Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Nilichogundua, Dayfath hakunogewa na kusagwa Tu, pia pesa...hadi Milembe anauawa mtaji wa biashara ya kukopesha kwa riba sh. 20mil. alikuwa nazo yeye,
Pia Dayfath alikuwa smart kidogo maana baada ya jaribio la kumuua "the King" mara ya Kwanza kushindikana kutokana na mazingira, aliwaamwambia mmoja WA wauaji aombe lift kwa Milembe wakati Milemba akitoka Mwanza kwenda Geita na humo ndani ya gari adanganye kuwa yeye ni mganga wa kienyeji ambaye huwapa zindiko wachimbaji WA madini (dhahabu na uganga ni kama kulwa na doto) na mlengwa alielewa na yeye akanasa kwenye mtego na kuomba naye afanyiwe zindiko kwenye mradi wake WA ujenzi....
Siku anaenda site kufanyiwa zindiko ndipo majamaa 'waganga' wakamkata mapanga
(nimeyasoma kwenye ukumu) Kama unataka kujifunza kusoma kwa speed kubwa, Pg 200 kwa Sana moja njoo inbox nikupe mbinu!
Mkuu inbox tunatafuta nini??

Wewe tufundishe hapa Watanzania wenzako nasisi tuwe wakali kwenye usomaji.

Natanguliza shukrani.
 
Hivi unajua kuwa ukiwa una hadithiwa story ya kweli ubongo automatic unakuwa unajua kuwa hii ni kweli lakini kwa hii story yako ni kama una TUNGA TUNGA tu kwa vile majina ya watuhumiwa unayo basi na wewe unatambaa na CHAKI {in kashasha voice }😂😂😂😂😂😂
Buraza .... Hata sisi tuliosoma Shule za vidumu mifagio na mbolea mbona tumesoma hukumu fresh tu... Kama hamumuamini msimulizi kasome hukumu mwenyewe..... Au kiingereza ni Cha " I TEAR MY HAIR " YAANI "NIMECHANA NYWELE ZANGU".... kama kiingereza mgogoro sema tumuite Mwenyekiti awapatanishe na kiingereza muelewane.
 
Mkuu inbox tunatafuta nini??

Wewe tufundishe hapa Watanzania wenzako nasisi tuwe wakali kwenye usomaji.

Natanguliza shukrani.
Hapa tutavuluga mada hii...
Kuna kitabu nitawapa kinafundisha jinsi ya kusoma kwa speed...
Elimu yetu Tanzania ni shida Sana, unamaliza chuo kikuu bado "unasoma kwa kutamka kimoyomoyo neno kwa neno"
 
Hapa tutavuluga mada hii...
Kuna kitabu nitawapa kinafundisha jinsi ya kusoma kwa speed...
Elimu yetu Tanzania ni shida Sana, unamaliza chuo kikuu bado "unasoma kwa kutamka kimoyomoyo neno kwa neno"
Ni sahihi Mkuu hii ni changamoto.

Tafadhali share nasi hicho kitabu.
 
Tunaumiza sana watoto. Watoto wataishi na maumivu maisha yao yote.

Imagine mtoto kukua akiwa anajua mama alikuwa anatembea na KE mwenzie au baba alikuwa anatembea na ME mwenzie!
Hata kama tunatenda dhambi, Mungu atusaidie tusifike huko

Ni aibu na fedheha pia hasa ukishafika kuanzia miaka 45, maana wakati mwingine Ujana huwafanya wengi kuwa vipofu
 
Dah! Hukumu imemtaja Shahidi 'Noel Kaji Ndassa', mwenyekiti wa mtaa mwatulole. Huyu bwana nae aliuwawa kwa kukatwa mapanga. Za chini chini zikadai alikuwa na ushahidi nyeti dhidi ya hiyo kesi ya milembe. Wakaona wamtangulize mapema. Jalada lake yeye sijui linaendeleaje!
 
🤣🤣🤣 Haya bhana... sikuhizi sijui wanaume wamekuwaje? Umri unavyokwenda mbele ndo wanazidi kuwa wakakamavu kwenye mambo yetu🤦😔
Hahaha...........itakuwa uzoefu na mbinu ndiyo vinatumika wakati huo.

Mtu anakuwa na uwezo wa kujizuia hadi ahakikishe Mwenza wake amefika safari ndiyo naye anafika 😜🏃🏃
 
Back
Top Bottom