Misiba ya ndugu zetu wajaluo mayo kama sherehe.Wale msiba wanasherekea sishangai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misiba ya ndugu zetu wajaluo mayo kama sherehe.Wale msiba wanasherekea sishangai
Rais mstaafu Jerry Rawlings, alizikwa miezi miwili baada ya kifo.Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.
Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?
Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Ameen husnul khaatim tuipate bi idhn hiiiKabisa, na namuomba mungu anijalie niwe wa kher huko.
Atujalie sote.
Bi idhn llaahTunaomba tuepushwe na shari
Umeshindwa kuwaza nje ya box. Kuna misiba mingine inakuwa na mgogoro so maiti inahifadhiwa ili shauri liamliwe mahakamani.Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.
Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?
Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Hawa sio migogoro. Ni mila zao. Pia huo muda unatumika kitamaduni kujua amekufa kwa chanzo gani. Baada ya hapo Msiba ni sherehe na sio huzuni so wanahitaji muda wa maandaliziUmeshindwa kuwaza nje ya box. Kuna misiba mingine inakuwa na mgogoro so maiti inahifadhiwa ili shauri liamliwe mahakamani.
Visiwa vya ChatoWaghana ndio watu wa wapi
Geneza la sa100 ili hapa [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jeneza la changudoaView attachment 2477775