Hoja sio kulipa tuu..
Kwani hujui kuwa kapu la kulipia ndo hilohilo moja..
Wee chungu cha nyama kimoja...wachache wamepakua zaidi ya nusu...wengine wamekosa...akili ya ziada hawa waliokosa wanapata wapi...
Hao wengine wanalipwa vizuri kwa vyanzo gani