Mila za kushangaza: Maiti ipo mochuary kwa zaidi ya miezi 3

Mila za kushangaza: Maiti ipo mochuary kwa zaidi ya miezi 3

Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.

Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.

Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?

Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Rais mstaafu Jerry Rawlings, alizikwa miezi miwili baada ya kifo.
 
Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.

Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.

Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?

Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Umeshindwa kuwaza nje ya box. Kuna misiba mingine inakuwa na mgogoro so maiti inahifadhiwa ili shauri liamliwe mahakamani.
 
Umeshindwa kuwaza nje ya box. Kuna misiba mingine inakuwa na mgogoro so maiti inahifadhiwa ili shauri liamliwe mahakamani.
Hawa sio migogoro. Ni mila zao. Pia huo muda unatumika kitamaduni kujua amekufa kwa chanzo gani. Baada ya hapo Msiba ni sherehe na sio huzuni so wanahitaji muda wa maandalizi
 
Na wana tamaduni ya kumzika mtu kulingana na kazi yake namanisha akiwa malaya anazikwa na geneza la umbo la uume akiwa rubani anazikwa na jeneza la ndege Waghana tamaduni zao zina shangaza sana

Jeneza la bishoo
FB_IMG_16734598183478276.jpg
 
Back
Top Bottom