Milioni 20 inatosha gari Afrika Kusini?

Milioni 20 inatosha gari Afrika Kusini?

Sawa. Agiza ila litoke Japan lisitoke SA.

Mil 20 chukua
BMW F30 2013 kuja juu.
Audi A4 (B8) 2009 kuja juu.
Benz C Class (W204) 2008 kuja juu.

Izo ni compact sedan.

Ukitaka kubwa zake chukua Full Size au Midsize sedans:
BMW E60 2009 kuja juu.
Audi A6 (Typ 4G) ya 2011 kuja juu
Benz E Class (W212) ya 2010 kuja juu

Sema nipo kibati ningekupa na pic.

Ila kwa durability inaanza Benz anakuja BM kisha Audi.

Mcheki na VW
Mkuu naomba Code ya VW polo na mwaka kama naagiza saivi.
 
Wee jamaa unaandika pumba umu kuwadanganya wenzio...unalijua Singapore vizuri wewe au unaropoka tu..kati ya nchi.5 duniani za wanachi wenye kipato cha juu ni singapore,hiyo ya kusema owner zaidi ya wanne uongo..kuna uncle wangu anaishi uko tangu miaka.90 alituma gari 3 Kwa pamoja za matumizi ya nyumbani,Hakuna kitu kama hiko na gari nzima mpaka leo,zina zaidi ya miaka.7 now
Tatizo bongo stori nyingi sana ni za vijiweni za kurithishana🤣🤣
 
Wee jamaa unaandika pumba umu kuwadanganya wenzio...unalijua Singapore vizuri wewe au unaropoka tu..kati ya nchi.5 duniani za wanachi wenye kipato cha juu ni singapore,hiyo ya kusema owner zaidi ya wanne uongo..kuna uncle wangu anaishi uko tangu miaka.90 alituma gari 3 Kwa pamoja za matumizi ya nyumbani,Hakuna kitu kama hiko na gari nzima mpaka leo,zina zaidi ya miaka.7 now
Mkuu uncle wako atakua millionaire, maana sasa hivi kumiliki gari moja tuu Singapore minimum cost ya certificate Kwa 10 years ni USD76,000 bila bei ya gari. Source: CNN : https://edition.cnn.com/2023/10/05/asia/singapore-most-expensive-car-license-intl-hnk/index.html
 
Back
Top Bottom