Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
comment za kijinga kama hizi zinaonyesha jinsi ulivyo bogus.Mtu mwenye mzunguko wa million 200 hawezi kuwa na akili za kijinga kama hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
comment za kijinga kama hizi zinaonyesha jinsi ulivyo bogus.Mtu mwenye mzunguko wa million 200 hawezi kuwa na akili za kijinga kama hizi.
Hivi inawezekana mtu mwenye 200m bank ashindwe kung'amua hizi basics?
1. Hali yake ya kifedha inamruhusu kufanya hayo bila kuathiri miradi yake. Ni ndoto yake ya miaka mingi kuwa na "kwake".
2. Gari binafsi litampa uhuru wa kusafiri. Huwezi kutegemea usafiri wa uma kwenye shughuli za machimboni.
Kwani kipimo cha mtu mwenye akili ni kipi?Sasa mbona ana uwezo mdogo sana wa kufikiri?
Basi na amuajiri mtu hapo awe anampa ushauri. Kama ana miradi ya zaidi ya mil 500 hivi kweli hajui kuhusu nyumba na magari?
Wewe unamshauri nini?Ameweza kumiliki pesa km hizo, anashindwa vipi kuzipangia majukumu yake??!!
Aliipataje hiyo 200m, tuqnze hapo kwanza.Naam inawezekana, hakuna anae jua kila kitu.
Aliipataje hiyo 200m, tuqnze hapo kwanza.
Nyumba ya makazi na una pesa uisimamie mwenyewe, haiwezi kuchukua miezi zote hizo 6 bhana.Hajawahi kumiliki nyumba wala gari lake binafsi. Kwa zaidi ya miaka kumi aliyokuwa kwenye ajira alikuwa akiishi na kutumia gari la taasisi.
Sasa anataka kuachana na ajira ili asimamie kwa karibu miradi yake. Ametenga milioni 200 kwa ajili ya nyumba na magari mawili.
Anataka magari mawili kwa sababu miradi yake itamuhitaji kusafri mara kwa mara hivyo anataka gari moja la masafa marefu na gari dogo kwa mizunguko ya mjini.
Ushauri wangu kwake:
1. Atenge milioni tatu kwa ajili ya pango la nyumba kwa miezi sita. Katika kipindi hicho cha miezi sita ahakikishe nyumba yake inakamilika.
Yeye alitaka kuinunua iliyokwishajengwa (kuna inayouzwa milioni tisini) lakini nimemshauri kuwa ya kujenga mwenyewe ni bora zaidi hasa ikizingatiwa kuwa atakapoacha kazi atakuwa na muda mzuri wa kuisimamia kwa karibu.
2(A). Anunue gari dogo (saloon) lisilozidi mililioni thelathini: AUDI, BENZ, BMW, n.k. Akikosa ya bei hiyo show room atafute kwa watu binafsi.
2(B). Anunue gari la masafa marefu lisilozidi milioni sabini. Mashaka yangu ni uwezekano wa kupata gari bora nchini kwa hiyo bajeti, hasa ikizingatiwa kuwa gari lake pendwa la masafa marefu ni LAND CRUISER PICK UP! Lakini sina uhakika kama ataweza kupata "zima" kwa bei hiyo.
Ingelikuwa ni wewe ungemshaurije?
Mfugaji mmoja alikuwa akikaa na zaidi ya milioni mia mbili ndani, siyo benki, ni ndani ya kibanda cha nyasi. Lakini aliposhauriwa kujenga nyumba ya kisasa, haikumchukua muda aliamua kurejea kwenye nyumba yake ya nyasi kwa madai kuwa nyumba ya kisasa ilikuwa ikimsababishia mafua.Ameweza kumiliki pesa km hizo, anashindwa vipi kuzipangia majukumu yake??!!
Hizo pesa akiziingiza kwenye mradi au biashara na hana uzoefu lazima akubali hasara.!! Ushauri utapewa ila kuna kitu kinaitwa ”changamoto” hizo hawezi kukwepa. Huko anakoingia unahitajika uvumilivu na kujitoa lasivyo hizo pesa zote anazizikaWewe unamshauri nini?
Labda nikuambie tu kuwa kuna watu wanamiliki utajiri wa mabilioni ya fedha lakini waoga sana kufanya mambo mapya. Wanazilinda fedha zao kwa umakini mkubwa mno. Ndiyo maana walitaka kufanya jambo wanaomba ushauri kwa watu mbalimbali. Hawataki kukosea, hasa kama hizo fedha alizisotea. Usishangae. Wapo wengi tu!
Umeulizwa mtu ana 200m inakuwaje anauliza vitu basic kama hivi?Mkuu, kuna watu ukikutana nao na ukaona maisha wanayoyaishi lakini baadaye ukabahatika kuona akaunti zao hutaamini!
Kuna watu wanaoweza kufanya mambo yao kimya kimya, na siku wakiamua kuyaweka wazi ndiyo wengine hukimbilia kusema ni wezi kumbe walianza kuwekeza kimya kimya miaka mingi.
Sitaki kutoa siri za watu, lakini kuna watu wa aina hiyo.
Milioni mia mbili si tatizo kwa ninayemzungumzia, lakini ukiambiwa ana miradi yenye thamani ya zaidi ya milioni mia tano hutaamini.
Mkuu, mbona unataka kuchimbua hivyo?Aliipataje hiyo 200m, tuqnze hapo kwanza.
Labda alieokota au kuiba hizo 200m. Ila aliezitafuta kwa jasho hawezi kushindwa kuzibajeti hela hizo kwenye nyumba na gari.Naam inawezekana, hakuna anae jua kila kitu.
Kwenye issues za uwekezaji inaeleweka. Lakini anunue gari gani kwa bei gani, ajenge nyumba ya bei gani...kwa mtu aliyehustle kuitafuta hadi kufika 200m amepitia mengi na ana uelewa wa mengi.Unadhani ni kwanini watu huwa wana ajiri washauri?
Hajawahi kukutana na kesi kama hizo?Umeulizwa mtu ana 200m inakuwaje anauliza vitu basic kama hivi?
Kana kwamba haitoshi unasema ana miradi ya 500m yaani ndio unazidi kuleta mkanganyiko.
Mtu ana ndoto ya kuwa na kwake lakini ana 200m hajui ajenge nyumba ya aina gani? Ana miradi ya 500m lakini bado hajui kubajeti 200m apate nyumba na gari. Hebu acheni kuchanganya vijana na stori zenu za mamilioni.
Hii ni chai. Huwezi kutafuta hela hadi upate 500m halafu hujui ujenge nyumba ya bei gani na gari ya bei gani latika bajeti yako ya 200m.Hajawahi kukutana na kesi kama hizo?
Zipo, ila hashirikishwi kila mtu. Mpaka mtu akushirikishe mambo yake ya ndani sana inategemeana na uhusiano wenu.
Nashirikishwa kutoa idea ya biashara ipi kwa kiasi hiki inafaa.Hajawahi kukutana na kesi kama hizo?
Zipo, ila hashirikishwi kila mtu. Mpaka mtu akushirikishe mambo yake ya ndani sana inategemeana na uhusiano wenu.
Hiyo "miradi yake" haihitaji boost ya mtaji?Hajawahi kumiliki nyumba wala gari lake binafsi. Kwa zaidi ya miaka kumi aliyokuwa kwenye ajira alikuwa akiishi na kutumia gari la taasisi.
Sasa anataka kuachana na ajira ili asimamie kwa karibu miradi yake. Ametenga milioni 200 kwa ajili ya nyumba na magari mawili.