nakumbuka ulichoandika hapo juu: "Kimsingi Tz tumekuwa kama maz..."
 
Yani katika blunder ambayo Nyerere alikosea ni hili la Muundo wa Muingano.
Hapana.

Hata yeye hakuwa amepanga iwe hivi. Lengo lilikuwa iwe nchi moja baada ya kupata uzoefu na kuachana na hofu ambazo zilikuwepo upande mmoja, hofu ya kumezwa.

Maajabu, sasa wanaomezwa na dagaa ni Sangara. Nani aliyategemea hayo!
 
Tanganyika haiwezi kuwasilisha kero za muungano kwasababu haina serikali yake yenyewe
Mkuu 'Joka', nimekuwa nikikwepa kulijibu hili uliloandika kwenye mstari huu.

Kwani nani anakereka na kero, ni serikali au watu (wananchi) wa eneo?

Hata tukisema Tanganyika hakuna serikali, kwani Bunge halipo, si kila uchaguzi tunawachagua wabunge wetu wa Tanganyika ambao hawana mamlaka yoyote kule nchi ya pili, ambako wenzao wa Baraza la Mapinduzi ndio hodari zaidi kuibua hizi kero, sijui sasa tunahesabu ngapi, zaidi ya mia tatu!
Hawa wabunge wetu hawajawahi kuona hata kero moja tu ya kuisemea huko bungeni kwetu?
 
Mkuu 'Joka', nimekuwa nikikwepa kulijibu hili uliloandika kwenye mstari huu.

Kwani nani anakereka na kero, ni serikali au watu (wananchi) wa eneo?

Hata tukisema Tanganyika hakuna serikali, kwani Bunge halipo, si kila uchaguzi tunawachagua wabunge wetu wa Tanganyika ambao hawana mamlaka yoyote kule nchi ya pili, ambako wenzao wa Baraza la Mapinduzi ndio hodari zaidi kuibua hizi kero, sijui sasa tunahesabu ngapi, zaidi ya mia tatu!
Hawa wabunge wetu hawajawahi kuona hata kero moja tu ya kuisemea huko bungeni kwetu?

..asante sana kwa hoja yako.

..ni kweli kwamba wabunge toka Tanganyika ndani ya bunge la muungano wanaweza kuwasilisha kero za muungano za upande wa Tanganyika.
 
Ali Kessy alituwakulisha vizuri tu bungeni mkaamua kumnyima kura.
 
Ali Kessy alituwakulisha vizuri tu bungeni mkaamua kumnyima kura.
 
Back
Top Bottom