Mila za kushangaza: Maiti ipo mochuary kwa zaidi ya miezi 3

Mila za kushangaza: Maiti ipo mochuary kwa zaidi ya miezi 3

Watu wa huo ukanda wa Afrika Magharibi ndio taratibu zao.

Kwanza Kuna Boss wetu alikua anatokea Ghana, tulipata taarifa amefiwa na Mama yake Mzazi, kesho yake asubuhi kwenda ofisini mie najua wakati huo Yuko airport anaelekea msibani, nashangaa ametulia kwenye laptop anapiga kazi.

Tokea siku hiyo nikaelewa inabidi kuzielewa taratibu na tamaduni za watu tofautitofauti, piga picha mtu kama huyo unaenda umevimba macho Kwa kulia unaomba ruhusa uende msibani umefiwa na jirani au Mjomba sijui Babu atakuelewa kweli?

Mwingine alikua anatokea Nigeria, Mama yake kafariki na wenyewe walizika baada ya miezi mitatu.
 
Wengi ni kuweka mazingira ya nyumbani vizuri. Kuna ambao kipindi hicho ndio wanajenga au kukarabati nyumba.
ASA mtu km Koffi Annan yule alivyokua na pesa nae walimuweka kin Psquare pia mama Yao alikaa km miezi hivi
Nadhani Mila liko kimila zaidi
 
Huwa ni sherehe na kuna mgeni rasmi wakati wa mazishi. Kwa kawaida hapo ndipo inaonesha mtu aliyekuja alikuwa na utajiri kiasi gani. Waghana unaambiwa huwa anakula kwa shida na anatunza fedha itakayotumika katika kuomboleza Kifo chake
Kaahh...Yaani wale kunaufaisha watu yeye mda huo kafa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dunia Ina mambo sana
Ahsante Kwa elimu
 
Usisahau kuangalia Google na majeneza yao,Ni disaster!...kifo kimerahisishwa Sana huko Hadi mtu unakuwa motivated kufariki[emoji16]
Joannah[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unakua motivated kufaaa
 
Kaahh...Yaani wale kunaufaisha watu yeye mda huo kafa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dunia Ina mambo sana
Ahsante Kwa elimu
Kila jumuia ina vitu ambavyo wasio wanajumuia wanavishangaa
 
Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.

Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.

Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?

Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Hili ni jambo la kawaida mno kwa tribes za nchi za west Africa; the earliest they can go huwa ni siku 30
 
West Africa ndo kawaida Yao dear misiba inakaa mwezi na kitu hivi nadhani wanaangalia nyota pia kutoka kwenye Mila zao hata yule katibu WA UN Koffi Annan alikaa karibu mwezi sijuii ndo akazikwa na wanaheshimu mnoo mila zao
Kuna sababu kubwa sana ya kimila na sio hizi wanazodai kwamba wanaandaa sherehe.
Zile jamaa zinaamini sana kwenye mambo ya mila na giza
 
Sijui ni tamaduni,mara nyingine huwa naona Waislam kwenye issues za misiba wako sahihi cos mtu akiwa Mochwari machungu bado yanakuwepo ila akizikwa baada ya muda mfupi angalau kunakuwa na relief kidogo.Ila siku hizi naona imekuwa too much
 
ASA mtu km Koffi Annan yule alivyokua na pesa nae walimuweka kin Psquare pia mama Yao alikaa km miezi hivi
Nadhani Mila liko kimila zaidi
Hilo swala ni ki mila zaidi. Kuna mambo wazee wanafanya
 
Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.

Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.

Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?

Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Hawa sindio wale wanacheza na jeneza kwa mbwembwe zote
 
Ghana nchi au waghana kitu gani

Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo ?

Hapa Tanzania watu wanamaliza mwezi inategemea Ni Nani

Mzee wangu alikaa 3weeks na siku mbili mochwari Kisha akasafirishwa kijijini kwao alikaa Tena siku tatu watu wanaaga tu kifupi msiba tuliuzoea kabla hajazikwa tulishaona Ni kawaida sasa labda machungu yanakuja wakati mnamzika Tena ..nilikuwa Sina kauli kulingana na ukubwa wake Mimi au kaka zangu au wake zake aliowahi zaa nao hawana kauli kazi yao kupewa ratiba tu ..kila kitu Kiko planned na wausika japo sisi ndo wafiwa
Sambeke alisimamisha mkoa wa kilimanjaro
 
Itapendeza kujua utaratibu huu upo hata kwa Waislam wa huko Ghana au West Africa kwa ujumla.

Au wao wanafanya kama ilivyozoeleka huku kwetu, mtu anakata moto saa2 asubuhi, saa7 mchana anakuwa tayari 6feet under.

Na kingine ikitokea msiba juu msiba inakuaje?
 
karibuni siku kumi za maombi katika kanisa lolote la waadventista wasabato lililo karibu nawe usipange kukosa mibaraka hii ya kufungua mwaka balikiwa
 
Back
Top Bottom