Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Sehemu ya Nne;

Ndoa ya Siri yawa Shimo la Kifo

Maisha ya Milembe na Dayfath yalikuwa ni mafumbo. Uhusiano wao ulikuwa umevunjika, lakini hisia zilitawala zaidi.

Upendo wa Dayfath kwa Milembe ulibadilika kuwa wivu usio na mipaka. Alianza kuhisi kuwa Milembe anamwacha, akihofia kuwa alikuwa akipoteza nafasi yake.

Lakini badala ya kuachilia, alichukua uamuzi mgumu—wa kutafuta njia ya kumtoa Milembe kwenye maisha yake, kwa njia ya giza na kifo.

Baada ya majibizano na wivu uliokomaa, Dayfath alizungumza na Safari Lubingo, rafiki yake wa zamani, na wakapanga kutafuta wauaji.

Safari akampata Genja na Mussa—watu waliokuwa na mikono ya damu. Walipanga na kuamua kuwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2023 ingekuwa ndiyo mwisho wa Milembe.

Baada ya kufika kwenye "site", Milembe aliagana na wanaume hao watatu; Genja, Mussa, na Safari, wakiwa wamejiandaa kwa kazi yao ya mwisho.

"Nitawaita baadaye, baada ya kumaliza mazungumzo." Milembe alisema, akiwa na matumaini kwamba kila kitu kitatendeka kama kawaida.

Lakini, asilokuwa akilijua, tayari mawimbi ya hatari yalikuwa yameanza kupiga chini ya maji, yasiyoonekana.

Muda ulipofika, Milembe aliwapigia simu. Wakajitokeza kwa kasi na kuingia kwenye eneo la ujenzi. Na ghafla kitu cha ajabu kikatokea.

Itaendelea...

🙂🙂🙂🙂🙂
 
Ukisoma vizuri alitaka kuendelea kukobolewa ila Milembe alikuwa anamtolea nje...alichokwa na yeye alikuwa king'ang'anizi...
Wanawake tunajuana hivyo ni rahisi kujua wapi pa kushika ili huyu mtu asisimke...nyie mnachojua ni kuzamisha tu na kutuuliza..UMEKOJOA?!😳🥴
Basi nitakuwa nime-overlook

Ila ni kama Milembe alizama sana kwenye penzi la huyo DayFath wake kuliko mwenzake.

Ni kweli Wanawake mnajua code zenu, unachotakiwa kufanya ni kumwelekeza Me wako code zako zote ili azidi kukufurahisha.

Vinginevyo m-date na Wanaume aged kidogo ama wale waliopita mafunzo ya Jandoni.
 
Sehemu ya Nne;

Ndoa ya Siri yawa Shimo la Kifo

Maisha ya Milembe na Dayfath yalikuwa ni mafumbo. Uhusiano wao ulikuwa umevunjika, lakini hisia zilitawala zaidi.

Upendo wa Dayfath kwa Milembe ulibadilika kuwa wivu usio na mipaka. Alianza kuhisi kuwa Milembe anamwacha, akihofia kuwa alikuwa akipoteza nafasi yake.

Lakini badala ya kuachilia, alichukua uamuzi mgumu—wa kutafuta njia ya kumtoa Milembe kwenye maisha yake, kwa njia ya giza na kifo.

Baada ya majibizano na wivu uliokomaa, Dayfath alizungumza na Safari Lubingo, rafiki yake wa zamani, na wakapanga kutafuta wauaji.

Safari akampata Genja na Mussa—watu waliokuwa na mikono ya damu. Walipanga na kuamua kuwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2023 ingekuwa ndiyo mwisho wa Milembe.

Baada ya kufika kwenye "site", Milembe aliagana na wanaume hao watatu; Genja, Mussa, na Safari, wakiwa wamejiandaa kwa kazi yao ya mwisho.

"Nitawaita baadaye, baada ya kumaliza mazungumzo." Milembe alisema, akiwa na matumaini kwamba kila kitu kitatendeka kama kawaida.

Lakini, asilokuwa akilijua, tayari mawimbi ya hatari yalikuwa yameanza kupiga chini ya maji, yasiyoonekana.

Muda ulipofika, Milembe aliwapigia simu. Wakajitokeza kwa kasi na kuingia kwenye eneo la ujenzi. Na ghafla kitu cha ajabu kikatokea.

Itaendelea...

Ova
Hatari hii
 
Ukisoma vizuri alitaka kuendelea kukobolewa ila Milembe alikuwa anamtolea nje...alichokwa na yeye alikuwa king'ang'anizi...
Wanawake tunajuana hivyo ni rahisi kujua wapi pa kushika ili huyu mtu asisimke...nyie mnachojua ni kuzamisha tu na kutuuliza..UMEKOJOA?!😳🥴
Ila mahusiano mengi ya wasagaji ni toxic, wanapigana sana. Ukiwa mtu wa viwanja vikubwa hapa town, dodoma au moro utaona, tunaamua sana maugomvi yao unadhan wanapigania mwanaume kumbe wanapigana kisa wivu.

Kuna siku tupo tumechill tu mara dem akatoka toilet tunashangaa anamfuata mwenzake na kumpiga bonge la kofi kisha akamwagia bia, kutatua ugomvi ikajulikana kumbe wivu, wanasagana na huyo dem sasa akaona dem ana hangout na mwanaume pale ndo ikawa kesi.

Malesbian ni takataka kabisa
 
Back
Top Bottom