Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima tuhoji, Kama tulihoji pesa za kununua magoli za Simba na yanga kwanini hizi tusihoji
Alipo chaunga za msikiti mbona hukupiga kelele!? Ila Una hoja usikilizweHizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini ?
Ni kanisa la nyumbani kwa Mbowe na yeye amekuwa mbele kwenye kutafuta uchangiaji. Unadhani ametoa hizo fedha kwa bahati mbaya? Nimesoma comments za watu hapa na inaonyesha Tanzania wananchi wengi uelewa wetu ni mdogo sana. 1. Rais hana kisima cha fedha na hii inaonyesha katiba yetu ilivyo mbovu. 2. Wengi wanadhani mwanzisha thread hataki makanisa yachangiwe kumbe anaona mbali zaidi. 3. Mbowe ni kiongozi wa upinzani na hizi fedha zinaweza kuchukuliwa kama ni hongoNaona picha ya Mbowe hapo, sasa Mbowe anahusikaje na hiyo m 150 ya rais?
Kuhoji ni lazima. Mabadiliko yanaanza kwa kuhoji. Ukiridhika na kusema etu mtu akishakuwa top ni sawa na mfalme inaonyesha mtu aliyekata tamaa na hajui afanye nini kuleta mabadiliko. Huu ufalme wa rais unaiangamaza nchi na ni jukumu letu sote kuhoji na kuleta mabadiliko. Hilo kanisa ni kanisa la nyumbani kwa Mbowe na hizo fedha hazijapelekwa kwa bahati mbaya.Halafu baada ya kuhoji kuna mabadiliko yoyote?
Hii nchi ukishakuwa top ww ni mfalme
Mfuko wa raisHizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini ?
Y umaita kugawa hovyo ?Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini ?
Hawezi kuwa nazo (kihalali). Rais anafanya biashara gani? Unacheza na sh milioni 150? Na hata kama amechangiwa na marafiki, hao wachangaji wanategemea kupata nini kama reward? Rais wa nchi mi mtu anayestahili kuishi akiwa clean. Vyanzo vyake vya mapato na zawadi ni lazima vijulikane ili kuondoa uwezekano wa rais kushawishiwa kutenda fadhila kwa baadhi ya watu.Kwani yeye hawezi kuwa nazo akatoa kutoka mfukoni mwake,,?
Kwamba ni jambo baya sana amefanya?? kwamba amefanya jambo la kuvunja amani?Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini ?
Rais yoyote ana fungu la kuchangia ustawi wa jamii kama vile vituo vya yatima nk, kwenye dini ni taasisi muhimu kwa utulivu na amani ya nchi, hata Magufuli alichangia hadi misikiti dhana kuu ni nyumba za ibada hurahisisha serikali kutawala amani ikiwepoHizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini ?
Hapo mlevi mbowe kimyaaaHizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Samia siyo maskini km mamako. Umeona hiyo hela ni nyingi? Tena kwa mtu km rais? Umaskini ni mbaya sana, pambana bwanamdogo upunguze huo ufukara wako maana umeingia mpaka kwenye ubongoHizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Huyo ni maskini mpaka wa akili. Angekuwa na kaakili kidogo tu asiandike huu upupuMkuu! Upo serious kweli? Yaani unahoji kiasi hicho cha Pesa kwa Rais wa nchi? Yaani Rais akose kiasi hicho cha Pesa?
Bwege hiloooIla wewe jamaa ni wa hovyo kabisa!
Rais kapata wapi 150m!
Fala nini.
Mbona mnaongea pumba sana, ofisi ya raisi ikulu wana budget yao na hii ni miongoni kwa kazi zake na haikaguliwi na CAGKwani rais mshahara wake ni sh ngapi.
Alafu tambua kwa kawaida hasa Africa mwanamke mshahara wake hauna hasa akiwa ni mke wa mtu.
Mume ndio anahusika na gharama za maisha ya familia.
So mama pesayake anaweza kutumia vyovyote atakavyo.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app