Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada umesoma abroad enh ghai you know ooohNinao wengi huko. That's how they do it.
Usipende ku dramatise kila kitu. Bye
Kwa watu wa West Africa haswa Ghana na Nigeria huo ni utaratibu wa kawaida sana kwao. Na wao misiba ni sherehe kubwa mnoo inazidi hata baadhi ya harusi hapa kwetu. Usishangae , tatizo ulikuwa hujui. Duniani kuna mila tofauti sana za makabila mbalimbali. Hata sisi pia nao kuna taratibu zetu wanatushangaaHeri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.
Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?
Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Wala 😄 ata nikuajiri mimi jobless sema nmejua umesoma abroad maan unajua culture za watu tofautUnataka uniajiri mkuu wangu?
Niliwahi kufanya kazi ni Wa UK, Kuna mmoja alifiwa na rafiki yake, na alikaa zaidi ya miezi 3 bila kuzikwa.. Sababu kubwa ni kuwa, hii kulingana na wa UK, Huwa hawaziki mtu bila kujua chanzo cha kifo chake.. kwa hiyo kuzika kwao hutegemea na kukamilika kwa uchunguzi!Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.
Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?
Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
I get the pointNiliwahi kufanya kazi ni Wa UK, Kuna mmoja alifiwa na rafiki yake, na alikaa zaidi ya miezi 3 bila kuzikwa.. Sababu kubwa ni kuwa, hii kulingana na wa UK, Huwa hawaziki mtu bila kujua chanzo cha kifo chake.. kwa hiyo kuzika kwao hutegemea na kukamilika kwa uchunguzi!
Acha ubishi kuna mdada wa kighana ameishi tz naye anashangaa misiba yetu ni fast fast ...video hii hapaGhana nchi au waghana kitu gani
Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo ?
Hapa Tanzania watu wanamaliza mwezi inategemea Ni Nani
Mzee wangu alikaa 3weeks na siku mbili mochwari Kisha akasafirishwa kijijini kwao alikaa Tena siku tatu watu wanaaga tu kifupi msiba tuliuzoea kabla hajazikwa tulishaona Ni kawaida sasa labda machungu yanakuja wakati mnamzika Tena ..nilikuwa Sina kauli kulingana na ukubwa wake Mimi au kaka zangu au wake zake aliowahi zaa nao hawana kauli kazi yao kupewa ratiba tu ..kila kitu Kiko planned na wausika japo sisi ndo wafiwa
Cheki hii video utapata jibuHeri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.
Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?
Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Three weeks?? Kulingana na ukubwa aliokuwa nao isn't? Ukubwa gani huo boss hata huyo the so called jiwe hakumaliza hizo siku na awe mkubwa alivyokuwa ila he was below jiwe....gharama nyingi for the deadGhana nchi au waghana kitu gani
Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo ?
Hapa Tanzania watu wanamaliza mwezi inategemea Ni Nani
Mzee wangu alikaa 3weeks na siku mbili mochwari Kisha akasafirishwa kijijini kwao alikaa Tena siku tatu watu wanaaga tu kifupi msiba tuliuzoea kabla hajazikwa tulishaona Ni kawaida sasa labda machungu yanakuja wakati mnamzika Tena ..nilikuwa Sina kauli kulingana na ukubwa wake Mimi au kaka zangu au wake zake aliowahi zaa nao hawana kauli kazi yao kupewa ratiba tu ..kila kitu Kiko planned na wausika japo sisi ndo wafiwa
Jiwe Hana ukubwa wowote Ni vile alikuwa rais tuThree weeks?? Kulingana na ukubwa aliokuwa nao isn't? Ukubwa gani huo boss hata huyo the so called jiwe hakumaliza hizo siku na awe mkubwa alivyokuwa ila he was below jiwe....gharama nyingi for the dead
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hapo mmechoka[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Na ukiwa hai eti ufanye savings za mazishi yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sahihi kabisa wenzetu hawaziki tu ghafla wanatazama Mpk nyota mganga kasemaje au viongozi wa kimila,Kuna jamii mmeisahau nadhani wako south Africa hua wanazika Kila j2 tu,siku nyingine zote wanafanya shughuli zao km kawaida kama hakuna Msiba na wanasherehekea kabisaaaKuna sababu kubwa sana ya kimila na sio hizi wanazodai kwamba wanaandaa sherehe.
Zile jamaa zinaamini sana kwenye mambo ya mila na giza
Heri ukakutane nayo kama Shari ukakutane nayo!Kufa kufaana
Ila ungemuuliza swahiba wako lengo la kufanya hivyo ni nini.
Mie nikifa saa 2 asubuhj saa 7 nizikwe mambi yasiwe meengi.
Kabisa, na namuomba mungu anijalie niwe wa kher huko.Heri ukakutane nayo kama Shari ukakutane nayo!
AmeenKabisa, na namuomba mungu anijalie niwe wa kher huko.
Atujalie sote.
Tunaomba tuepushwe na shariHeri ukakutane nayo kama Shari ukakutane nayo!
OkkYeah nina marafiki wengi tu wa huko