DOKEZO Milioni 100 alizotoa Makonda, ni za kwake, Serikali au za Nani? TAKUKURU mna jibu?

DOKEZO Milioni 100 alizotoa Makonda, ni za kwake, Serikali au za Nani? TAKUKURU mna jibu?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kiki ya madawa imemlipa sana Bashite
Hakika sasa watu watahoji hadi wataonekana wana wivu. Makonda Leo katoa Shilingi milioni 100 kwa Chama chake CCM ili kuanzisha mfuko wa kusaidiana ndani ya Chama.

Kwa sababu hakusema kuwa fedha hizo ni za serikali au mchango wa wadau basi ni fedha zake mwenyewe.

Hivi Makonda huwa anapata wapo fedha za kuweza kushindana na wafanyabiashara wakubwa registered katika kutoa misaada?

Sheria ya maadili ya viongozi inataka kiongozi kuweka wazi vyanzo vya mapato, zawadi na hata michango inayopatikana kwa kiongozi. Kwa nini huyu jamaa ni exceptional?

Jee ni mla rushwa mkubwa? Mnyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara wakubwa kama tetesi zilivyo? Au pia habari kuwa anatumwa na aliyemteua kukusanya ndio maana hahojiwi?

Kwenye suala hili hakika TAKUKURU wamebaki kuwa Toothless bulldog, na ni aibu kwa taasisi kumshindwa MTU mdogo kama RC wakati tunaona nchi zingine taasisi kama hiyo zinaweza kumuwajibisha hata mkuu wa nchi.

MAKONDA ANATOA WAPI PESA HIZI ZA KUHONGA?
 
Hakika sasa watu watahoji hadi wataonekana wana wivu. Makonda Leo katoa Shilingi milioni 100 kwa Chama chake CCM ili kuanzisha mfuko wa kusaidiana ndani ya Chama.

Kwa sababu hakusema kuwa fedha hizo ni za serikali au mchango wa wadau basi ni fedha zake mwenyewe.

Hivi Makonda huwa anapata wapo fedha za kuweza kushindana na wafanyabiashara wakubwa registered katika kutoa misaada?

Sheria ya maadili ya viongozi inataka kiongozi kuweka wazi vyanzo vya mapato, zawadi na hata michango inayopatikana kwa kiongozi. Kwa nini huyu jamaa ni exceptional?

Jee ni mla rushwa mkubwa? Mnyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara wakubwa kama tetesi zilivyo? Au pia habari kuwa anatumwa na aliyemteua kukusanya ndio maana hahojiwi?

Kwenye suala hili hakika TAKUKURU wamebaki kuwa Toothless bulldog, na ni aibu kwa taasisi kumshindwa MTU mdogo kama RC wakati tunaona nchi zingine taasisi kama hiyo zinaweza kumuwajibisha hata mkuu wa nchi.

MAKONDA ANATOA WAPI PESA HIZI ZA KUHONGA?
Bashite ana uhusiano usiofaa na jiwe
 
Kwa hili simuungi mkono Makonda.. Mmmh, hii inaleta picha mbaya kabisa. It will backfire very soon. CCM sio ya kupokea hela kwa njia za hivyo
Na mbaya zaidi kafanya hivyo mbele ya bosi wake anayesema yuko mstari wa mbele kupinga mambo ya aina hiyo, Katibu mkuu Dr Bashiru
 
Na wewe, nini msingi wako wa kuhitimisha kuwa hoja ni dhaifu?
Umeonyesha uko kumpinga Makonda basically sababu waijua mwenyewe. Wewe mwenyewe unasema hajasema pesa ni zake au laa ila umeamua kuhitimisha kuwa ni zake kisa hajasema ni zake au laa ili tu ujenge msingi wa hoja yako dhaifu.
 
MAKONDA ANAICHAFUA SERIKALI YA AWAMU YA 5 KILA KUKICHA.Jee akiulizwa hizo pesa katoa wapi anaweza eleza umma?
Ana kashfa ya kujipa tenda ya kupiga na kuuzia shule za msingi matofali yaliyo chini ya kiwango kwa bei ya juu.Matofali hayafai kabisa kujengea shule zinayauza sh 500
 
Hakika sasa watu watahoji hadi wataonekana wana wivu. Makonda Leo katoa Shilingi milioni 100 kwa Chama chake CCM ili kuanzisha mfuko wa kusaidiana ndani ya Chama.

Kwa sababu hakusema kuwa fedha hizo ni za serikali au mchango wa wadau basi ni fedha zake mwenyewe.

Hivi Makonda huwa anapata wapo fedha za kuweza kushindana na wafanyabiashara wakubwa registered katika kutoa misaada?

Sheria ya maadili ya viongozi inataka kiongozi kuweka wazi vyanzo vya mapato, zawadi na hata michango inayopatikana kwa kiongozi. Kwa nini huyu jamaa ni exceptional?

Jee ni mla rushwa mkubwa? Mnyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara wakubwa kama tetesi zilivyo? Au pia habari kuwa anatumwa na aliyemteua kukusanya ndio maana hahojiwi?

Kwenye suala hili hakika TAKUKURU wamebaki kuwa Toothless bulldog, na ni aibu kwa taasisi kumshindwa MTU mdogo kama RC wakati tunaona nchi zingine taasisi kama hiyo zinaweza kumuwajibisha hata mkuu wa nchi.

MAKONDA ANATOA WAPI PESA HIZI ZA KUHONGA?
Kina tibaijuka na ngereja wanapigana vikumbo kurejesha hela ya escrow kwa kosa LA kukiuka maadili ya utumishi wa umma,

Double standard Haita waacha ccm salama Sikh za usoni
 
Umeonyesha uko kumpinga Makonda basically sababu waijua mwenyewe. Wewe mwenyewe unasema hajasema pesa ni zake au laa ila umeamua kuhitimisha kuwa ni zake kisa hajasema ni zake au laa ili tu ujenge msingi wa hoja yako dhaifu.

Kwa mshahara na kipato cha u-RC hawezi kutoa mchango kama huo hata wewe ndani ya nafsi yako unatambua hilo....!!

Huu ndo msingi wa hoja ya mleta hoja...

Na kwa hiyo mtoa hoja anatoa wito kwa yeye Makonda kama mtumishi wa umma, anayetumikia ofisi kubwa ya umma kusema ni wapi anakopata fedha nyingi kama hizo zisizoendana kipato chake halali na kinachoelezeka na kujulikana za kutoa msaada huo....

Ishu si yeye kutoa msaada. Kama ni za kwake na kutoka vyanzo vyake halali vya mapato, hakuna mwenye shida na moyo wake wa kutoa msaada kwa yeyote, wakati wowote. Ishu ni kuwa SI MWIZI KWELI HUYU!!??

TAKUKURU ndiyo wanaoweza kutupa jibu....

Na akipenda hata yeye mwenyewe Makonda, anaweza tu kutoka na kuweka wazi hilo, kuna tatizo hapo?

Kuna mwenzake (DED) wa Mkalama DC kule mkoani Singida anachunguzwa na TAKUKURU pengine akapoteza kibarua chake kabisa kwa sababu ya fedha isiyo na maelezo ya kutosha kiasi cha Tshs. 1,370,000 tu sembuse huyu mkuu wa mkoa wa Milioni 100!!???
 
Hongera Makonda kwa kuchangia chama kubwa naona umetimiza ndoto yako..

Milioni 2 kwenye mshahara wako kila mwezi kwa miezi 48 ni milioni 96mil hizo nne unaweza ukawa hata umekopa tu kutimiza 100mil ..wasikuonee wivu tuchangie chama letu CCM ebo..
 
Fedha zinatolewa na wafanyabiashara wanamkabidhi Makonda Ili wapate upendeleo Kama kukwepa kodi,kukwepa Sheria nk.
Kama zamani tu Ila zamani walikuwa wanamkabidhi mfalme sasa hivi wanamkabidhi mtoto wa mfalme.
 
Makonda muuza Ganda,kabaki peke yake kwenye biashara .Miilion miamoja kwa Muuza Ganda tena ya madafu ni pesa ndogo sana.
Ni wivu tuu..in gwaji tone!

Huyu ndio alisambaratisha mtandao wote na sasa vijiweni ni kweupe.
 
Waziri Mkuu
Singida Huko Katema Moto Sana Kwa Mkurugenzi Wa Halmashauri Kujilipa
 
Hongera Makonda kwa kuchangia chama kubwa naona umetimiza ndoto yako..

Milioni 2 kwenye mshahara wako kila mwezi kwa miezi 48 ni milioni 96mil hizo nne unaweza ukawa hata umekopa tu kutimiza 100mil ..wasikuonee wivu tuchangie chama letu CCM ebo..
Hata mnyeti amejenga uwanja wa mpira wenye thamani ya bil 2 kule kwao kwa kutumia mshahara wake.

Hao ndio viongozi wa wanyonge wa awamu ya 5.
 
Makonda ni mwizi tu kama wezi wengine..
Kama kuna jinga linabisha hii kauli yangu aje hapa nimuoneshe kubabake..!!!
 
Back
Top Bottom