Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Kuna wakati Wazee tunatamani nyama lakini ndiyo vile hatuna meno ya kutafuna 😜

Siku hizi nimesikia mabinti wengi ni Mafundi, kwahiyo ukikutana na mbobezi, hata kama ulikuwa goigoi kusimama, unajikuta unaamka na unatekeleza majukumu kama ulivyokuwa Kijana Mwaka 47 tu 🤗🏃🏃🏃
😂😂
 
Kuna wakati Wazee tunatamani nyama lakini ndiyo vile hatuna meno ya kutafuna 😜

Siku hizi nimesikia mabinti wengi ni Mafundi, kwahiyo ukikutana na mbobezi, hata kama ulikuwa goigoi kusimama, unajikuta unaamka na unatekeleza majukumu kama ulivyokuwa Kijana Mwaka 47 tu 🤗🏃🏃🏃
Sawa Babu, mafunzo mema.
 
Watu tunapaswa kujua kuwa ukifanya uhalifu mkubwa kama mauwaji ni lazima ujulikane na kukamwatwa.
Hata ukifanya usiku wa manane bila kumshirikisha
mtu.
Kuna Wachawi wanakuona na kuwaambia Polisi.
Cc MshanaJR, 😎
Hii ni ajabu,...hata mussa alipokuwa misri,...aliua mtu kwa siri, kesho yake akakuta watu wanapigana akaamua kuwaamulia, mmojawapo akaropoka " nani amekufanya kuwa muuamuzi kati yetu, au na sisi unataka utuue ukatufukie kwenye mchanga kama uivyomuua yule mmisri?..."...mussa akasepa kama ngiri mkia juu, V16
 
Aliyeketi kwenye kiti cha enzi moyoni mwangu.
Watu watatu ambao hupaswi kuwashauri:

1) Mwanamke aliyependa (huba,penzini ).

2) Mwanamke aliyempenda mchungaji.

3) Mwanaume mwenye hela zake.

Kwa kifupi, akili yako haifanyi kazi vizuri kwani upo kwenye:

mahaba

hali ya kuingiwa moyoni na mtu au kitu na kukithamini zaidi ya vingine


Nb: Mungu awajalie huko mlipo, tusionekane tunaleta nongwa!
 
Watu tunapaswa kujua kuwa ukifanya uhalifu mkubwa kama mauwaji ni lazima ujulikane na kukamwatwa.
Hata ukifanya usiku wa manane bila kumshirikisha
mtu.
Kuna Wachawi wanakuona na kuwaambia Polisi.
Cc MshanaJR, 😎
Watu hawaelewi mkuu kuna jamaa alikuwa anaiba ng'ombe kijijini yeye haibi nyingi ni moja tu akiiba leo mnakaa mnasahau baada ya miezi mitatu anaiba tena, sasa siku moja mmama mmoja tunamchujua ni mchawi amekunywa akaropoka kwenye pombe kwamba fulani ndio mwizi watu wakachukulia poa fununu zikasambaa aaha wakasema ngoja tumkamate tumpige tuone kama ni kweli jamaa akashikwa akapigwa akasema ni yy na atawapeleka kwa watu anaowauzia so wachawi wanajua kila kinachoendelea usiku.
 
Blender kazini.
download (8).jpeg
 
Un
Baada Agosti 27, 2024 mahakama kutoa hukumu ya kesi tukio kuuawa kwa Milembe Maunga, na watuhumiwa watatu kukutwa na hatia, wakihukumiwa kunyongwa, kwa sasa napata fursa ya kulielezea tukio hilo kwa kina namna lilivyokuwa.

Yatakuwa maelezo marefu kidogo, ila nitajitahidi kulielezea lote kwa awamu hadi nifikie mwisho. Hivyo, nitakuwa nikiendelea kwenye eneo la maoni.

Naanza...

Mauaji ya Siri: Mapenzi, Wivu, na Kifo

USIKU ulikuwa umetulia sana huko Mwatulole, wilaya ya Geita, mnamo Aprili 25, 2023.

Milembe Suleiman Hungwe alikuwa amepanga mipango ya siku inayofuata, lakini hakujua kwamba huo ulikuwa usiku wake wa mwisho duniani.

Akilini mwake, hakukuwa na wasiwasi wowote. Kila kitu kilionekana kikiwa kawaida, lakini nyuma ya pazia, jambo kubwa lilikuwa linapangwa dhidi yake.

Ndani ya kuta za nyumba isiyoisha kujengwa, yaani pagale, iliyomilikiwa na Milembe, palikuwa na siri nzito. Siri iliyogubikwa na wivu wa kimapenzi.

Twende pamoja
Milembe, ni mwanamama imara aliyefanikiwa sana kazini kwake, nyuma ya maisha yake ya siri kulikuwa na jambo moja alilolificha kwa uangalifu mkubwa—uhusiano wake wa kimapenzi.

Milembe na Dayfath Suleiman Maunga hawakuwa tu marafiki wa kawaida. Kwa muda mrefu, walikuwa wapenzi wa jinsia moja (lesbian), uhusiano ambao waliishi nao kwa siri kubwa.

Katika jamii yao, uhusiano kama huo ulikuwa kinyume katika mila na desturi, jambo lililowalazimu kuficha hisia zao.

Dayfath alikuja kwenye maisha ya Milembe kwa njia ya kawaida—alianza kama mfanyakazi wake katika biashara ya duka la vipodozi la Milembe.

Lakini muda ulivyopita, hisia za kimapenzi zilianza kuchanua kati yao. Wakianza kuishi kinyumba maeneo ya Usagara, Mwanza, wakiishi na mama yake Milembe, msaidizi wa kazi za nyumbani, na baadhi ya ndugu.

Ulimwengu wao ulikuwa ni wa siri sana, lakini ni ulimwengu ambao siku moja binti wa Milembe, Grace Evarist Gervas, aligundua kitu kuhusu mama yake na Dayfath ambacho kilimshangaza sana.

Itaendelea...

Ova
Unayo picha ya Dayfath Suleiman Maunga
 
Nilichogundua, Dayfath hakunogewa na kusagwa Tu, pia pesa...hadi Milembe anauawa mtaji wa biashara ya kukopesha kwa riba sh. 20mil. alikuwa nazo yeye,
Pia Dayfath alikuwa smart kidogo maana baada ya jaribio la kumuua "the King" mara ya Kwanza kushindikana kutokana na mazingira, aliwaamwambia mmoja WA wauaji aombe lift kwa Milembe wakati Milemba akitoka Mwanza kwenda Geita na humo ndani ya gari adanganye kuwa yeye ni mganga wa kienyeji ambaye huwapa zindiko wachimbaji WA madini (dhahabu na uganga ni kama kulwa na doto) na mlengwa alielewa na yeye akanasa kwenye mtego na kuomba naye afanyiwe zindiko kwenye mradi wake WA ujenzi....
Siku anaenda site kufanyiwa zindiko ndipo majamaa 'waganga' wakamkata mapanga
(nimeyasoma kwenye hukumu) Kama unataka kujifunza kusoma kwa speed kubwa, Pg 200 kwa Sana moja njoo inbox nikupe mbinu!
 
Back
Top Bottom