Milango minne ambayo haijawahi kufunguliwa

Shukrani sana kiongozi kwa ujazo huuu..marekebisho hapo ni sphinx mdau hapo juu ashaliweka sawa.
Asante kwa marekebisho, maudhui hasa yalikuwa KUHUSU nini kimetokea kwenye PUA yake Sphinx sio JINA lake...
 
I'll kuingia katika sehemu mbalimbali za kihistoria za Siri Kuna (codes)kanuni maalum za kufungua na kufanya mambo mengine humo na hizo kanuni zipo maeneo maalum na ili kufika maeneo hayo unahitaji ramani no
Lakini kizazi jeuri wanaamua kulazimisha na mwisho wa siku kutokea mabalaa na laana
Niishie hapo Kwanza.
 
Hahahahah eti kizazi jeuri..... Liendeleze mkuu
 
Unaposema waligharimu tembo kadhaa sijui vidume 100 unamaanisha nini?
 
Unaposema waligharimu tembo kadhaa sijui vidume 100 unamaanisha nini?
Tembo 1000 walitumika kubeba materials mbalimbali kwa ajili ya ujenzi, vidume ni neno la mtaani likamaanisha wanaume wa kazi/men at work.
 
Reactions: T11
Kijacho. Kwani umeambiwa hiki ndo kizazi cha mwisho...? Mwaka 6500 watakuja watu kusema miaka ya 2000 walifungua vyumba vitano, cha sita kikagoma ando wataweza wao
can't imagine?? 6500 kiama kitakuwa bado kweli?
 
Zunguphobia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…