Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Bado ndo ipo kwenye mchakato ila wazee WA kuhisi wanadai jamaa alikuwa anapiga business ya madini na wapakistani akawadhurumu ndo jamaa wakaamua kumuulia mke na house gal Kisha wakammaliza na yeye ila izo ni story kabla ya kesi ngoja tusubiri wakipatikana watuhumiwa na uchunguzi ndo tutaipata vizuri true story
Hivi hii story iliishaje mkuu?
 
Babu hebu tupumzishe jamani, we tuition ya nini saa hizi? Au ndio ng’ombe hazeeki maini?

Umenichekesha sana.
Kuna wakati Wazee tunatamani nyama lakini ndiyo vile hatuna meno ya kutafuna 😜

Siku hizi nimesikia mabinti wengi ni Mafundi, kwahiyo ukikutana na mbobezi, hata kama ulikuwa goigoi kusimama, unajikuta unaamka na unatekeleza majukumu kama ulivyokuwa Kijana Mwaka 47 tu 🤗🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom