Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes nimeiona ile ndio movie pekee ya kizungu nimeiona ya tomb raiding.Karibu sana mkuu[emoji4][emoji4]
Nadhani hii umeingalia Tomb Raider ya Lara Croft... One of the interesting movie and story beneath...
Perfect.... Nitakukumbuka nikiweka makala nyingine ya historia/mysteriesyes nimeiona ile ndio movie pekee ya kizungu nimeiona ya tomb raiding.
zilizobaki nmeziona series za kichina kama mystic nine/ lost tomb/ candle in the tomb
sasa hivi naangalia lost tomb Session 2
huwa napendaga mikasa yao na pia zile ancient things kwasababu napenda historia
siri hufichwa kwa manufaa ya kizazi kijacho.
sasa kama zinaendelea kuwa siri zina haja gani?
[emoji3][emoji3]Sasa kitu tangu karne hizo kimefichwa mpaka leo kinaendelea kufichwa kinasubiri kizazi kipi?Ushasema mwenyewe kizazi kijacho... Subiri hicho kizazi ndo wataziona.
Ni propaganda tu za uongo ambazo tumemezeshwa.Are yet to be explored[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3]Sasa kitu tangu karne hizo kimefichwa mpaka leo kinaendelea kufichwa kinasubiri kizazi kipi?
sehemu nyingi uchunguzi walifanya wao wamisionari na document wanazo, kama hoja ya TODAYS hapo kuhusu songea nasikia wazungu wanaingia kwa kivuli cha kanisa na kujenga mashule au sehemu za ibada lkn wanajua kuna wanachotafutaUbaya ya kwetu hayapo documented
Hawakufanya succession plan yeyote. Labda kutuhofia waswahili. Wao wamebaki na siri nyingi vingine wameondoka navyo kabisa.sehemu nyingi uchunguzi walifanya wao wamisionari na document wanazo, kama hoja ya TODAYS hapo kuhusu songea nasikia wazungu wanaingia kwa kivuli cha kanisa na kujenga mashule au sehemu za ibada lkn wanajua kuna wanachotafuta
usinisahau ...mana sijaona mada yoyote ya Tomb raiding humuPerfect.... Nitakukumbuka nikiweka makala nyingine ya historia/mysteries