musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Habari wakuu
Sijsikia viongozi wa upinzani wakiliongelea hili kwa nguvu,wala fisiemu
Marupurupu kuwa makubwa yasio akisi hali ya wanaotuwakilisha ni chanzo cha kuwa na vibaraka sio tuu wa kuacha serikali ifanye inavyotaka,lakini kuwa muhuriwa mambo ambayo hayana maslahi kwa nchi yetu au yanayotuumiza wananchi mathalani mikataba mibovu ya kimataifa na kitaifa
Wanakuwa ni wahalalishaji wa mambo ya hovyo wa viongozi wapumbavu wanaoweka maslahi yao mbele badala ya taifa
Ni kweli wako vijana ambao hao watawala wameshawaharibu akili kwa makusudi,wanafikiria kwa turbo,hao tusiwatusi ni victims of the circumstance
Kuna logic ipi ya kumlipa mbunge pesa yote hiyo kwa miaka mitano tuu?
Kwa mwezi mbunge anakusanya mpaka mil.22,hii inalipa madaktari wangapi ngazi ya degree na kuna hospitali ngapi na vituo vya afya tunalalamika hatuwezi kupeleka watumishi mpaka USAID watusaidie?Trump abarikiwe popote alipo
Walimu wengi madai yao hayazidi hata mil 2...wengine wamezunguka na bahasa mpaka wamekufa na pesa zao zimeliwa
Hao hao watu wanakuja wanawaambia wao ni watetezi wenu,wawakilishi wenu,hivi tuna akili timamu kweli?
Acha niishie hapa
Sijsikia viongozi wa upinzani wakiliongelea hili kwa nguvu,wala fisiemu
Marupurupu kuwa makubwa yasio akisi hali ya wanaotuwakilisha ni chanzo cha kuwa na vibaraka sio tuu wa kuacha serikali ifanye inavyotaka,lakini kuwa muhuriwa mambo ambayo hayana maslahi kwa nchi yetu au yanayotuumiza wananchi mathalani mikataba mibovu ya kimataifa na kitaifa
Wanakuwa ni wahalalishaji wa mambo ya hovyo wa viongozi wapumbavu wanaoweka maslahi yao mbele badala ya taifa
Ni kweli wako vijana ambao hao watawala wameshawaharibu akili kwa makusudi,wanafikiria kwa turbo,hao tusiwatusi ni victims of the circumstance
Kuna logic ipi ya kumlipa mbunge pesa yote hiyo kwa miaka mitano tuu?
Kwa mwezi mbunge anakusanya mpaka mil.22,hii inalipa madaktari wangapi ngazi ya degree na kuna hospitali ngapi na vituo vya afya tunalalamika hatuwezi kupeleka watumishi mpaka USAID watusaidie?Trump abarikiwe popote alipo
Walimu wengi madai yao hayazidi hata mil 2...wengine wamezunguka na bahasa mpaka wamekufa na pesa zao zimeliwa
Hao hao watu wanakuja wanawaambia wao ni watetezi wenu,wawakilishi wenu,hivi tuna akili timamu kweli?
Acha niishie hapa