ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Wanaume wa mkoani
Hivi ilichukua "vidume" kadhaa..inamaanisha nini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ilichukua "vidume" kadhaa..inamaanisha nini mkuu?
Asante kwa marekebisho, maudhui hasa yalikuwa KUHUSU nini kimetokea kwenye PUA yake Sphinx sio JINA lake...Shukrani sana kiongozi kwa ujazo huuu..marekebisho hapo ni sphinx mdau hapo juu ashaliweka sawa.
Sijui kama dunia inayatambua
Wa dar haiwahusu sio[emoji23][emoji23]Wanaume wa mkoani
Hahahahah eti kizazi jeuri..... Liendeleze mkuuI'll kuingia katika sehemu mbalimbali za kihistoria za Siri Kuna (codes)kanuni maalum za kufungua na kufanya mambo mengine humo na hizo kanuni zipo maeneo maalum na ili kufika maeneo hayo unahitaji ramani no
Lakini kizazi jeuri wanaamua kulazimisha na mwisho wa siku kutokea mabalaa na laana
Niishie hapo Kwanza.
can't imagine?? 6500 kiama kitakuwa bado kweli?Kijacho. Kwani umeambiwa hiki ndo kizazi cha mwisho...? Mwaka 6500 watakuja watu kusema miaka ya 2000 walifungua vyumba vitano, cha sita kikagoma ando wataweza wao
ZunguphobiaUmesahau kuwafahamisha wasomaji wako kuwa sanamu la "The great SPHINX Giza" ambayo liko Egypty,..
Vita vya kwanza vya Dunia Majeshi ya Ufaransa yaliipiga Mabomu Pua ya hilo sanamu ambayo ilifanana na Pua ya Mwafrika ili kufuta ushahidi kuwa Pyramid na vitu vyengine vya kale Egypt vilijengwa na Waafrika..View attachment 1156793