Wanaendelea na ratiba zako za Kila siku mfano p square walivyofiwa na mama Yao waliendelea kupiga show zaoDuhh sasa wakat anasubiri mazishi bado anaomboleza?? Na anaishije? Au anaendelea na maisha hakuna matanga?
Wa Afrika magharibi wengi ni kawaida yao. Kuna mnigeria alifariki mwezi wa 5, mazishi yakawa mwezi wa 9.Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu...
Wengi ni kuweka mazingira ya nyumbani vizuri. Kuna ambao kipindi hicho ndio wanajenga au kukarabati nyumba.Sababu hasa ni nini mkuu? Au hukuuliza?
Kwa kweli hiyo ni kawaida yao kwa maiti kukaa miezi 3 mortuary huku watu wakipanga 'sherehe' ya kumzika mpendwa wao. Hata mimi jamaa Mghana mmoja tulikuwa kwenye course nje ya nchi akawa anatuelezea utamaduni wao huo na sisi tukawa tunashangaa.Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo ?
Hapa Tanzania watu wanamaliza mwezi inategemea Ni Nani
We mtotoWakijijini Cha 3 kutoka kwenu
Shughuli za jamii zinaendelea kama kawaida , wanafanya mambo mengine ila ikifika siku za karibu na mazishi ndio wanafanya kila kituDuhh sasa wakat anasubiri mazishi bado anaomboleza?? Na anaishije? Au anaendelea na maisha hakuna matanga?
Muda ulotumia kuja kutuuliza humu ungeutumia kumuuliza huyo Rafiki yakoHeri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.
Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?
Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Wasanii Psquare wazazi walipofariki kwa nyakati tofauti pia walikaa zaidi ya miezi mitatuWengi ni kuweka mazingira ya nyumbani vizuri. Kuna ambao kipindi hicho ndio wanajenga au kukarabati nyumba.
Mlikutana wapi akakufundisha?Ni ujinga, kufanya kitu bila elimu,wakati Mungu kamfundisha mwanadamu kila kitu katika system nzima ya maisha yake toka kuzaliwa mpaka kufa
West africa ni kawaida yao mbonaNinao wengi huko. That's how they do it.
Usipende ku dramatise kila kitu. Bye
Huwa ni sherehe na kuna mgeni rasmi wakati wa mazishi. Kwa kawaida hapo ndipo inaonesha mtu aliyekuja alikuwa na utajiri kiasi gani. Waghana unaambiwa huwa anakula kwa shida na anatunza fedha itakayotumika katika kuomboleza Kifo chakeHeri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.
Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?
Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Muulize rafiki yako kama Marehemu alikuwa NANASijauliza kwa wenyewe...
Ndo maana nimeileta hapa labda wapo wenye majibu