Unatukana watu na hujui chochote, raisi ni taasisi na ina bajeti yake na haikaguliwi kamwe na CAGIla wewe jamaa ni wa hovyo kabisa!
Rais kapata wapi 150m!
Fala nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatukana watu na hujui chochote, raisi ni taasisi na ina bajeti yake na haikaguliwi kamwe na CAGIla wewe jamaa ni wa hovyo kabisa!
Rais kapata wapi 150m!
Fala nini.
Pamoja na kusoma ndio kwa UMEONGEZA UJINGAHizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
VOTE 23Mkuu umesahau kuwa rais ana fungu maalum la pesa ambazo haziko audited.
Ukiwa rais unaweza amua pesa uwe unawapa ndugu zako na hakuna wa kukuuliza maana haziko audited.
Mbowe ms*nge sana, Afu Mama anatake advanrage ya upumbavu wake.Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Nafikiri humaanishi raisi wa taifa la AfrikaHawezi kuwa nazo (kihalali). Rais anafanya biashara gani? Unacheza na sh milioni 150? Na hata kama amechangiwa na marafiki, hao wachangaji wanategemea kupata nini kama reward? Rais wa nchi mi mtu anayestahili kuishi akiwa clean. Vyanzo vyake vya mapato na zawadi ni lazima vijulikane ili kuondoa uwezekano wa rais kushawishiwa kutenda fadhila kwa baadhi ya watu.
Ahaaa na wewe! Hujui nilisahau niko Afrika?Nafikiri humaanishi raisi wa taifa la Afrika
Binafsi nafikiri Samia anatumia hela za umma vibaya kujenga nyumba za ibada ili kumhonga mbowe amsaidie uchaguzi 2025 huku yeye akimsaidia mbowe kampeni kurejesha jimbo yeye na wafuasi wake wanaamini ni himaya yake binafsi.Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Ungeanza na Magufuli na msikiti wa Chamwino Dodoma kisha malizia na makao makuu Bakwata Kinondoni, tusamehe fungu la Hija.Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
No to DpworldHizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Je, umedhamiria kuuliza hili swali juu ya Mhe. Samia alikozitoa 150M, au unatania? Unaamini haziko kwenye uwezo wake?Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Rais ana bajeti yake pale Ikulu ambayo huwa haikaguliwi! Mwache atumie atakavyo na anavyopenda!Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Kwani Magufulimillion 300 alizochangia Msikiti Dodoma alizopata wapi?Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754
Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Anapewa kama billion tano hivi ambazo anaamua mwenyewe apeleke wapi, anaweza kutoa ZAWADI, kutoa mchango nk.Mkuu umesahau kuwa rais ana fungu maalum la pesa ambazo haziko audited.
Ukiwa rais unaweza amua pesa uwe unawapa ndugu zako na hakuna wa kukuuliza maana haziko audited.
Labda hajui cheo cha raisiMkuu! Upo serious kweli? Yaani unahoji kiasi hicho cha Pesa kwa Rais wa nchi? Yaani Rais akose kiasi hicho cha Pesa?