Milioni 150 Rais Samia kaipata wapi?

Milioni 150 Rais Samia kaipata wapi?

Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754

Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Pamoja na kusoma ndio kwa UMEONGEZA UJINGA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umesahau kuwa rais ana fungu maalum la pesa ambazo haziko audited.
Ukiwa rais unaweza amua pesa uwe unawapa ndugu zako na hakuna wa kukuuliza maana haziko audited.
VOTE 23
 
Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754

Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Mbowe ms*nge sana, Afu Mama anatake advanrage ya upumbavu wake.

Hizi dini zifutwe tu zinaturudisha nyuma sana.
 
Hawezi kuwa nazo (kihalali). Rais anafanya biashara gani? Unacheza na sh milioni 150? Na hata kama amechangiwa na marafiki, hao wachangaji wanategemea kupata nini kama reward? Rais wa nchi mi mtu anayestahili kuishi akiwa clean. Vyanzo vyake vya mapato na zawadi ni lazima vijulikane ili kuondoa uwezekano wa rais kushawishiwa kutenda fadhila kwa baadhi ya watu.
Nafikiri humaanishi raisi wa taifa la Afrika
 
Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754

Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Binafsi nafikiri Samia anatumia hela za umma vibaya kujenga nyumba za ibada ili kumhonga mbowe amsaidie uchaguzi 2025 huku yeye akimsaidia mbowe kampeni kurejesha jimbo yeye na wafuasi wake wanaamini ni himaya yake binafsi.
 
Itakuwa katukopa watanzania kachangia nyumba ya ibada
 
Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754

Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Ungeanza na Magufuli na msikiti wa Chamwino Dodoma kisha malizia na makao makuu Bakwata Kinondoni, tusamehe fungu la Hija.
 
Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754

Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
No to Dpworld
No to saa 100
No to ccm
Our pourt
Our heritage
 
Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754

Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Je, umedhamiria kuuliza hili swali juu ya Mhe. Samia alikozitoa 150M, au unatania? Unaamini haziko kwenye uwezo wake?

Ova
 
Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754

Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Rais ana bajeti yake pale Ikulu ambayo huwa haikaguliwi! Mwache atumie atakavyo na anavyopenda!
 
Jamaa anahoji maswali ya msingi. Kwa sababu tumekuwa kizazi cha ufisadi na kuona kuwa Raisi wa nchi ni mfalme yuko juu ya kila kitu, ndiyo maana tunaona sawa. Kugawa pesa barabarani, kutoa pesa kwa magoli ya mpira kwa vilabu binafsi. Kusema mheshimiwa Rais katoa pesa hii kujenga mradi huu. Hii ni hulka na fikra mpya tunalishwa kuona ni sawa. Kumbuka haya hatujawahi kuona ktk awamu za nyuma, yalianza kushika kasi awamu ya 5. Uadilifu na kuhakiki mali zako kama kiongozi wa umma ni muhimu kwa kujenga imani na ustawi mzima wa taifa letu.Jibu hoja pesa unazogawa kama njugu zinatoka ktk fungu gani? Ni part ya mshahara wako ? Ni fungu la budget ya Ikulu? Jibu wananchi tufahamu. Uko kwenye ofisi ya umma unatupa pesa huku na huko halafu tusihoji, hii ni sawa?
 
Hizi pesa zote Mil.150 Rais kapatia wapi za kugawa hovyo ?
View attachment 2858754

Moja ya kazi ya Rais wa JMT ni kusaidia kusambaza dini?
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakosali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Akizungumza leo katika ibada ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi huo, Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye husali katika Kanisa hilo awapo nyumbani Machame amesema alishirikisha Watu mbalimbali kuhusu kuchangia ambapo miongoni mwao ni Rais Samia.
Kwani Magufulimillion 300 alizochangia Msikiti Dodoma alizopata wapi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umesahau kuwa rais ana fungu maalum la pesa ambazo haziko audited.
Ukiwa rais unaweza amua pesa uwe unawapa ndugu zako na hakuna wa kukuuliza maana haziko audited.
Anapewa kama billion tano hivi ambazo anaamua mwenyewe apeleke wapi, anaweza kutoa ZAWADI, kutoa mchango nk.
 
Alipogawa Benz ya 300 m wengi waliona ni ufujaji.

Nje ya Afrika, hisani ya kiasi hicho inadai vyanzo vya mapato binafsi vinavyotozwa kodi.

Nje ya Afrika.
 
150 nyingi sana kuchangia kanisa ... Wale wa dini nyengine wakitaka atawanyima..
 
Back
Top Bottom