To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣 Na kuvuja jasho ambalo walipaswa wavuje kwenye kazi ngumu za kuingiza mkwanjaKwa kweli, vinginevyo wajiandae kufia kwenye kinena 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Na kuvuja jasho ambalo walipaswa wavuje kwenye kazi ngumu za kuingiza mkwanjaKwa kweli, vinginevyo wajiandae kufia kwenye kinena 😜
Ule wa ngiri aliuleta Nikifa MkeWangu Asiolewe 🤣🤣🤣Kuna uzi mmoja nilicheka sana. 😂
She is doing good, japo ni miezi 3 sasa tangu aende kusalimia watoto wetu huko MjiniWell said babu.
Bibi-babe hajambo?
Usipomfikisha Kibo, unaweza kuachwa🤣🤣🤣 Na kuvuka jasho ambalo walipaswa wavuje kwenye kazi ngumu za kuingiza mkwanja
Ko ulijua utaondoka hujaacha mkwanja....ulinipendea uchafu? Toa sadaka nikapendeze tena unipende na kesho🤒Usipomfikisha Kibo, unaweza kuacha
Usipompa hela, pia unaweza kuachwa
Kweli Wanaume tumeumbiwa mateso 🙌
Good to know she’s okay.She is doing good, japo ni miezi 3 sasa tangu aende kusalimia watoto wetu huko Mjini
Na hii baridi ya huku Milimani, Babu yenu nakoma 🤗🙌
Tunakusubiri hapa,huoni unavyotembeaWaliuzima kwa muda, hadi wakanipa uvivu kuumalizia.
Ova
Ushauri wa kikauzu huu🤣🤦🙌Good to know she’s okay.
Vaa sweta na soksi nzito babu, kuna “limonia”
Umenikumbusha issues ya piddy. Tisii ya mchongo walishusha pumzu KESI ya kibaoHabari hii ni ya Ukweli au ni kisa cha kutunga ili kuwatoa Watu kwenye reli?
Ni kweli kwamba hiyo ndiyo sababu iliyopelekea mauaji ya huyo mtu au wewe umetumwa ili kuwapoteza Watu maboya?? Just a spining propaganda?
Baada Agosti 27, 2024 mahakama kutoa hukumu ya kesi tukio kuuawa kwa Milembe Maunga, na watuhumiwa watatu kukutwa na hatia, wakihukumiwa kunyongwa, kwa sasa napata fursa ya kulielezea tukio hilo kwa kina namna lilivyokuwa.
Yatakuwa maelezo marefu kidogo, ila nitajitahidi kulielezea lote kwa awamu hadi nifikie mwisho. Hivyo, nitakuwa nikiendelea kwenye eneo la maoni.
Naanza...
Mauaji ya Siri: Mapenzi, Wivu, na Kifo
USIKU ulikuwa umetulia sana huko Mwatulole, wilaya ya Geita, mnamo Aprili 25, 2023.
Milembe Suleiman Hungwe alikuwa amepanga mipango ya siku inayofuata, lakini hakujua kwamba huo ulikuwa usiku wake wa mwisho duniani.
Akilini mwake, hakukuwa na wasiwasi wowote. Kila kitu kilionekana kikiwa kawaida, lakini nyuma ya pazia, jambo kubwa lilikuwa linapangwa dhidi yake.
Ndani ya kuta za nyumba isiyoisha kujengwa, yaani pagale, iliyomilikiwa na Milembe, palikuwa na siri nzito. Siri iliyogubikwa na wivu wa kimapenzi.
Twende pamoja
Milembe, ni mwanamama imara aliyefanikiwa sana kazini kwake, nyuma ya maisha yake ya siri kulikuwa na jambo moja alilolificha kwa uangalifu mkubwa—uhusiano wake wa kimapenzi.
Milembe na Dayfath Suleiman Maunga hawakuwa tu marafiki wa kawaida. Kwa muda mrefu, walikuwa wapenzi wa jinsia moja (lesbian), uhusiano ambao waliishi nao kwa siri kubwa.
Katika jamii yao, uhusiano kama huo ulikuwa kinyume katika mila na desturi, jambo lililowalazimu kuficha hisia zao.
Dayfath alikuja kwenye maisha ya Milembe kwa njia ya kawaida—alianza kama mfanyakazi wake katika biashara ya duka la vipodozi la Milembe.
Lakini muda ulivyopita, hisia za kimapenzi zilianza kuchanua kati yao. Wakianza kuishi kinyumba maeneo ya Usagara, Mwanza, wakiishi na mama yake Milembe, msaidizi wa kazi za nyumbani, na baadhi ya ndugu.
Ulimwengu wao ulikuwa ni wa siri sana, lakini ni ulimwengu ambao siku moja binti wa Milembe, Grace Evarist Gervas, aligundua kitu kuhusu mama yake na Dayfath ambacho kilimshangaza sana.
Itaendelea...
Ova
Soksi na Sweta havitoshi Mjukuu....Good to know she’s okay.
Vaa sweta na soksi nzito babu, kuna “limonia”
Unaona unaona!!! Ulivyoanza tu na habari za baridi nikajua tayari! 😂Soksi na Sweta havitoshi Mjukuu....
Usiku unakuwa mrefu Mjukuu nikiendelea Kulala peke yangu 🤗
Hahaha...................Tena Siku hizi bei ya kusuka nywele imepanda, bila 50k Bibie hajasuka 🙌Ko ulijua utaondoka hujaacha mkwanja....ulinipendea uchafu? Toa sadaka nikapendeze tena unipende na kesho🤒
Hahaha.................tuoneeni huruma Wazee 🤗Unaona unaona!!! Ulivyoanza tu na habari za baridi nikajua tayari! 😂
Haya mwite mdakuzi aendeleze story mi kusoma kile kizungu siwezi.
Si ndo hapo Mtu anaanza kutanga tanga na kutokula kuku kitaa na totozi anaenda kuishia Jela.Huwa nashangaa sana anayeshiriki deal ya kuua, kwa nini afanye hivyo wakati hakuna namna ambavyo hatajulikana na kudakwa. Sijui unakuwa umepewa kiasi gani mpaka kurisk maisha yako
Kwa kweli tunaoteseka ni sisi mshabiki, ila familia nayo ni muhimu kwa afya ya mwandishi wetu ☺️Mdakuzi ni hadi nimuachie ndio aandike, poleni.