GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
1. Hali yake ya kifedha inamruhusu kufanya hayo bila kuathiri miradi yake. Ni ndoto yake ya miaka mingi kuwa na "kwake".Why awekeze hela nyingi hizo kwenye magari (liability) badala ya kuwekeza?!
Kwanini masafa asitumie public transport km ndege nk, hiyo hela aache kwenye mzunguko, bora hata aweke kwenye T bond, izalishe some amount, awe na gari 1 tu!
Nyumba pia inaweza kusubiri, km siyo lazima hiyo hela ya kujenga azalishe mara 2, halafu ndiyo ajenge.
2. Gari binafsi litampa uhuru wa kusafiri. Huwezi kutegemea usafiri wa uma kwenye shughuli za machimboni.