DOKEZO Milioni 100 alizotoa Makonda, ni za kwake, Serikali au za Nani? TAKUKURU mna jibu?

DOKEZO Milioni 100 alizotoa Makonda, ni za kwake, Serikali au za Nani? TAKUKURU mna jibu?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni wivu tuu..in gwaji tone!

Huyu ndio alisambaratisha mtandao wote na sasa vijiweni ni kweupe.

Hii ni biashara ya dunia hakuna mwenye uwezo huo, China pamoja na sheria zake zote ngumu za kuua kila siku contena zinashuka, USA na teknolojia yake yote anahaha juzi amekamata submarine ikiwa na mzigo, SA na ujanja wote wameishia kwenye Xenophobia...

Unachoweza kufanya ni kuondoa vurugu na matanuzi ya wauza ngada ili jamii isiwajue, wale wasiojulikana na ambao hata uswazi hawafiki huwa hawagusiki na hawafikiki..Hao mateja unaowaona uswazi wanakula uchafu sio nyeupe yenyewe original ambayo inatumiwa na matajiri..

Pale Mombasa Kenya walifanya crackdown mpaka ikatengenezwa documentary na yule Mbunge wa nyeri, file likaja kutoka mpaka Holland lenye majina na wamiliki wa teritory linking btn Venezuela - Mombasa - Antwep watu walinusa tu misiba ilikuwa mingi mpaka faili likafunikwa.. Hii ni laana mkuu...
 
Alishasema wanaompa Ni wadau wa maendeleo na wanaomuunga mkono katika jitihada zake za kuijenga dar mpya.

Rejea maelezo yake alipompa Juma Kaseja m10.
 
Hakika sasa watu watahoji hadi wataonekana wana wivu. Makonda Leo katoa Shilingi milioni 100 kwa Chama chake CCM ili kuanzisha mfuko wa kusaidiana ndani ya Chama.

Kwa sababu hakusema kuwa fedha hizo ni za serikali au mchango wa wadau basi ni fedha zake mwenyewe.

Hivi Makonda huwa anapata wapo fedha za kuweza kushindana na wafanyabiashara wakubwa registered katika kutoa misaada?

Sheria ya maadili ya viongozi inataka kiongozi kuweka wazi vyanzo vya mapato, zawadi na hata michango inayopatikana kwa kiongozi. Kwa nini huyu jamaa ni exceptional?

Jee ni mla rushwa mkubwa? Mnyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara wakubwa kama tetesi zilivyo? Au pia habari kuwa anatumwa na aliyemteua kukusanya ndio maana hahojiwi?

Kwenye suala hili hakika TAKUKURU wamebaki kuwa Toothless bulldog, na ni aibu kwa taasisi kumshindwa MTU mdogo kama RC wakati tunaona nchi zingine taasisi kama hiyo zinaweza kumuwajibisha hata mkuu wa nchi.

MAKONDA ANATOA WAPI PESA HIZI ZA KUHONGA?
ni mfanyakazi wa B.O.T
 
Kama anaweza kutoa ml 100 msaada, Je yeye amejilimbikizia ngapi.?
Hivi unadhani pesa zinazokamuliwa kutoka kwa watuhumiwa wa kesi za kubambikiwa zinaenda wapi? Unajua ni wafanya biashara wangapi wamelazimishwa kuwapa hela hili genge la wanyang'anyi kuokoa maisha yao? Wengine wamenyang'anywa kwa nguvu hela zao ili wahuni kama akina Makonda wajilimbikizie hela ambazo hawakuzifanyia kazi. Hii ndiyo awamu ya tano.
 
Hii ni biashara ya dunia hakuna mwenye uwezo huo, China pamoja na sheria zake zote ngumu za kuua kila siku contena zinashuka, USA na teknolojia yake yote anahaha juzi amekamata submarine ikiwa na mzigo, SA na ujanja wote wameishia kwenye Xenophobia...

Unachoweza kufanya ni kuondoa vurugu na matanuzi ya wauza ngada ili jamii isiwajue, wale wasiojulikana na ambao hata uswazi hawafiki huwa hawagusiki na hawafikiki..Hao mateja unaowaona uswazi wanakula uchafu sio nyeupe yenyewe original ambayo inatumiwa na matajiri..

Pale Mombasa Kenya walifanya crackdown mpaka ikatengenezwa documentary na yule Mbunge wa nyeri, file likaja kutoka mpaka Holland lenye majina na wamiliki wa teritory linking btn Venezuela - Mombasa - Antwep watu walinusa tu misiba ilikuwa mingi mpaka faili likafunikwa.. Hii ni laana mkuu...
Dah mkuu, hebu fanya mchakato wa link ya hiyo documentary kama unayo share.
 
Za mradi wa jengo la machinjio hizo bilion 14

Jamaa ni mtakatishaji pesa mkubwa sana kwa biasharaa haramu anayofanya
 
Dah!

100M?

Mtu ambaye zaidi ya kuajiriwa kama RC na DC hajawahi kufanya kazi au biashara yoyote halali?

Vita ya rushwa awamu hii ni ya kinafiki kupitiliza.
 
Hakika sasa watu watahoji hadi wataonekana wana wivu. Makonda Leo katoa Shilingi milioni 100 kwa Chama chake CCM ili kuanzisha mfuko wa kusaidiana ndani ya Chama.

Kwa sababu hakusema kuwa fedha hizo ni za serikali au mchango wa wadau basi ni fedha zake mwenyewe.

Hivi Makonda huwa anapata wapo fedha za kuweza kushindana na wafanyabiashara wakubwa registered katika kutoa misaada?

Sheria ya maadili ya viongozi inataka kiongozi kuweka wazi vyanzo vya mapato, zawadi na hata michango inayopatikana kwa kiongozi. Kwa nini huyu jamaa ni exceptional?

Jee ni mla rushwa mkubwa? Mnyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara wakubwa kama tetesi zilivyo? Au pia habari kuwa anatumwa na aliyemteua kukusanya ndio maana hahojiwi?

Kwenye suala hili hakika TAKUKURU wamebaki kuwa Toothless bulldog, na ni aibu kwa taasisi kumshindwa MTU mdogo kama RC wakati tunaona nchi zingine taasisi kama hiyo zinaweza kumuwajibisha hata mkuu wa nchi.

MAKONDA ANATOA WAPI PESA HIZI ZA KUHONGA?
wakati utafika kila mmoja atataja kila uchafu wake
 
Jamaa anazo pesa nyingi sana,siyo wa kawaida.

Fedha za Makonda zinatokana na RUSHWA; hizi million 100 alizotoa kwa ccm ni sehemu ya fungu alilopata kwenye tenda ya COCO beach!!!
Kama sheria ya ANTIMONEY LAUNDERING inalazimisha banks kutoa taarifa kwa FINANCIAL INTELLIGENCE UNIT mara pale mtu anapoweka fedha taslimu zaidi ya millioni 10, inakuwaje Makonda anayetoa fedha nyingi namna hiyo asihojiwe? Hakuna mtu aliye juu ya sheria kufuatana na katiba yetu ; inakuwaje serikali inakuwa na double standards inapokuwa inamuhusu Makonda?
 
Umeonyesha uko kumpinga Makonda basically sababu waijua mwenyewe. Wewe mwenyewe unasema hajasema pesa ni zake au laa ila umeamua kuhitimisha kuwa ni zake kisa hajasema ni zake au laa ili tu ujenge msingi wa hoja yako dhaifu.
Poor argument!
 
Babake katoa mil 5 cash nNakonde huko nyie endeleeni kuhoji
 
Kwa mshahara na kipato cha u-RC hawezi kutoa mchango kama huo hata wewe ndani ya nafsi yako unatambua hilo....!!

Huu ndo msingi wa hoja ya mleta hoja...

Na kwa hiyo mtoa hoja anatoa wito kwa yeye Makonda kama mtumishi wa umma, anayetumikia ofisi kubwa ya umma kusema ni wapi anakopata fedha nyingi kama hizo zisizoendana kipato chake halali na kinachoelezeka na kujulikana za kutoa msaada huo....

Ishu si yeye kutoa msaada. Kama ni za kwake na kutoka vyanzo vyake halali vya mapato, hakuna mwenye shida na moyo wake wa kutoa msaada kwa yeyote, wakati wowote. Ishu ni kuwa SI MWIZI KWELI HUYU!!??

TAKUKURU ndiyo wanaoweza kutupa jibu....

Na akipenda hata yeye mwenyewe Makonda, anaweza tu kutoka na kuweka wazi hilo, kuna tatizo hapo?

Kuna mwenzake (DED) wa Mkalama DC kule mkoani Singida anachunguzwa na TAKUKURU pengine akapoteza kibarua chake kabisa kwa sababu ya fedha isiyo na maelezo ya kutosha kiasi cha Tshs. 1,370,000 tu sembuse huyu mkuu wa mkoa wa Milioni 100!!???
Kwa upuuzi anaoufanya huyu dogo, wakishindwa kutuambia anapata wapi pesa sisi kama walipa kodi tutajua cha kufanya.
 
Hakika sasa watu watahoji hadi wataonekana wana wivu. Makonda Leo katoa Shilingi milioni 100 kwa Chama chake CCM ili kuanzisha mfuko wa kusaidiana ndani ya Chama.

Kwa sababu hakusema kuwa fedha hizo ni za serikali au mchango wa wadau basi ni fedha zake mwenyewe.

Hivi Makonda huwa anapata wapo fedha za kuweza kushindana na wafanyabiashara wakubwa registered katika kutoa misaada?

Sheria ya maadili ya viongozi inataka kiongozi kuweka wazi vyanzo vya mapato, zawadi na hata michango inayopatikana kwa kiongozi. Kwa nini huyu jamaa ni exceptional?

Jee ni mla rushwa mkubwa? Mnyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara wakubwa kama tetesi zilivyo? Au pia habari kuwa anatumwa na aliyemteua kukusanya ndio maana hahojiwi?

Kwenye suala hili hakika TAKUKURU wamebaki kuwa Toothless bulldog, na ni aibu kwa taasisi kumshindwa MTU mdogo kama RC wakati tunaona nchi zingine taasisi kama hiyo zinaweza kumuwajibisha hata mkuu wa nchi.

MAKONDA ANATOA WAPI PESA HIZI ZA KUHONGA?

Ina ukakasi sana hii.

Ukiwa unalipa kodi lazima utahoji huyu anakozipata pesa.

Ingekuwa kiongozi wa upinzani tayari wangesema anapewa na MABEBERU.
 
Hata enzi za Saddam Hussein wa Iraq (Kuwait) hakuna aliyewahi kuthubutu kuwahoji wale watoto wake wawili Uday na Qussay (Sina uhakika na haya majina). Waliweza kufanya walivyotaka, mpaka pale walipokuja kuuwawa na Wamarekani.
Osie uteufya nyangu.
 
Huo mtaji ccm wanatengeneza,Badae wanambwaga.mi nipo hapa
 
Back
Top Bottom