mmakonde mjanja
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 288
- 128
Caldina Toyota
Munauzaje?
Munauzaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kwa upande wa Dar hatujaanza,tunaanza na Mwanza kwanza baadae tutafanya na Dardar mpo sehemu gani? na utaratibu huo pia mnao kwenye yard ya dar?
Tupo mwanza tunakopesha magari kwa kulipa kidogo kidogo
Karibuni sana
Kwa anaehitaji gari tuwasiliane kwa
0742159556
View attachment 430595
Utatanguliza 50-70% remaining balance utalipa kidogo kidogo,mfano gari la milioni 10 utatanguliza milioni 5 au 7 na kiasi kinacho baki utamalizia ndani ya makubaliano maalumuFunguka, tuonyeshe general terms and conditions, sio vema mtu afike hapo, avutiwe na gari fulani kisha aingie tamaa kwa sababu ya kuona na ghafulale! Akajiingiza kwenye mkopo ambao hajaufanyia tathmini! Funguka, biashara matangazo. Tangaza kikamilifu, yanini mtu aje kufilisiwa?!
Tangazo halijakamilika japo ni zuri.
Utatanguliza 50-70% remaining balance utalipa kidogo kidogo,mfano gari la milioni 10 utatanguliza milioni 5 au 7 na kiasi kinacho baki utamalizia ndani ya makubaliano maalumu
Kwa Mwanza hatuna hiyo gari,kama tutakubaliana tutakuagizia Japan na kukuletea ulipoHilux D4-D 2.5 Diesel, Manual 4WD ya mwaka 2010, double cabin mnauza shilingi ngap na advance mnapokea kiasi gani??
Man #1 'tell me the truth...Man #2 'you can't handle the truth'Tangazo halijakamilika japo ni zuri.
Ingekuwa Daslam ingependeza zaidi,Tupo mwanza tunakopesha magari kwa kulipa kidogo kidogo
Karibuni sana
Kwa anaehitaji gari tuwasiliane kwa
0742159556
View attachment 430595
Mkuu unazingua sana. Tangazo lako haliko vizuri. Unawaacha watu na maswali mengi ya kujiulizaInategemea na gari unayochukua pamoja na thamani ya gari husika
Kwa sasa tunatoa Huduma Mwanza haijalishi unaishi wapi ila sisi ndio tupo MwanzaSawa mkuu, sasa kwa walio nje ya Mwanza, mfano Dar utaratibu ukoje?
Nahitaji kigari kisichozidi 9m.
ukilipa 50%au 70%unalipa balance ndani ya mda gani?dhamana ya kukopa ni nini?jibu haya maswali mawili upumzike!Kwa sasa tunatoa Huduma Mwanza haijalishi unaishi wapi ila sisi ndio tupo Mwanza
Balance utalipa kulingana na uwezo wako pamoja na makubaliano yetu,dhamana ni gari hilo hilo utaacha card ya gari Mara umalizapo deni kadi itabadilishwa na kusoma jina lako,gari utalitumia bila kuwa na card original na pasi kuwa na jina lakoukilipa 50%au 70%unalipa balance ndani ya mda gani?dhamana ya kukopa ni nini?jibu haya maswali mawili upumzike!
mtu anayefanya kazi serikalini unakuwa na uhakika maana kufukuzwa kwake ni kazi kubwa(japo sio karne hii)private sector mda wowote anatimuliwa mtawezaje kumkopesha mtu huyo?Kwa mfano nahitaji gari la m 8,nalipwa m 2 net nkilipa m 4 hyo 4 utaigawa vipi kulingana na mshahara wangu?so ntalipa kwa mda gani?Balance utalipa kulingana na uwezo wako pamoja na makubaliano yetu,dhamana ni gari hilo hilo utaacha card ya gari Mara umalizapo deni kadi itabadilishwa na kusoma jina lako,gari utalitumia bila kuwa na card original na pasi kuwa na jina lako