musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
- Thread starter
- #21
Hoja sio kulipa tuu..Ndo maana nmekwambia ilitakiwa kulilia maslahi Kwa kada nyingine na sio kulalamika kwanini wengine wanalipwa vizuri
Kwani hujui kuwa kapu la kulipia ndo hilohilo moja..
Wee chungu cha nyama kimoja...wachache wamepakua zaidi ya nusu...wengine wamekosa...akili ya ziada hawa waliokosa wanapata wapi...
Hao wengine wanalipwa vizuri kwa vyanzo gani