Miliki nyumba nzuri na ya kisasa kwa gharama nafuu kabisa

Miliki nyumba nzuri na ya kisasa kwa gharama nafuu kabisa

Ayo mambo yapo lakini si kwa kampuni yetu, kazi zetu zina tegemea wateja progressively sasa niki haribu kazi ya mteja si nitakuwa najiharibia bland yangu mwenyewe...? Kuonyesha huyo mtu ni muongo amesema hatupokei simu au tume hamisha ofisi...! Wewe kwa muda wako jaribu kupiga hizo namba kama hazitapatikana au kupokelewa na kama una ishi dar es salaam kwa muda wako pita makumbusho complex na utazikuta ofisi zetu...! Labda kama kuna watu wame tumia jina la kampuni without our knowledge na kumtapeli jamaa....! Tuna saini mikataba inayo tubana kutokana na kazi tuliyo fanya na nyumba inakuwa chininya uangalizi wetu kwa muda wa miaka mitatu iyo ni security tosha kuwa tuna hakika na tunacho fanya...! Matapeli wapo ila sisi si wamoja wapo na kwa sababu kamouni yetu ina tambulika kisheria basi nadhani mpaka sasa tungekuwa na kesi nyingi dhidi yetu....! Kila kauli ni ya kuingalia kwa jicho la tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mie muongo ila nishawapa watu Warning mapemaaa nmenawaa....
 
Basi bei kubwa bora mtu ajenge yeye
Utaratibu wetu huwa hatutaki kumpoteza mteja anapo tufata kwa ajili ya kazi ndo mana hapo chini nikasema hizo bei zina kuwa na maelewano ambayo mwishowe kila mmoja sisi na mteja tuna kuwa katika mazingira ya kuridhika....! Kazi zetu ni za uhakika sanaa na kuhakikishia hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ungetoa japo dokezo, utakuwa umewasaidia wengi, Tazama hadhira ilivyo kubwa, hutokosa watu japo 20 tu watakao hitaji huduma toka kwako.
View attachment 843654
Mfano kwa nyumba ya 35M, mnaanza kujenga kwa advance ya kiasi gani?

Funguka zaidi, ongezea ongezea nyama, kuwa hata na case study ya nyumba mojawapo, ili mtu aje ofisini kujaza mkataba tu na sio kutafuta taarifa ambazo unaweza kabisa kuziweka hapa.
Mwalimu nadhani hapa ndipo watanzania tunapoteleza kidogo, kuweza kuweka taarifa za kutosha zinazokidhi haja za mteja.

Unapoweka bandiko lako jaribu kujiweka kwenye viatu vya mteja- jiulize ni taarifa gani nyepesi itamfanya mtu afanye maamuzi sahihi. Ila utaona mtu anasema nauza kiwanja bei nzuri (jamna eneo, ukubwa, details nk). Mkuu mwaisabila nagewaza kunyambua kuwa wao kama wajenzi wana take care vitu gani, na mchakato mzima upoje (malipo na wamau zake), phases za ujenzi, vifaa mnanunua pamoja wa choice ya mteja au? kuna vijiswali unaweza viona vua kitoto ila ndivyo hizo intangible zinazo differentiate mfanyabiashara mkubwa na mdogo.
 
Mwalimu nadhani hapa ndipo watanzania tunapoteleza kidogo, kuweza kuweka taarifa za kutosha zinazokidhi haja za mteja.

Unapoweka bandiko lako jaribu kujiweka kwenye viatu vya mteja- jiulize ni taarifa gani nyepesi itamfanya mtu afanye maamuzi sahihi. Ila utaona mtu anasema nauza kiwanja bei nzuri (jamna eneo, ukubwa, details nk). Mkuu mwaisabila nagewaza kunyambua kuwa wao kama wajenzi wana take care vitu gani, na mchakato mzima upoje (malipo na wamau zake), phases za ujenzi, vifaa mnanunua pamoja wa choice ya mteja au? kuna vijiswali unaweza viona vua kitoto ila ndivyo hizo intangible zinazo differentiate mfanyabiashara mkubwa na mdogo.
@kinyau aksante, kwa mchango wako, nime jaribu kuweka taharifa muhimu sababu najua kutakuwa na maswali madogo madogo ambayo kila mida ninapo pata nafasi najaribu kuyapatia majibu...! Kuhusu vifaa huwa tunatumia material ambayo ni bora kutokana na pesa ya mteja mwenyewe....! Na pia tuna mpa mteja nafasi ya kwenda nasi kuchagua vifaa ambavyo ata pendelea tuweke wakati wa finishing.

mfano :- kwenye ujenzi wetu tuna tumia Tiles ya china ile yenye ubora wa juu grade one na Spain grade two na taa za ndani hatufungi zinazo zidi gharama ya elfu ishirini, mteja aki taka zaidi ya hapo ina bidi aongeze pesa kidogo....! So mchakato wote mteja anakuwa ana husishwa kwa zaidi ya 80% ili mwisho wa siku tunapo kabidhi kazi mteja anakuwa ameridhika na kazi tuliyo mfanyia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi mpo tayari kuijenga nyumba ndani ya mwaka mmoja then niwalipe kidogo kidogo ndani ya miaka 3

POLO1994
 
Happy yet so kaweka profit margin isyopungua 25 percent ya gharama ya ujenzi. So Bora unenge mwenyewe.
Sija kuelewa unapo sema bora ujenge mwenyewe, una maana una ingia mwenyewe site kuchanganya mchanga na cement...? Kwani kazi tukifanya sisi unakuwa ni ujenzi wa nyumba yetu au nyumba yako...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizi gharama ni kwa Dar na mikoani?nikitaka kujenga kama hiyo lakini iwe na vyumba vinne vya kulala kwa mkoani inaweza kufika shilingi ngapi?asante mkuu
Gharama zetu zipo standard labda kama tuta pata kazi mbali sana ba mjini otherwise gharama zetu zipo standard iwe dar au mkoani, kwa room nne ita kugharimu 300 Millions za kitanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sija kuelewa unapo sema bora ujenge mwenyewe, una maana una ingia mwenyewe site kuchanganya mchanga na cement...? Kwani kazi tukifanya sisi unakuwa ni ujenzi wa nyumba yetu au nyumba yako...?

Sent using Jamii Forums mobile app

Point yangu ni kwamba wewe nyie ni kampuni hivyo lazima mtengeneze faida. So hiyo nyumba ya m35 labda nikisimamia mwenyewe inaweza nigharimu m30.
 
Kwa Ujenzi wa Nyumba Kama Hii Nzuri Yenye Ubora yenye Urefu wa Mita 18 Kwa Mita 12 Unahitaji Kiasi Cha Tsh Milion 55 tu Kwa Ajili ya Kumiliki Nyumba Kama Hii Tuwasiliane Kwa Namba Hizo chini Kwa Ushauri Mbalimbali wa UJENZI wa Nyumba za Makazi Mfano Ghorofa na Nyumba za Kawaida Pamoja na Nyumba za Biashara ,Mashule

Tupigie kwa:-

0715-908698(Call/Whatsaap)
0759-538688(_Call)
0738-885806(TTCL Call)

ONE2ONE FOCUS TANZANIA

ONE2ONE FOCUS TANZANIA LTD

MAKUMBUSHO COMPLEX STENDI JENGO LENYE ATM YA CRDB(Floor ya Kwanza)

Tunajenga na Tunasimamia Ujenzi wako Kuanzia Hatua ya Awali Foundation Mpaka Finishing Sambamba na Kufuatilia Kibali cha Ujenzi na Kutengeneza Ramani ya Nyumba yako

Pia Tunafanya Interior Design ya Ujenzi na Majengo Mbalimbali

Pia Tutatengeza Ramani na Kuandaa BOQ ama Makadirio ya Ujenzi wako Kwa Gharama Nafuu Kabisa

NB;Tunajenga Kwa Malipo(Cash) na Sio Kwa Malipo ya Mkopo.

Tupitie kwenye Tovuti yetu hapo Chini

follow a link to this website: http://one2onefocustanzania.co.tz/ @ Dar es Salaam, Tanzania @ Dar es Salaam, Tanzania

Karibu sana ofisini kwa ushauri na Kazi za UJENZI

Tunajenga Ujenzi wa Kuanzia Hadi Tsh Milion 20 na Kuendelea

Tuna MAFUNDI Waliobobea na Utaalamu wa Hali ya Juu
IMG-20171207-WA0043.jpeg
IMG-20171207-WA0042.jpeg
IMG-20171207-WA0040.jpeg
 
Back
Top Bottom