Awamu ya tano ambayo kiongozi wake anasema haoni sababu ya kuondoka kwani Barbara hazitajengwa, ndege hazitanunuliwa wala SGR haitajengwa.Hivi unadhani pesa zinazokamuliwa kutoka kwa watuhumiwa wa kesi za kubambikiwa zinaenda wapi? Unajua ni wafanya biashara wangapi wamelazimishwa kuwapa hela hili genge la wanyang'anyi kuokoa maisha yao? Wengine wamenyang'anywa kwa nguvu hela zao ili wahuni kama akina Makonda wajilimbikizie hela ambazo hawakuzifanyia kazi. Hii ndiyo awamu ya tano.
Fedha zinatolewa na wafanyabiashara wanamkabidhi Makonda Ili wapate upendeleo Kama kukwepa kodi,kukwepa Sheria nk.
Kama zamani tu Ila zamani walikuwa wanamkabidhi mfalme sasa hivi wanamkabidhi mtoto wa mfalme.
Makonda muuza Ganda,kabaki peke yake kwenye biashara .Miilion miamoja kwa Muuza Ganda tena ya madafu ni pesa ndogo sana.
Mkuu ukihoji hayo utaitwa sio mzalendo wa nchi hii, tena unatumiwa na MabeberuKama anaweza kutoa ml 100 msaada, Je yeye amejilimbikizia ngapi.?
Hiyo ni 1.4 Bilioni kibindoni10% ya bilioni 14 za ujenzi wa machinjio vingunguti.
Yaani kila kitu unataka kutetea!! Sasa kama si zake, ina maana unataka kusema yeye ni mjumbe tu!! Kama ndivyo, huyo aliyempa kutoa "kwa niaba yake" ni kwanini asizitoe mwenyewe na kwa uwazi na badala yake anamtumia Makonda kwa siri?Usiamishe magoli, wapi kasema ni zake au sio zake?
Kwahiyo akisema tu kwamba anapewa na wadau wa maendeleo, tayari ndo ishakuwa kauli inayopaswa kuchukuliwa uzito?!Alishasema wanaompa Ni wadau wa maendeleo na wanaomuunga mkono katika jitihada zake za kuijenga dar mpya.
Rejea maelezo yake alipompa Juma Kaseja m10.
Hakika sasa watu watahoji hadi wataonekana wana wivu. Makonda Leo katoa Shilingi milioni 100 kwa Chama chake CCM ili kuanzisha mfuko wa kusaidiana ndani ya Chama.
Kwa sababu hakusema kuwa fedha hizo ni za serikali au mchango wa wadau basi ni fedha zake mwenyewe.
Hivi Makonda huwa anapata wapo fedha za kuweza kushindana na wafanyabiashara wakubwa registered katika kutoa misaada?
Sheria ya maadili ya viongozi inataka kiongozi kuweka wazi vyanzo vya mapato, zawadi na hata michango inayopatikana kwa kiongozi. Kwa nini huyu jamaa ni exceptional?
Jee ni mla rushwa mkubwa? Mnyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara wakubwa kama tetesi zilivyo? Au pia habari kuwa anatumwa na aliyemteua kukusanya ndio maana hahojiwi?
Kwenye suala hili hakika TAKUKURU wamebaki kuwa Toothless bulldog, na ni aibu kwa taasisi kumshindwa MTU mdogo kama RC wakati tunaona nchi zingine taasisi kama hiyo zinaweza kumuwajibisha hata mkuu wa nchi.
MAKONDA ANATOA WAPI PESA HIZI ZA KUHONGA?
Hakika mkuu upo mule mule makonda ni don nowMakonda muuza Ganda,kabaki peke yake kwenye biashara .Miilion miamoja kwa Muuza Ganda tena ya madafu ni pesa ndogo sana.
Ni mtumishi wa serikali na analipa kodi (PAYE) kwenye mshahara wake, TRA inauwezo wa kufumbua kitendawili.Umeonyesha uko kumpinga Makonda basically sababu waijua mwenyewe. Wewe mwenyewe unasema hajasema pesa ni zake au laa ila umeamua kuhitimisha kuwa ni zake kisa hajasema ni zake au laa ili tu ujenge msingi wa hoja yako dhaifu.