Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Uandishi bora kabisa huu, story Ina mpangilio mzuri sana hakuna makosa ya mkato wala nukta wala nini.

Umeandika kisomi, wengi wanapaswa kuweka story zao kwenye uandishi kama huu.

Swali: huyu dada alikuwaga na uhusiano na binti fulani mdogo wake aliyekua waziri shonza na zile video zao wakipeana utamu zilitrend sana. Je ilikua ni kabla au baada ya huyo dayfath?
 
Habari hii ni ya Ukweli au ni kisa cha kutunga ili kuwatoa Watu kwenye reli?
Ni kweli kwamba hiyo ndiyo sababu iliyopelekea mauaji ya huyo mtu au wewe umetumwa ili kuwapoteza Watu maboya?? Just a spining propaganda?
Umenikumbusha issues ya piddy. Tisii ya mchongo walishusha pumzu KESI ya kibao
 

Usitutake kusogelea telegram tu.
 
Ko ulijua utaondoka hujaacha mkwanja....ulinipendea uchafu? Toa sadaka nikapendeze tena unipende na keshoπŸ€’
Hahaha...................Tena Siku hizi bei ya kusuka nywele imepanda, bila 50k Bibie hajasuka πŸ™Œ

Bora Bibi zenu Mwaka 47 walikuwa wanasuka twende kilioni tu, Mwanaume unatoa shilingi 150 tu Kwa Msusi kumpendezesha Mkeo
 
Huwa nashangaa sana anayeshiriki deal ya kuua, kwa nini afanye hivyo wakati hakuna namna ambavyo hatajulikana na kudakwa. Sijui unakuwa umepewa kiasi gani mpaka kurisk maisha yako
Si ndo hapo Mtu anaanza kutanga tanga na kutokula kuku kitaa na totozi anaenda kuishia Jela.
Ni basi tu watu roho za kishetani zinakua zimewavaa hakuna namna wanaweza kujiokoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…