Milango minne ambayo haijawahi kufunguliwa

Milango minne ambayo haijawahi kufunguliwa

Kitu kimoja na cha hakika kwenye hii post ni kwamba
Hapo kale ndio kulikuwa na wanaume na Wanawake halisi.... Watu wenye nguvu ya kufanya kazi kubwa zisizofikirika.. Zilizoacha kumbukumbu vizazi na vizazi
Jambo la pili ni kwamba kote huko humioni mzungu ambaye ndio asili ya uharibifu wa wanaume hodari, rijali na wenye nguvu
 
Kitu kimoja na cha hakika kwenye hii post ni kwamba
Hapo kale ndio kulikuwa na wanaume na Wanawake halisi.... Watu wenye nguvu ya kufanya kazi kubwa zisizofikirika.. Zilizoacha kumbukumbu vizazi na vizazi
Jambo la pili ni kwamba kote huko humioni mzungu ambaye ndio asili ya uharibifu wa wanaume hodari, rijali na wenye nguvu
Tena walijenga kwa ustadi wa hali ya juu ilihali teknolojia haikuwa ya kiasi hiki... Wasanifu walikuwa wanafanya kazi kubwa mno... Kitu kimejengwa karne nyingi zilizopita ila mpaka sasa kipo na hakijapoteza ubora wake...

Tukirudi kwa wazungu aka westerns hili ni jipu, ndio maana asians wengi wanachakujivunia kwasababu hawakuspoiled na hawa jamaa.
 
Okay.
Ila yote kwa yote, hizo dini ndizo source nyingine ya wewe au hao wasomi kufikia hatua ya kuitwa msomi, lkn huwezi kukataa muingiliano wa dini, elimu na uwezo finyu wa baadhi ya waafrika katika kufanya maamuzi kwa manufaa yao wenyewe ni zero.
Kivipi?
Wakati wasomi wetu ndio waliopaswa kufanya tafiti na kujua kuna nini ndani na yaliwekwa na nani ?
Wasomi wanapata mpaka Uprofesa wakiwa majalalani bila kuja na jawabu la matatizo makubwa ya waafrika halafu unalaumu dini zilizokuja na mambo yake na ustarabu waka na hazijamlazimisha mtu azifuate.

Ni sawa na ajira hakuna mtu anayelazimishwa kuajiriwa lakini maisha tu ndiyo yatamfanya atafute ajira.
 
Okay.
Ila yote kwa yote, hizo dini ndizo source nyingine ya wewe au hao wasomi kufikia hatua ya kuitwa msomi, lkn huwezi kukataa muingiliano wa dini, elimu na uwezo finyu wa baadhi ya waafrika katika kufanya maamuzi kwa manufaa yao wenyewe ni zero.
Ni bora sasa baada ya dini hizi mana angalau hata tunaweza hata kuwa na kinachoitwa nchi yetu na hatuingiliwi na mtu.

Enzi za mababu na dini zao ndio walikua ziro kabisa mana walijawa na hofu na ushirikina mtupu huku wakiwa hawana umoja. Ndio maana Afrika kuna utajiri wa Lugha ,mila na imani tofauto tofauti.Kila ukoo una mila zake na haziingiliani na ukoo mwingine na hata kuona walikua hawaoani.

Kabla ya dini za kigeni kama zinavyoitwa( japo nakataa mana zilikua zetu tukazipoteza wenzetu wakaturejeshea tena) mkurya alikua hawezi kumuoa Mzaramo.
Walikua ni watu wawili tofauti kabisa kiimani,kimila ,kikabila.
Ukabila na ubaguzi ulikua ni mkubwa sana kabla ya dini nzuri za tulizokua tumezipoteza zamani kurejeshwa tena kwetu japo zililetwa na watu wenye mila zao kama wazungu na waarabu.
Tulipaswa kuchukua dini zetu na kuachana naila zao.

Udhaifu wa dini za waafrika baada ya kupoteza dini kwa karne nyingi na kubaki kuishi kwa kukisia tu kuliwafanya Wawe dhaifu mara mia ya watu wa leo ndio maana walitawaliwa na watu wa Chache kabisa.
Anakuja mwarabu mmoja anakubebesha Pembe ya ndovu kutoka Tabora mpaka Bagamoyo huku yeye akiwa amebebwa mabegani na vijana wanne wa Kinyamwezi wenye nguvu Mara nane yake lakini wanamfikisha salama Bagamoyo huku wakiinama na kumlamba miguu kwa shukurani kuwa wamefika salama.
 
Tufanye wote tunatumia literatures za wanahistoria au watunza kumbukumbu mbalimbali ambao wamefuatilia na kugundua kuwa bado mambo mengine hayajapatiwa ufumbumbuzi!

Taj Mahal; hizo secret chambers hajizawekwa wazi kama unavyodai hata serikali ya India haijaliweka wazi hili. Kuna cenotaphs mbili zimekaa kimshazari wengi wanaamini ndio makaburi yao ila kiuhalisia siyo ni sehem ambayo unaweza kuangalia kwa mbali ila huoni kitu. The two secret coffins are in a secret place below the garden level.. In addition people believe may be there can be a big treasure behind those doors. Archaeologists believe that there can be historic documents behind those doors which can change history...
https://www.google.com/amp/s/timeso...o-visit-it-again/amp_articleshow/64635592.cms

The great Sphinx... According to some sources Japanese's are the one's who tried to explore what behind the sphinx but still nothing was yet to be confirmed on the discovered chambers and hidden underground tunnels...


Kuweka records sawa kuwa lengo langu ni nini.. Wenzetu wapo makini sana kwenye kuhifadhi kumbukumbu zao sana as hizo temple, tombs n.k walikuwa wanazika records, treasures, kwa emperors wao wa kipindi hicho, which can lead us to learn more about ancient traditions tofauti kwetu huku ukifukua kaburi utaambulia mifupa tu.. Ndio maana bado watu wapo curious kuinvestigate kunani nyuma ya hizo temple/tombs.
Majengo haya yote yamechunguliwa na wataalamu kutoka nchi nyingi tena na tena (isipokuwa kaburi la kaisari wa China lililogunduliwa tangu 1974 tu).
Pale juu hutaji taarifa za wataalamu bali ya majarida na zovuti zinazotafuta wateja (watu wanaotazama bidhaa zinazotangazwa humo maana wanalipwa na makampuni yanayoweka matangazo). Hapa unapata tena na tena majarida kama hayo yanayopiga kelele pasipo na sababu kwa sababu wanataka kuvuta wasomaji (clicks money for them).
Msingi wote wa story ya Sfinksi ni Mwingereza aliyechimba pale miaka 160 iliyopita na hakuwa mtaalamu. Msingi wako wa story ya Taj Mahal ni ukurasa wa kitalii katika gazeti la Kihindi. Una chochote kilichotungwa na mtu anayejua anachoandika?

Hoja kuhusu umuhimu wa kutunza urithi wa kihistoria nakubali kwa mikono yote miwili.
 
Asante.

Bado tunaendeshwa kifikra na hao wakoloni ingawa kwa nje tunaonekana tunajitawala.

Hawa jamaa bado wana nguvu ingawa haionekani kwa macho na ndiyo maana bado tunawategemea kwa bajeti na misaada kutokana na utawala wa kikoloni kwa taifa.
Ni bora sasa baada ya dini hizi mana angalau hata tunaweza hata kuwa na kinachoitwa nchi yetu na hatuingiliwi na mtu.

Enzi za mababu na dini zao ndio walikua ziro kabisa mana walijawa na hofu na ushirikina mtupu huku wakiwa hawana umoja. Ndio maana Afrika kuna utajiri wa Lugha ,mila na imani tofauto tofauti.Kila ukoo una mila zake na haziingiliani na ukoo mwingine na hata kuona walikua hawaoani.

Kabla ya dini za kigeni kama zinavyoitwa( japo nakataa mana zilikua zetu tukazipoteza wenzetu wakaturejeshea tena) mkurya alikua hawezi kumuoa Mzaramo.
Walikua ni watu wawili tofauti kabisa kiimani,kimila ,kikabila.
Ukabila na ubaguzi ulikua ni mkubwa sana kabla ya dini nzuri za tulizokua tumezipoteza zamani kurejeshwa tena kwetu japo zililetwa na watu wenye mila zao kama wazungu na waarabu.
Tulipaswa kuchukua dini zetu na kuachana naila zao.

Udhaifu wa dini za waafrika baada ya kupoteza dini kwa karne nyingi na kubaki kuishi kwa kukisia tu kuliwafanya Wawe dhaifu mara mia ya watu wa leo ndio maana walitawaliwa na watu wa Chache kabisa.
Anakuja mwarabu mmoja anakubebesha Pembe ya ndovu kutoka Tabora mpaka Bagamoyo huku yeye akiwa amebebwa mabegani na vijana wanne wa Kinyamwezi wenye nguvu Mara nane yake lakini wanamfikisha salama Bagamoyo huku wakiinama na kumlamba miguu kwa shukurani kuwa wamefika salama.
 
Haya ni makaburi. Makaburi huwa yanafunguliwa? Umesahau kuwa kaburi ni mlango?
Utaratibu wao ni tofauti yanajengwa mahekalu kwa ajili ya kumbukumbu si kuzika ardhini na kufukia kwa udongo kama tulivyozoea.
 
Yote yako jamii zilizo gubikwa na himaya ya dini za shetani. Ndio ujue hofu ni moja ya silaha kuu za shetani.
 
Umesahau kuwafahamisha wasomaji wako kuwa sanamu la "The great SPHINX Giza" ambayo liko Egypty,..



Vita vya kwanza vya Dunia Majeshi ya Ufaransa yaliipiga Mabomu Pua ya hilo sanamu ambayo ilifanana na Pua ya Mwafrika ili kufuta ushahidi kuwa Pyramid na vitu vyengine vya kale Egypt vilijengwa na Waafrika..
Sphinx-Crop-2.jpg
 
Umesahau kuwafahamisha wasomaji wako kuwa sanamu la "The great phoenix of Giza" ambayo liko Egypty,..

Vita vya kwanza vya Dunia Majeshi ya Ufaransa yaliipiga Mabomu Pua ya hilo sanamu ambayo ilifanana na Pua ya Mwafrika ili kufuta ushahidi kuwa Pyramid na vitu vyengine vya kale Egypt vilijengwa na Waafrika..View attachment 1156793
Sphinx
 
Umesahau kuwafahamisha wasomaji wako kuwa sanamu la "The great phoenix of Giza" ambayo liko Egypty,..

Vita vya kwanza vya Dunia Majeshi ya Ufaransa yaliipiga Mabomu Pua ya hilo sanamu ambayo ilifanana na Pua ya Mwafrika ili kufuta ushahidi kuwa Pyramid na vitu vyengine vya kale Egypt vilijengwa na Waafrika..View attachment 1156793
Shukrani sana kiongozi kwa ujazo huuu..marekebisho hapo ni sphinx mdau hapo juu ashaliweka sawa.
 
Back
Top Bottom