Tetesi: Milestone International Co. Ltd iliyolipwa Milioni 866.6 ni kampuni ya Mbowe inayosimamiwa na shemejiye Kineneko Mtei

Status
Not open for further replies.
Ruzuku za CDM ni pesa za walipakodi kachotewa Kineneko Mtei.
 
Naona mmekuja na single ya kufukia ulaji wa hela za wastaafu na chama chao kitukufu. Pia hamtaki kusema ukweli kwamba nchi haikopesheki tena, mkulu ndani ya mwaka mmoja wa fedha ameongeza deni la taifa kwa 12%? Je akikaa miaka mitano hatutauzwa?
 
Si vyema kupambana na ccm chama hovyo na huku tunafanya mambo yanayofanana na ccm.

Wahusika wajitathimini.
 
Jina (Kineneko Mtei) tu limembeba kufanya biashara na chama cha baba na shemeji yake. Hapo kuna Conflict of interest mkuu,toa vibanzi usoni kama tunataka kurekebisha makando kando toa uchama.

Hii kwa nchi zilizoendelea bonge la SKENDO tungesikia Mwenyekiti anajiuzuru kwa kulinda heshima ila kwa vile tupo kwenye nchi za ufia chama kwanza wananchi baadae basi tuhalalishe tu kwa vile CCM wanafanya.
 
Ndio vile vile mnavyo tetea ujinga wa kujizulu na kugombea tena,huku mabilion ya pesa yakiteketea.
 
Majitu mengine sijui akili ziko sehemu gani?
ATCL nayo anaiongoza Mbowe?
Mbona inanuka madeni?
Serikali nayo inadaiwa zaidi ya tshs.trilion 40 hamlioni hilo mnakesha na hela ya mboga hiyo!
 
Kila mtu anakula kwenye office yake au wewe ulitakaje labda
 
Bila kusahau walitaka kuwaingiza raia choo cha kike kwa mtaji wa michango na matibabu ya TL! Mchaga noma! Jamaa hatari sana huyu, bado tetesi ya kuuza chama kwa mzee EL, bado fedha zinavyotoka na kutumika bila rekodi, ila jamaa kawapata kweli, sishangai hawamuondoi, chama ni chake, binafsi, cha familia, atakayepiga kelele asishangae yatakayomkuta, rekodi zipo kwa waliofanyiwa unyama..
 
Majitu mengine sijui akili ziko sehemu gani?
ATCL nayo anaiongoza Mbowe?
Mbona inanuka madeni?
Serikali nayo inadaiwa zaidi ya tshs.trilion 40 hamlioni hilo mnakesha na hela ya mboga hiyo!
Kwaiyo mmeamua kujichotea mapema na nyinyi?

Umeeleweka mkuu.
 
Ruzuku za CDM ni pesa za walipakodi kachotewa Kineneko Mtei.
Mkuu,hapa ndipo tofauti ya fikra nyeusi na nyeupe inapotokea..
*mtanzania gani/shirika lipi leo lisilojua na kutekeleza sheria ya usimamizi wa matumizi ya kiserikali ambayo inawataka kuwasiliaha ‘ripoti iliyokaguliwa’ juu ya fungu la fedha husika ilioyengewa..!
*iweje leo,mnasema “Kaneneko mtei” kala fedha...nini ‘thamani ya Chadema na uhusiano wa watajwa,fedha za ruzuku na serikali’...lets be good,tusiwatakie wenzetu mabaya tu kila siku
 
Ruzuku za CDM ni pesa za walipakodi kachotewa Kineneko Mtei.
Kachotewa na nani? Kwa kazi gani? Haya ndiyo maswali ambayo mnayakwepa! Mnapiga tu pee peee peeee!!la maana hakuna!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…